Ingekuwa kuuwa viongozi ni suluhu basi kifo cha Osama ugaidi ungeisha,lakini ndo umetapakaa kwa kasi mpaka kufikia idadi ya nchi zenye ugaidi kuongezeka.
hilo neno gaidi mpk Leo sijafahamu inamaanisha nn maana wanaofanya ugaidi wao ndio wanaitae wenzao magaidi hata Nelson Mandela alikua kwenye list ya magaidi wakati anapambana kuikomboa South Africa Leo Tena Israel anaita wenzake magaidi.