Jeshi la Israel lahuzunika sana kulikosakosa gaidi la Hamas lenye roho Tisa kama ya paka

Jeshi la Israel lahuzunika sana kulikosakosa gaidi la Hamas lenye roho Tisa kama ya paka

Machame Juu

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2013
Posts
1,514
Reaction score
3,363
Akizungumza kwa masikitiko sana mkuu wa majeshi wa Israel southern command Eliezer Toledano amesikitika kwa kumkosa kumuua mara mbili wiki iliyopita gaidi bishi la Hamas Mohammed Deif, 55 pichani hapo chini.

43167747-9594861-image-a-24_1621410270549.jpg


Deif ambaye ni gaidi zoefu ameponea na kukoswakoswa kuuawa mara kadhaa 2011, 2013, 2017, 2018 na mara mbili wiki iliyopita.

IDF imekubali jamaa ni mbishi na janjajanja nyingi katika nyanja ya ugaidi kwasababu company yake muda wake wote ni wanawake na wa watoto na imewawia vigumu sana kumuua kwasababu kila wakijaribu.

Pia licha ya hana miguu yote miwili, mkono mmoja na jicho moja ambavyo vilisavabishwa kutoweka kwenye mashambulio ya awali bado anambinu za kujificha na kutoweka kabla ya kushambuliwa.

Mohammed Deif ni commander wa Hamas Qassam Brigade ambayo imejiusisha sana na mashambulizi mengi sana Israel.

Lakini licha ya IDF kusikitika kumkosakosa Gaidi bishi zoefu la Hamas Mohammed Deif imefarjika kumuua gaidi lingine katili hapo chini pichani Yahya Sinwar akijulika kwa jina lautani 'butcher of Khan Younus'.

43167977-9594861-image-a-13_1621410270502.jpg

IDF inadai inafaham kila nyendo zake wakati wake urafika tu hivi karibuni.
 
Unapata nini kushadadia uovu wa Israel
Si ndio hapo mkuu, hata mimi uwashangaa sana baadhi ya Watanzania ambao urudia rudia propaganda za MSM za magharibi bila ya kutafakari mambo kiundani zaidi - mswahili wa Manzese unawezaji kumuiita mpigania uhuru wa Kipalestina kwamba ni gaidi!! Watu wanao taka kukomboa taifa lao, kuridisha aridhi yao iliyiporwa kimabavu na walowezi wa Kiyahudi yeye anawaona eti ni magaidi, ina maana kwake binadamu kama Nelson Mandela, Samora Marchel, Oliva Tambo,Robert Mugabe na Manekhem Begin Muyahudi aliye kuwa kiongozi wa wenzake huko Palestina kwenye miaka ya 1930/40s alianzisha kikundi cha kushambulia na kuuwa Wapalestina na wakoloni wa Uingereza katika harakati zao za kutaka kuundwa Taifa la Israel ndani ya Palestina - je hao wote tajwa hapo atasema walikuwa ni magaidi kwa kuwa walikuwa wanapigana kukomboa mataifa yao au, yaani Comments nyingine za waswahili za ajabu sana maanake hata kama ni ushabeki basi husizidi UTU.
 
Deif ananikumbusha Mulla Omari kiongozi wa Kitelabani huko Afghanistan, American Military wakimtafuta miaka nenda rudi kumumaliza bila mafanikio - Mulla Omari alikuja kufa a natural death, na Deif itakuwa hivyo hivyo atakufa kifo cha kawaida.
 
Vyombo vya dola wezetu vinafanya kazi kweli kweli sisi huku ,ukisikia vimefanya kazi kipindi cha uchaguzi na maandamano maandamano yenyewe kusifia jitu fulani
 
Hao Israeli ni magaidi tu, wanaua watu 10, watoto inclusive, wakijaribu kumuua mtu mmoja wanayemtuhumu ugaidi.

Sijawahi kupenda uonevu wao.
Walikuwa wanatafuta sababu ya kuwatia unyonge na umaskini zaiidi Palestine. Mtu akurushie jiwe wewe upige makombora kwa makombora. Kisha ubomoe miundombinu yote. Mnafiki U.S. atapeleka hela za ujenzi. OVYO!
Utasikia share za Lockheed na Martin zimepaa.

UN is such a useless body, yaani ni kitengo cha upigaji tu cha mabeberu. Wanachanga hela kisha wanalipana mishahara.

Everyday is Saturday.............................😎
 
Si ndio hapo mkuu, hata mimi uwashangaa sana baadhi ya Watanzania ambao urudia rudia propaganda za MSM za magharibi bila ya kutafakari mambo kiundani zaidi - mswahili wa Manzese unawezaji kumuiita mpigania uhuru wa Kipalestina kwamba ni gaidi!! Watu wanao taka kukomboa taifa lao, kuridisha aridhi yao iliyiporwa kimabavu na walowezi wa Kiyahudi yeye anawaona eti ni magaidi, ina maana kwake binadamu kama Nelson Mandela, Samora Marchel, Oliva Tambo,Robert Mugabe na Manekhem Begin Muyahudi aliye kuwa kiongozi wa wenzake huko Palestina kwenye miaka ya 1930/40s alianzisha kikundi cha kushambulia na kuuwa Wapalestina na wakoloni wa Uingereza katika harakati zao za kutaka kuundwa Taifa la Israel ndani ya Palestina - je hao wote tajwa hapo atasema walikuwa ni magaidi kwa kuwa walikuwa wanapigana kukomboa mataifa yao au, yaani Comments nyingine za waswahili za ajabu sana maanake hata kama ni ushabeki basi husizidi UTU.
Wengi ni wajinga tu walilishwa uongo wa dini
 
Ingekuwa kuuwa viongozi ni suluhu basi kifo cha Osama ugaidi ungeisha,lakini ndo umetapakaa kwa kasi mpaka kufikia idadi ya nchi zenye ugaidi kuongezeka.
 
Comments nyingine za waswahili za ajabu sana maanake hata kama ni ushabeki basi husizidi UTU.
[/QUOTE]
Dini zimetupofusha sana kiasi cha kuona uovu unaofanywa na watu ikiwa imani yako iko upande wao basi ni sawa
 
Back
Top Bottom