Unapoligawa taifa upande wa walioonewa wote unaungana na adui.
Swali rahisi kwa vyombo vya usalama Tanzania msimtafute mchawi Wala kigogo kigogo yupo chamwino chato na magogoni.kifupi CCM ( chamwino chato magogoni) huyo ndio kigogo 2O14Unapoligawa taifa upande wa walioonewa wote unaungana na adui.
Labda nikuulize CCM mmeshinda 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kidhuluma.
Dunia nzima inajua kwa namna Hali ya kisiasa ilivyo Tanzania na CCM inavyochukiwa tz hamuwezi kushinda 99.9% Leo hii ikianza Vita mnadhani wale mliowaonea wata side upande gani?
Weka poll ndani ya tz Kati ya dikteta na Kenyatta uone Nani atashindaUkute kenyatta kauza vijiji vya mpakani kwa ethiopia ili wapate mahindi ya njano
Jamaa kaelwa ya kwamba walivuka mpaka wakauwa watu"Engage is Crossfire" umelemewa na kizungu. Heri kukosa macho kuliko kukosa akili...
Hivi kati ya Kenya na Ethiopia ni wapi watu takriban milioni moja walikufa kwa sababu ya njaa mwaka wa 1984? Usiwahi taja Kenya na Ethiopia katika sentensi moja. Ile nchi ni shithole kweli. Wana Gdp ndogo kutushinda na wana watu mara dufu ya Kenya. Sie bado baba yenu hapa EA.Jamaa wenyewe hata chakula hawana halafu bado mnawauaua mnapata sana dhambi waethiopia
Ahsante sana. Cc joto la jiweMtu anaeisema kdf vibaya anaisema Kenya ambayo ndio the bigest Democratic country in East Africa kitu ambacho hakipo kwenye war arena nchi ya kidicteta kuishinda nchi ya kidemocrasia msidanganywe na Vietnam war !
Ahsante. Cc Geza UloleMimi ni mtanzania wa damu Ila bet Leo hii tz ikipigana na Kenya Mimi Nitakuwa upande gani!?
Askari wa Tanzania ambao watakuwakuwa polisi waliochanganywa kwenye jw wote tukiwaona tutawalengesha kea adui kdf kwasababu huku tz polisi Wanauwa wananchi kwahiyo cc wenyewe watz tutaasi mission za jeshi letu mpk polisi waache kutuua na kututeka ndani ya taifa letu Tanzania.
Vita ni nguvu na nguvu lazima uwe unapata chakula, Kenya ni njaa kila kona watapata wapi nguvu za kupigana?, kumbuka hakuna komandoo wa njaa, " Adui muombee njaa, atakua mnyonge ata awe shujaa".Mtu anaeisema kdf vibaya anaisema Kenya ambayo ndio the bigest Democratic country in East Africa kitu ambacho hakipo kwenye war arena nchi ya kidicteta kuishinda nchi ya kidemocrasia msidanganywe na Vietnam war !
Hiyo ni historia, walishajirekebisha, waligundua makosa yao sasa hawapewi tena msaada wa chakula. Tatizo la Kenya hamjifunzi kutokana na makosa ya nyuma, matatizo yenu ni yale Yale kila mwaka na yanaongezeka ukubwa wake.Hivi kati ya Kenya na Ethiopia ni wapi watu takriban milioni moja walikufa kwa sababu ya njaa mwaka wa 1984? Usiwahi taja Kenya na Ethiopia katika sentensi moja. Ile nchi ni shithole kweli. Wana Gdp ndogo kutushinda na wana watu mara dufu ya Kenya. Sie bado baba yenu hapa EA.
Urusi na China ni among top three of the most powerful countries in the World, huyo hajitambui. Tanzania tukipigana na Kenya, tutakalofanya ni kuhakikisha hakuna meli zinatoingia bandari ya Mombasa, na Uganda haingizi chakula Kenya, ndani ya kipindi cha mwezi mmoja lazima Kenya ita- surrender tu kwa sababu ya njaa.Ahsante. Cc Geza Ulole
Hahahaha, kwahiyo majeshi ya nchi jirani kuvuka mpaka na kuingia nchini kwenu kufanya ndio uwanja wa mapigano na kufikia hatua ya raia wenu kuuliwa hilo ni sawa kwa akili zenu?.
Mtu anaeisema kdf vibaya anaisema Kenya ambayo ndio the bigest Democratic country in East Africa kitu ambacho hakipo kwenye war arena nchi ya kidicteta kuishinda nchi ya kidemocrasia msidanganywe na Vietnam war !
Hahahahaha hapa umeongea kama kilaza mkuuMimi ni mtanzania wa damu Ila bet Leo hii tz ikipigana na Kenya Mimi Nitakuwa upande gani!?
Askari wa Tanzania ambao watakuwakuwa polisi waliochanganywa kwenye jw wote tukiwaona tutawalengesha kea adui kdf kwasababu huku tz polisi Wanauwa wananchi kwahiyo cc wenyewe watz tutaasi mission za jeshi letu mpk polisi waache kutuua na kututeka ndani ya taifa letu Tanzania.
Wajinga nyie mmeligawa taifa Leo hii Tanzania na Kenya wakiingia vitani tutapigwa kirahisi kwasababu zifuatazo.
1. Itakuwa ni Vita ya lisu vs magu.
2.chadema vs CCM
3.walioonewa na wanaoonewa ndani ya tz vs waoneaji.
4.Watekaji vs watekwaji.
5.Watumishi wa umma Tanzania wote wata side na jeshi la Kenya kuuondoa utawala wa CCM
Kimsingi mnaweza kuiona Kenya dhaifu kitu ambacho sio kweli ila mkitaka kuona uhalisia anzeni Vita na Kenya ndio mtajua CCM inachukiwa kiasi gani.
Kunyan idiotTz inatawala na majasusi wa Kagame.
Achana na huyo mjingaHahahahaha hapa umeongea kama mama muuza acha nikwambie kitu Tanzania sio nchi tu ila ni taifa pia Nyerere alisuka misingi imara
Sent using Jamii Forums mobile app
Kimafikira????Je unaelewa ideological warfare? Al Shabaab sio merely wasomali kaka, ni kikundi cha waislamu walio "potoka", ndani kuna watanzania, Kenyans, wakongomani, somalis etc, pia ndugu yako ama watu kutokaa ukoo wako waeza kua pale., how do u fight them if they are hidden amongst you?., kumbe wewe ni ovyo kimafikira hivyo?
Any war that involves ideology is hard to fight and finish or even win, unaeza succeed na kushinda in battle but lose the war, kama unaelewa namaanisha nini., angalia wamarekani?
My opinion, vita dhidi ya maghaidi na wana mgambo, haiwezi suluhishwa kupitia risasi. Tafakari kama una uwezo...
Sent using Jamii Forums mobile app