Jeshi la Israel lafanya mashambulizi makubwa huko nchini Yemen na kusambaratisha kinu cha kuzalisha umeme na bandari

Jeshi la Israel lafanya mashambulizi makubwa huko nchini Yemen na kusambaratisha kinu cha kuzalisha umeme na bandari

Nchi za magharibi zimeamua kumaliza mgogoro wa mashariki ya kati haraka haraka ili kusudi waendelee na Russia na Ukraine.

Wanahitaji ku concentrate na Russia.
Migogoro ya ME ni kama ilikuwa mzigo kwao, ngoja wautue kwanza.
 
Muislam yeyote yule anayekufa akitetea mali yake ni shahidi, anayekufa akitetea maisha yake ni shahidi, anayekufa akitetea imani yake ni shahidi, na anayekufa akitetea familia yake ni shahidi." — (Sahih Muslim, Hadith 141)
 
Nchi za magharibi zimeamua kumaliza mgogoro wa mashariki ya kati haraka haraka ili kusudi waendelee na Russia na Ukraine.

Wanahitaji ku concentrate na Russia.
Migogoro ya ME ni kama ilikuwa mzigo kwao, ngoja wautue kwanza.
Sasa hapa unaweza kuta kichwa kibovu Putin akachukua hatua ila wasi concerntrate naye..unaweza shangaaa akawashika mkono Iran na wao wakapiga kitu Jerusalem.

Ww3 hii hapa
 
Muislam yeyote yule anayekufa akitetea mali yake ni shahidi, anayekufa akitetea maisha yake ni shahidi, anayekufa akitetea imani yake ni shahidi, na anayekufa akitetea familia yake ni shahidi." — (Sahih Muslim, Hadith 141)
Endeleen na maandiko yenu ya kipuuzi na kijinga jinga kama haya.
Full kuchocheana ujinga ujinga. Kwenu amani inawa washa washa mnoo hamtulii mkiona watu wanaishi kwa utulivu, hilo likitabu lenu lina mashetan gani lakin kila sikuu kuwachochea kumwaga damu tuu?????
 
Endeleen na maandiko yenu ya kipuuzi na kijinga jinga kama haya.
Full kuchocheana ujinga ujinga. Kwenu amani inawa washa washa mnoo hamtulii mkiona watu wanaishi kwa utulivu, hilo likitabu lenu lina mashetan gani lakin kila sikuu kuwachochea kumwaga damu tuu?????
Katika Uislamu, kufa katika jihad (juhudi au jitihada kwa ajili ya Allah) kunachukuliwa kuwa na malipo makubwa katika Akhera (maisha ya baada ya kifo). Katika Quran, Allah anazungumzia kwa uzito na ahadi kubwa kwa wale wanaopigana katika njia Yake.

Miongoni mwa aya zinazozungumzia kuhusu faida ya kufa katika jihad ni:

  1. Surat At-Tawba 9:111:
    "Hakika Mwenyezi Mungu amenunua kwa Waumini nafsi zao na mali zao kwa kuwa wao watapata Pepo. Wanapigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu, wanaua na wanauawa. Hii ni ahadi ya kweli katika Taurati, Injili na Qur’ani. Na nani atimizaye agano kuliko Mwenyezi Mungu? Basi furahini kwa biashara yenu mliyo fanya naye. Na huko ndiko kufuzu kukubwa."
  2. Surat Ali Imran 3:169:
    "Wala usidhani walio uawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa wamekufa, bali wao wako hai, wanaruzukiwa kwa Mola wao."
Hizi aya zinaonyesha kuwa wale wanaokufa wakiwa katika jihad kwa ajili ya Allah wanapata malipo makubwa, ikiwa ni pamoja na Pepo na riziki kutoka kwa Allah. Pia wanachukuliwa kuwa wamefuzu na kupokea ahadi kubwa kutoka kwa Allah kwa sababu ya kujitolea kwao.
 
Muislam yeyote yule anayekufa akitetea mali yake ni shahidi, anayekufa akitetea maisha yake ni shahidi, anayekufa akitetea imani yake ni shahidi, na anayekufa akitetea familia yake ni shahidi." — (Sahih Muslim, Hadith 141)
Hiki ndicho kinafanya watu wanakufa hovyo kama kuku...
Kama nguvu ya kupambana haipo ni bora waachane na vita tu....

Iran inashindwa kutoa assist za maana kwa Hamas, Hezbollah na Houthi kwa huo ujinga wa kusema mkifa ni mashaheed...

Acha waendelee kuwa mashaheed.

Mimi Iran inanichefua sana aisee, hapo wamepigwa houthi baadae unamsikia Ayatollah anajitikeza na kusema "mayahudi hawawezi kuvunja na kuisambaratisha Houthi" halafu huyo anapotea mafichoni....

Ujinga tu...
 
Hadi mtaita maji ma! Tulishawaambia kabla ujio wenu na huyo mungu wenu kulikua na miungu mingine ilijaribu kufuta Wayahudi na ikashindwa, Wafilisti walikua na wao aliitwa Baal, sasa huyu wenu wa juzi naye atashindwa vivi hivi.
Unamkumbuka pia mungu Dagon wa Wafilisti enzi hizo, kisa cha Dagon na Sanduku la Agano unakikumbuka?
 
Katika Uislamu, kufa katika jihad (juhudi au jitihada kwa ajili ya Allah) kunachukuliwa kuwa na malipo makubwa katika Akhera (maisha ya baada ya kifo). Katika Quran, Allah anazungumzia kwa uzito na ahadi kubwa kwa wale wanaopigana katika njia Yake.

Miongoni mwa aya zinazozungumzia kuhusu faida ya kufa katika jihad ni:

  1. Surat At-Tawba 9:111:
    "Hakika Mwenyezi Mungu amenunua kwa Waumini nafsi zao na mali zao kwa kuwa wao watapata Pepo. Wanapigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu, wanaua na wanauawa. Hii ni ahadi ya kweli katika Taurati, Injili na Qur’ani. Na nani atimizaye agano kuliko Mwenyezi Mungu? Basi furahini kwa biashara yenu mliyo fanya naye. Na huko ndiko kufuzu kukubwa."
  2. Surat Ali Imran 3:169:
    "Wala usidhani walio uawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa wamekufa, bali wao wako hai, wanaruzukiwa kwa Mola wao."
Hizi aya zinaonyesha kuwa wale wanaokufa wakiwa katika jihad kwa ajili ya Allah wanapata malipo makubwa, ikiwa ni pamoja na Pepo na riziki kutoka kwa Allah. Pia wanachukuliwa kuwa wamefuzu na kupokea ahadi kubwa kutoka kwa Allah kwa sababu ya kujitolea kwao.
Idiot fools kama na akil zenu mnakamatwa na maujinga kama haya..shule zinawasaidia nini sasa kama hesabu ndoogo kama hiz mnashindwa kuzisanukia
 
Kuna watu tukisema Wayahudi siyo watu wa kawaida wanatudharauu na kutusema vibaaya utadhani sisi tunapenda wawe hivyo yaani!

Watuelewe kabisa yaani, sisi hatupendi wawe hivyo, ila ishatokea utafanyaje?

Israel = Israil = mtoa roho!

Bado mtu unataka kuchokoza watu aina ile..?

Hata bangi za dini kwa wale watu lazima zikutoke tu
Walishindwa Kwa Ndugu Yao YESU...
 
Idiot fools kama na akil zenu mnakamatwa na maujinga kama haya..shule zinawasaidia nini sasa kama hesabu ndoogo kama hiz mnashindwa kuzisanukia
Hadithi kutoka Sahih al-Bukhari:

Mtume Muhammad (SAW) amesema:
"Hakika mtu anayekufa akiwa shahidi (katika jihad) ana mambo saba ya malipo: atasamehewa dhambi zake tangu damu yake ya kwanza itakapoanguka, ataonyeshwa nafasi yake Peponi, atahifadhiwa na adhabu ya kaburi, ataepushwa na hofu kuu ya siku ya Kiyama, atawekwa taji la heshima kichwani, ambalo litaangaza zaidi ya nuru ya jua, ataozeshwa wake wa hurul-ain (wake wa Peponi), na ataweza kuwaombea jamaa zake sabini (70) wa karibu."
(Sahih al-Bukhari, Hadith 2790)
 
Halafu kuna mtu utashangaa anasema, ooh ni karibia mwaka mzima sasa Wayahudi wameshindwa kuangamiza Hamas..

Wanasahau kuwa kwenye mahandaki ya Gaza kuna mateka Wayahudi, so hawawezi kutumia bunker busters wala sumu maana watateketeza raia wao wasio na hatia.

Huko kwingine ni mwendo wa kupeleka moto wa kufa mtu
 
Hadithi kutoka Sahih al-Bukhari:

Mtume Muhammad (SAW) amesema:
"Hakika mtu anayekufa akiwa shahidi (katika jihad) ana mambo saba ya malipo: atasamehewa dhambi zake tangu damu yake ya kwanza itakapoanguka, ataonyeshwa nafasi yake Peponi, atahifadhiwa na adhabu ya kaburi, ataepushwa na hofu kuu ya siku ya Kiyama, atawekwa taji la heshima kichwani, ambalo litaangaza zaidi ya nuru ya jua, ataozeshwa wake wa hurul-ain (wake wa Peponi), na ataweza kuwaombea jamaa zake sabini (70) wa karibu."
(Sahih al-Bukhari, Hadith 2790)
Pole sana..
Hata mbingu mtaisikia tu hakyanani huyo anayewamezesha uongo na uzushi huu mtakua naye jehanam
 
Kipindi hiki wavaa kobazi ni mwendo wa ngono tu huko peponi, Allah atakuwa bize sana hizi siku mbili tatu kuwagawia mabikra akina Nasrallah na wenzake.

Sidhani kama Allah atakuwa hata na Muda wa kusikiliza maombi ya wafuasi wake😂😂
Wapaka wanja
 
Hadi mtaita maji ma! Tulishawaambia kabla ujio wenu na huyo mungu wenu kulikua na miungu mingine ilijaribu kufuta Wayahudi na ikashindwa, Wafilisti walikua na wao aliitwa Baal, sasa huyu wenu wa juzi naye atashindwa vivi hivi.
🇾🇪🇮🇱⚡Nasreddin Amer, a senior Ansarullah official, announced on his Twitter account:

Don't worry, the attacks failed. We took preventive measures and emptied the oil tanks of Ras Issa and Hodeidah ports earlier and prepared an emergency plan. Attacks do not hinder our actions, because by the will of God, we make our performance more qualitative.

🚩 @ResistanceTrench
 
Sasa hapa unaweza kuta kichwa kibovu Putin akachukua hatua ila wasi concerntrate naye..unaweza shangaaa akawashika mkono Iran na wao wakapiga kitu Jerusalem.

Ww3 hii hapa
Ndio maana wanafanya hizi mission kwa siri sana huku Israel imewekwa front page...

Hata Russia wanajua kinachoendelea, ngoma nzito ni ushahidi... Kwa kilichotokea Gaza, na hiki Israel inafanya, i swear hii ni nguvu ya NATO, mbeleni huko itakuja kuwa declassified...

Mashariki ya kati taa nyekundu ilikuwa inawaka, na ilikua ni threat kwa west na EU yote, huku kwingine Russia na Ukraine...

Huo mziki ni mzito...
 
Back
Top Bottom