Jeshi la Israel, IDF limemuua Mkuu wa Hamas nchini Lebanon Fatah Sharif, mke pamoja na watoto wake

We neta nyau,umepigaje hapo
Tukurukuduuunduuunduuu...kobasi Zina Isha asee
 
HAMAS INAPENDWA NA WAPALESTINA KULIKO JWTZ INAYOWALINDA CCMU NA SIO WANANCHI , HAMAS NI JESHI IMARA SANA SIO KAMA JWTZ INAYOSHINDWA HATA WAMALIZA PANYA ROAD, TUACHE UNAFIKI
 
Kwa maana kwamba JWTZ siyo kubwa kama Hamas kwa sababu hao Hamas wamefanya mission za maana na zenye matokeo mazuri kuliko JWTZ?

Nakuona wewe ndiye mwenye dharau.
Mission gan jwtz imefanya ? Hv unakuwa hz panyaroad za Africa zko funded na hao hamas ? KIUFUPI Hamas wakipewa Tx haimaliziki wiki wanakuwa washaiteka Tz ,karibu robo tatu ya walinz wetu wa taifa wanakuwa wamelewa Kila siku kuanzia saa 2usk
HAMAS WAMEKUTANA NA KIDUME IDF ILA HAMAS SIO LEVEL ZA JWTZ
 
Hadithi yako inafundisha nini mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…