The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alqaeda ilienda na mwendazake bin laden face thatIngekuwa kuuwa viongozi ni suluhu basi kifo cha Osama ugaidi ungeisha,lakini ndo umetapakaa kwa kasi mpaka kufikia idadi ya nchi zenye ugaidi kuongezeka.
Hebu onyesha chanzo kinachosema Yahya Sinwar, ambae ni the second ranking leader of Hamas, ameuliwa.imefarjika kumuua gaidi lingine katili hapo chini pichani Yahya Sinwar akijulika kwa jina lautani 'butcher of Khan Younus'.
View attachment 1790870
Alqaida ikaacha watoto wenye itikadi kama za Baba yao wakina Boko Haram,ISIS na Al Shabab.Alqaeda ilienda na mwendazake bin laden face that
Endelea kuotaAnapata Mibaraka