Jeshi la israel kuiavamia Lebanon

Jeshi la israel kuiavamia Lebanon

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
70,791
Reaction score
98,334
Baada ya mashambulizi yasiyokoma kutoka Lebanon kwenda Israel, siku ya jana Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alikutana na maafisa wa kijeshi na usalama na kuja na uamuzi wa kuanza opereshenk nchini Israel.

Siku ya leo jeshi la Israel limepeperusha vikaratasi vikiwasihi wananchi kuondoka katika makazi yao katika Lebanon Kusini.

Tutarajie mengi kuendelea
 
Baada ya mashambulizi yasiyokoma kutoka Lebanon kwenda Israel, siku ya jana Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alikutana na maafisa wa kijeshi na usalama na kuja na uamuzi wa kuanza opereshenk nchini Israel.

Siku ya leo jeshi la Israel limepeperusha vikaratasi vikiwasihi wananchi kuondoka katika makazi yao katika Lebanon Kusini.

Tutarajie mengi kuendelea
Israel anapaswa kuteka haya maeneo ili amani ipatikane.
 
Baada ya mashambulizi yasiyokoma kutoka Lebanon kwenda Israel, siku ya jana Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alikutana na maafisa wa kijeshi na usalama na kuja na uamuzi wa kuanza opereshenk nchini Israel.

Siku ya leo jeshi la Israel limepeperusha vikaratasi vikiwasihi wananchi kuondoka katika makazi yao katika Lebanon Kusini.

Tutarajie mengi kuendelea
Woooyoooo watie maguu tuone mtanange, netanyahu anaanzisha ugomvi kila upande maana pakitulia ataenda jela
 
Baada ya mashambulizi yasiyokoma kutoka Lebanon kwenda Israel, siku ya jana Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alikutana na maafisa wa kijeshi na usalama na kuja na uamuzi wa kuanza opereshenk nchini Israel.

Siku ya leo jeshi la Israel limepeperusha vikaratasi vikiwasihi wananchi kuondoka katika makazi yao katika Lebanon Kusini.

Tutarajie mengi kuendelea
Netanyahu MBARIKI NETANYAHUU
 
Baada ya mashambulizi yasiyokoma kutoka Lebanon kwenda Israel, siku ya jana Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alikutana na maafisa wa kijeshi na usalama na kuja na uamuzi wa kuanza opereshenk nchini Israel.

Siku ya leo jeshi la Israel limepeperusha vikaratasi vikiwasihi wananchi kuondoka katika makazi yao katika Lebanon Kusini.

Tutarajie mengi kuendelea
Ndio kujichimbia kaburi huko.
 
Baada ya mashambulizi yasiyokoma kutoka Lebanon kwenda Israel, siku ya jana Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alikutana na maafisa wa kijeshi na usalama na kuja na uamuzi wa kuanza opereshenk nchini Israel.

Siku ya leo jeshi la Israel limepeperusha vikaratasi vikiwasihi wananchi kuondoka katika makazi yao katika Lebanon Kusini.

Tutarajie mengi kuendelea
New front?....sio rahisi
 
Baada ya mashambulizi yasiyokoma kutoka Lebanon kwenda Israel, siku ya jana Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alikutana na maafisa wa kijeshi na usalama na kuja na uamuzi wa kuanza opereshenk nchini Israel.

Siku ya leo jeshi la Israel limepeperusha vikaratasi vikiwasihi wananchi kuondoka katika makazi yao katika Lebanon Kusini.

Tutarajie mengi kuendelea
Masikini wale wadada bikira kule peponi. Kazi imeanza tena huku duniani.
 
Baada ya mashambulizi yasiyokoma kutoka Lebanon kwenda Israel, siku ya jana Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alikutana na maafisa wa kijeshi na usalama na kuja na uamuzi wa kuanza opereshenk nchini Israel.

Siku ya leo jeshi la Israel limepeperusha vikaratasi vikiwasihi wananchi kuondoka katika makazi yao katika Lebanon Kusini.

Tutarajie mengi kuendelea
Mkuu hivyo vipeperushi vimerushwa kinyume na taratibu na bila maagizo ya uongozi wa Israel

Serikali imeshatoa tamko
 
Back
Top Bottom