Bob Saudi Arabia baba ake Osama alienda kuanzisha ama kuendeleza maisha baada ya kutoka Afghanistan.
Ila si mwarabu ni MuAfghanistan.
Bin maana yake mtoto wa flan,kwahyo bin laden maanake mtoto wa Laden. ukoo wa Osama unaitwa Laden.
Asa umesikia WAP mwarab akiitwa Laden?
Hilo jina la kihajami kabbisa.
Na km ulikua hujui mama yake Osama ni bibi mdogo maana mzee Laden alikwishaoa kabla ya kuja Saudi Arabia na kumuoa mamaye Osama.
Hata ww waweza enda USA ukaanzisha maisha na ukachukua uraia kule ila kiasili ww ni luhya.
Sent using
Jamii Forums mobile app