Ibilisi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,465
- 5,578
😁😁😁🚨 Job Opportunity: Title: CEO Hezbollah. Term: 24-48hrs. Pay: 70 virgins.
Halafu ni 72 si 70. Umepiga cha juu 2 virgins
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁🚨 Job Opportunity: Title: CEO Hezbollah. Term: 24-48hrs. Pay: 70 virgins.
We neta nyau,umepigaje hapoWadau hamjamboni nyote?
Shughuli inaendelea kama ilivyopangwa na kukusudiwa
Kiongozi Mkuu wa magaidi ya Hamas huko nchini Lebanon ameuawa na shambulizi la IDF
Katika shambulio la angani lililolenga, kundi la Hamas lilipata pigo kubwa Jumatatu wakati kiongozi wake nchini Lebanon, Shahidi Fateh Sharif – Abu al-Amin, aliuawa pamoja na mkewe, mwanawe, na binti yake nyumbani kwao katika kambi ya wakimbizi ya al-Buss huko Kusini mwa Lebanon.
Shambulio hilo, linalodaiwa kuwa ni la uchokozi kutoka kwa Israel, lilikuwa ni la kwanza kutokea kwenye kambi hiyo tangu kuanza kwa shambulio la Israel dhidi ya Lebanon, kulingana na Shirika la Habari la Kitaifa la Lebanon (NNA).
Awali, ‘Israel’ pia iliwaua wanachama watatu wa Fronti ya Ukombozi wa Palestina, wakiwemo viongozi wawili, katika shambulio lililolenga jengo la makazi ya ghorofa nyingi katika eneo la Cola, Beirut.
Hii itakuwa mara ya kwanza kwa ‘Israel’ kushambulia mji mkuu wa Lebanon, isipokuwa sehemu ya Kusini mwa mji huo.
================================================
Hamas on Monday announced that its leader in Lebanon, Fatah Sharif, also known as Abu Al-Amin, was killed alongside multiple members of his family in an Israeli strike on the south of the country.
Hamas described Sharif as “leader of the Islamic Resistance Movement Hamas in Lebanon and a member of the movement’s leadership abroad.”
The group said his wife, son and daughter were also killed in the same strike, which it said took place in the El Buss refugee camp, on the outskirts of the city of Tyre.
It was not immediately clear how senior Sharif was within Hamas. CNN has reached out to the Israeli military for comment.
Source: CNN, Al Manar
Hao magaidi acha yauliweHivi hao viongozi hawaishi...
Toka nimeanza kusikia viongozi wa Hamas kuuawa wanafika 20, halafu wote viongozi wakuu...
Wapo sahihi kwani wanazingatia msemo ule: "Mdomo uliiponza shingo"Wiki iliyopita Saud Arabia wamepiga marufuku Kwa viongozi wa dini kuhubiri ishu za Palestine wala kufanya maombolezo
Kwa maana kwamba JWTZ siyo kubwa kama Hamas kwa sababu hao Hamas wamefanya mission za maana na zenye matokeo mazuri kuliko JWTZ?Kwan jwtz Ina viongoz 20 tu ,waafrika mnapenda kudharau watu , unahis jwtz ni kubwa kuliko Hamas
Kwahyo ile kuinamaAmekufa kifo kibaya sana, walivizia kipindi ameinama kumswalia allah wake ile anainama tu alapigwa kombora la tako. Aisee FaizaFoxy n THE BIG SHOW na Ritz wekeni namba tuwachangie rambirambi, wiki hii imekuwa chungu sana kwa allah.
Shart ni moja, waachie matekaDaah! Mfano wakijitokeza na kuomba msamaha?
2 virgins ni 10% sio😄😄😁😁😁
Halafu ni 72 si 70. Umepiga cha juu 2 virgins
Wapo katika maeneo mbalimbali hivyo kila eneo lina mkuu wake, ni kama matawi ya vyama vya siasa ilivyoHivi hao viongozi hawaishi...
Toka nimeanza kusikia viongozi wa Hamas kuuawa wanafika 20, halafu wote viongozi wakuu...
HAMAS INAPENDWA NA WAPALESTINA KULIKO JWTZ INAYOWALINDA CCMU NA SIO WANANCHI , HAMAS NI JESHI IMARA SANA SIO KAMA JWTZ INAYOSHINDWA HATA WAMALIZA PANYA ROAD, TUACHE UNAFIKIMkuu ; unashindwaje kutofautisha kwamba JWTZ ni jeshi la wananchi wa Tanzania. HAMAS ni kikundi cha KIGAIDI chenye uelekeo wa kidini na kinachoendesha harakati zake ndani ya nchi huru ya Palestina kwa kufadhiliwa na nchi ya Iran. Huoni kuna tofauti kubwa sana???
JWTZ linawajibika kwa waTz na linapendwa na wananchi wote. HAMAS inawajibika kwa hao wanaouawa na hawapendwi na Wapalestina wote ila wapo hapo kiubabe. Ni hadi waishe kwa mkono wa Myahudi kama hawatashtuka mapema na kuomba kujisalimisha.
Ulitaka wafanyeje,,Mikati anakwambia option pekee walonayo ni diplomacy/majadilianoHuyu myahudi ni noma aseee!!!
Waarabu ni km nyumbu wapo kimya Wanaangalia tuu!!
Mission gan jwtz imefanya ? Hv unakuwa hz panyaroad za Africa zko funded na hao hamas ? KIUFUPI Hamas wakipewa Tx haimaliziki wiki wanakuwa washaiteka Tz ,karibu robo tatu ya walinz wetu wa taifa wanakuwa wamelewa Kila siku kuanzia saa 2uskKwa maana kwamba JWTZ siyo kubwa kama Hamas kwa sababu hao Hamas wamefanya mission za maana na zenye matokeo mazuri kuliko JWTZ?
Nakuona wewe ndiye mwenye dharau.
Hata wakifika mia kipigo kiko pale pale.Hivi hao viongozi hawaishi...
Toka nimeanza kusikia viongozi wa Hamas kuuawa wanafika 20, halafu wote viongozi wakuu...
Ni sawaHivi hao viongozi hawaishi...
Toka nimeanza kusikia viongozi wa Hamas kuuawa wanafika 20, halafu wote viongozi wakuu...
🤣🤣🤣🤣🚨 Job Opportunity: Title: CEO Hezbollah. Term: 24-48hrs. Pay: 70 virgins.
Ila watu mna mamboo et mfano wakijitokeza wakaomba msamaha? Hahaaaaa mpka nimepaliwa waliiDaah! Mfano wakijitokeza na kuomba msamaha?
Majinga sana haya. Yanakufa huku yanatiana moyo ati amekufa shahidi...Daah! Mfano wakijitokeza na kuomba msamaha?
Hahaha! Helu mazaTutawasamehe Kwa masharti
Hadithi yako inafundisha nini mkuu.Walid bin Khalid al-Walid, maarufu kama Khalid bin al-Walid, ni mmoja wa mashujaa wakuu wa Uislamu, anayejulikana kwa ujasiri wake na mafanikio yake katika vita. Hata hivyo, kuna hadithi inayozungumzia kifo chake, ambayo inaonyesha jinsi alivyokabiliwa na hali hiyo.
Maelezo ya Kifo cha Khalid bin al-Walid
- Kifo Kitandani:Khalid bin al-Walid alikufa kitandani mwaka wa 642 CE (AH 21) baada ya kuugua, ingawa alikuwa mmoja wa wapiganaji wakuu na aliyejulikana kama "Saifullah" (Upanga wa Allah) kwa sababu ya ujasiri na mafanikio yake kwenye vita. Hadithi inasema kwamba alihisi huzuni kwa sababu hakuweza kufa vitani kama alivyokuwa akitamani. Alisema:
- Kuhusiana na Ujasiri:Ingawa alikufa kitandani, Khalid bin al-Walid alijulikana kwa nguvu na ujasiri wake, na alikuwa na mchango mkubwa katika kuimarisha Uislamu katika kipindi cha mapema. Aliongoza vikosi vya Kiislamu katika vita mbalimbali, ikiwemo Vita vya Mu'tah na Vita vya Yarmouk, ambavyo vilichangia kuimarisha uhusiano wa Kiislamu katika eneo kubwa la Mashariki ya Kati.
- Wasiwasi wa Kifo:Alipokuwa akiongea kuhusu kifo chake, Khalid bin al-Walid alionyesha wasiwasi kuwa alikufa kwa njia isiyo ya heshima. Alijitahidi kwa bidii kuhakikisha kwamba maisha yake yamejawa na matendo mema na ushindi vitani. Hata hivyo, alikubali kuwa hatima yake ilikuwa mikononi mwa Allah, na mwisho wa siku ni Allah pekee anayeamua jinsi mtu atakavyokufa.