Jeshi la israel kuiavamia Lebanon

Jeshi la israel kuiavamia Lebanon

Hapo magaidi wa Hezbollah watakuwa wanaandaa ngao za kuwakinga ambao ni wanawake na watoto. Tusubiri tuone.
 
Israel alisha chakazwa vibaya sana kwenye ground force hawezi kupigana na Hezbullah ikiwa Gaza kakusanya wahindi, wafrica, wa Philippines WA european, American na Latin na bado hajashinda vita sijui huko atashinda vipi 😄
 
Ila Kuna watu wanateseka jamani..Yaani Israel kila siku kama Jumatatu ni papatu papatu tu
 
Baada ya mashambulizi yasiyokoma kutoka Lebanon kwenda Israel, siku ya jana Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alikutana na maafisa wa kijeshi na usalama na kuja na uamuzi wa kuanza opereshenk nchini Israel.

Siku ya leo jeshi la Israel limepeperusha vikaratasi vikiwasihi wananchi kuondoka katika makazi yao katika Lebanon Kusini.

Tutarajie mengi kuendelea
Naongea kwa msisitizo.
Mwaka huu January na February IDF waliingia ndani ya mipaka ya Lebanon wakatalii kilometa chache wakarudi nyuma.
Unadhani Lebanon sawa na Gaza?

Na Hizbollah atawaachia wazidi kuzama ndani halafu wasikilizie show.
Yale ya 2006 yatawarudia.
 
Waarabu wameshagundua, vita ya muda mrefu ni stress kwa mataifa ya magharibi, Israeli awe makini asiende kichwakichwa inaweza kuwa vita ngumu yenye stress na isiyoisha kwake..

Wahouth tayari wapo mdomoni hapo Syria na Lebanon, wapiganaji wengi kutoka Afghanistan wapo maeneo hayo wanasubiri vita ya chini kwa chini.
 
Waarabu wameshagundua, vita ya muda mrefu ni stress kwa mataifa ya magharibi, Israeli awe makini asiende kichwakichwa inaweza kuwa vita ngumu yenye stress na isiyoisha kwake..

Wahouth tayari wapo mdomoni hapo Syria na Lebanon, wapiganaji wengi kutoka Afghanistan wapo maeneo hayo wanasubiri vita ya chini kwa chini.
Tofautisha vitu viwili kuwa na ujuzi na kuutumia ujuzi...Yaani mfano unaweza kuwa unajua kitu Fulani ili kiende sawa kinatakiwa kipitie hatua hii ,hii na hii ili kifanikiwe,ila kuna MTU ana ujuzi WA jambo Hilo Hilo kwa muda mrefu hivo ana mbinu nyingi za kukushinda wewe unatumia hatua kutoboa.

Nikirejea kwenye mada waarabu ni kwl wamejipanga ila Israel wako vizuri kwa hio ni swala la muda tu watanyooka
 
Baada ya mashambulizi yasiyokoma kutoka Lebanon kwenda Israel, siku ya jana Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alikutana na maafisa wa kijeshi na usalama na kuja na uamuzi wa kuanza opereshenk nchini Israel.

Siku ya leo jeshi la Israel limepeperusha vikaratasi vikiwasihi wananchi kuondoka katika makazi yao katika Lebanon Kusini.

Tutarajie mengi kuendelea
Hawa wavaa kobaz cjui ni kwa nini hawajifunzi. Gaza walionywa hivo hivo wakashupaza shingo au Hamas akawalaghai eti anaumudu huo mtanange - hakuna sababu ya kuondoka. Lakini ngoma ilipoanza tukasikia vilio vikitamalaki oh' IDF anatuonea/anaua raia wasio na hatia, IDF anaua wazee, akina mama na watoto na kubomoa miundombinu ya kijamii. Baadaye tukasikia Hamas anajificha nyuma ya makalio ya akina mama na kuvaa hijab. Tusubiri tuone yatakayojiri mtifuano ukianza. :StockExplosion: :SlavPls: Myahudi hakopeshi ujue.
 
Israel alisha chakazwa vibaya sana kwenye ground force hawezi kupigana na Hezbullah ikiwa Gaza kakusanya wahindi, wafrica, wa Philippines WA european, American na Latin na bado hajashinda vita sijui huko atashinda vipi 😄
Mkuu; Katika vita huwaga hawaangalii eti umesaidiwa na nani kwani nayo hiyo ni mbinu mojawapo. Ukiweza kama na ww unataka siutumie?-daadek. Atakayekamatiwa chini kisawasawa na kubanwa koo a.k.a kabali ndio atakuwa na jukumu la kutoa sauti ya kilio au sauti ya kuomba msaada. Kuwa mpole; Tusubiri IDF waliamshe ndipo tutajua atashinda vipi.
 
Back
Top Bottom