Soviet ilivunjwa kwa vita ya Russia na Georgia wala Taliban haihusiki.Russia walitandikwa na Taliban wakati Osama alikuwa bado kijana barobaro hadi Urusi wakatoroka Afghanistan kwa kilio kikubwa. Walipoteza wanajeshi wengi na mali nyingi. Wanahistoria wanasema kuwa vita hio ilichangia pakubwa kuvunjika kwa Soviet Union.
Hiyo Taliban yako ilitaka kuingia Russia kwa kupenyezwa kupitia border ya Georgia na Russia ila uliza kilichowakuta.
Walirudi mafichoni mammaye.
Sent using Jamii Forums mobile app