Jeshi la Israel lajiweka kwenye tahadhari ya hali ya juu kabisa likihofia shambulizi la kijeshi kutoka Iran linaloweza kutokea muda wowote

Jeshi la Israel lajiweka kwenye tahadhari ya hali ya juu kabisa likihofia shambulizi la kijeshi kutoka Iran linaloweza kutokea muda wowote

Shia ni swala tatu na siyo tano kama nyinyi na pia wanaamini Hussein ndo mtume wa mwenyezi Mungu kwa kizazi cha Waislam na si Muhammad, endelea kubisha.
Yaani ulivyoenda kumuuliza ndiyo kakuongezea uongo mwingine na kukuhakikishia hoja ya Hussein kuwa ndiye mtume wa mashia! Kweli wewe kiazi.
Ni kwamba hakuna Muislamu anayeswali chini ya swala tano kwa siku,Wao Mashia wanachokifanya kuna baadhi ya swala wanaziunganisha mfano wakiswali swala ya adhuhuri wanaswali na swala ya alasiri na kuhusu Hussein si kama wao ndiyo wanaamini ndiye mtume badala ya mtume Muhammad isipokuwa wao wanaamini baada ya Mtume kufariki aliyestahili kuwa badala yake yaani kiongozi wa umma wa Waislamu(Khalifa) ni huyo Hussein mjukuu wa mtume kwa mtoto wake kipenzi Fatma lakini wengine waliona waliostahili kuchukua nafasi ya Mtume ni maswahaba wake kina Othman,Omar,Abubakar na wengineo, hivyo ndivyo ilivyo asikuongopee mtu.
 
Narudia tena kusema Iran kwa Israel hatambi anapigwa kama kawaida tu tena sehemu Netia tu. Kumbuka Ismail Hanniyeh kilichompata huko Mjini Tehran aliuwawa. Nikikuambia Israel Ina Mkono mrefu uwe unaelewa acha kujazwa propaganda na waarabu. Israel ni Level nyingine kabisa!!
Usifananishe assessnation na mashbuliz ya jeshi kwa jeshi tramp alivyokoswa koswa na ile bullet unafikri usa ni weak
 
Unaambiwa ulete ushahidi una unyanya.
Assassination attempts hata USA inaweza ikafanyiwa, assassination attempts ni kitu kigumu kukizuia.
Ila Full out war Israel hamuwezi Iran hata kidogo.
Kitendo cha Iran kuilipua Israel Oktoba 1 ni sawa na Iran ku declare full out war,je uliona Israel akitangaza vita dhidi ya Iran!?
Badala yake kafanya shambulizi la kioga kwa kutumia anga la Iraq yani hata kuingia anga la Iran kaogopa.
Mtu anayefadhiliwa silaha na USA,UK na France unataka umfananishe na kidume anayeunda silaha mwenyewe mwanzo mwisho!?
Na mara nyingi assassination inafafanywa na mamluki waliofadhiwa fedha na kitu kigum sana kukigundua
 
Weee jamaaa Yesu anakuja kweli ninamaono ya mbaali atamm nimepata picha iyo anakuja kuwashtaki waliotajilika kupitia jina lake!!!!! YEMEN JANA imewataka wakazi waisrael wote ikiwa wanataka kulala usingizi basi waondoke ktk iyo ardhi kwaiyo kazi kwao la kalala macho!!!! au wasepe wakalale kwao Ulaya
pamoja na yote, waisrael jana wamelala usingizi mororo kama pono. hapo unasemaje? adui pekee anayeweza kumfanya israel apoteze usingizi walau ni iran, ila sio hao wavaa kobaz hawana hata maji ya kuoga kisima cha maji kimepigwa na myahudi.
 
Usitudanganye bana mkuu.
Nani amekwambia US na UK hawafanyi mauaji ya kikatili!?
Au nikutolee mifano hapa ya mashambulizi ya kikatili waliyowahi kufanya USA na UK!?
Kataa kubali operation nyingi Israel inasaidiwa kiintelijensia na kijeshi pamoja na USA na UK.
Hata kuidhoofisha Hizbollah ni USA ilihusika pia kama ulikua haujui.
Na kilichofanyika Syria sio nguvu ya Israel usitudanganye,Israel alianza kuishambulia Syria kwa wingi baada ya Assad kuanguka na Iran kuondoa jeshi.

Ila yote ya yote Iran ni mfupa mgumu,Iran ni wa kuangushwa na nchi za magharibi/USA ila sio Israel.
Israel hana huo ubavu.
wanafanya mauaji ya kikatili ila hawamfikii myahudi. myahudi anapiga bandari, anapiga airport, anapiga kinu cha kufua umeme, anapiga matanki ya maji, anapiga visima vya kuhifadhia mafuta, anapiga maeneo muhimu tu yanayoingiza pesa za nchi. ila UK na US wanaweza kupiga maeneo yenye silaha au zile strategic areas zaidi. cha muhimu nilichoeleza awali, mashambulizi yote ya israel Yemen wamekuwa wakieleza kwamba hapa katupiga myahudi, hapa ni US na UK. lila wayemen wa mbagala wanaamini israel hana uwezo hata kurusha bom pale yemen ila uK na US.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa sahihi za kiinteligensia zaonyesha Iran inajambo lake

IDF imejipanga kikamilifu kukabiliana na jambo hilo.

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

Mungu ibariki Israel , Adonai hajawahi shindwa

Mungu wabariki wote wanaomkiri Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wao




Live Update arrow right icon From the Liveblog of Sunday,
January 5, 2025
IDF said on high alert for ‘extreme’ Iranian steps against Israel
Today, 7:53 am
7

IDF Chief of Staff Lt. Gen. Herzi Halevi has ordered the military on high alert in case Iran decides to take “extreme” steps against Israel in the coming days, the Walla news site reports.

The report, citing unnamed defense sources, says the caution comes as Iran faces multiple challenges following setbacks in Lebanon and Syria. It also points to Iran’s plunging exchange rate, infrastructure problems and political unrest.

The sources also note the uncertainty for Iran ahead of the return of Donald Trump to the White House later this month.


All this has Israel concerned that Iran could lash out and has the IDF preparing for a variety of scenarios, the report says without elaborating.
Iran iache ubabaishaji kama inaiweza Israel ipeleke vikosi vyake mpakani na Israel alafu atoe amri Israel ashambuliwe
 
naona wewe umetoka usingizini,au umekula alkasusu asubuhi? Israel amechakaza gaza yote, kauwa viongozi wote wa hamas, kauwa viongozi wote wa hezbollah, kasambaratisha syria hadi jamaa kakimbia, kapiga wahuthi kwa ndege zake, halafu leo unasema hawezi kuwashinda watu ambao tayari wapo kaburini? operation zote za UK na US huwa zinatangazwa, na kwa taarifa yako US NA UK huwa hawafanyi operation za kikatili kama ya myahudi, wao huwa wanaogopa kuchafua brand.ukiona kuna ndege imepiga bandari, imepiga airport kama ile iliyopiga maeneo 30 mwezi uliopiga hadi mhuthi akaduwaa, hayo ni mashambulizi ya kikatili sana na jua ni ya myahudi, sio US wala UK. pia, wahuthi wenyewe huwa wanaweka specific kabisa, wakipigwa na myahudi wanasema hapa ametupiga myahudi, wakipigwa na UK au US wanasema ni hao. ila wewe mhuthi wa tuangoma uliyeshiba vitumbua na chai isiyotosha sukari, umejazwa matope kabisa kichwani.hata hujielewi unaongea nini.
Unawezaje kutofautisha myahudi na US? Kwanini US mara nyingi huwa wanapiga baada ya houth kushambulia Israel? Gaza imechakazwa majengo bro Kuna fighters zaidi ya 30k pamoja na reserve ya hamas walio active ni 20k+ Hilo IDF wenyewe wamekiri Kama wew unangalia kuchaza majengo na kuua viongozi ambao wako open wanaishi maisha yao ndio ushindi wa vita Bado unashida ambayo hatuwezi kukusaidia,
 
Ayo madhala anaficha kama anavochifa vipigo vengine jiulize ww kwann wapitishe sheria ya kuzuiya Habari vita lazima zitoke kwao tu sasa nani atatwambia kama wamekufa zaid ya 300!! Waondoe iyo sheria ndio utajua kwann uko Telaviv akuna kulala kenge maji.
Duniani kote kama nchi iko vitani kuna sheria zinazolinda Usalama wa Taifa si kila kitu lazima kiripotiwe lakini kuna vitu lazima viripotiwe mfano kituo cha umeme,Mafuta,Majengo Mhimu au watu wamekufa hivyo lazima vitolewe maelezo kwa umma pia ielewwke kwa Utandawazi uliopo hakuna kitu utaficha lazima watu hata wakiwa majumbani kwao watapiga picha na kusambaza hizo habari. Kwa hiyo hiyo Diana ya kusema Israel inaficha habari hiyo ni uongo mkubwa.Mfano Iran Oct iliyopita aliishambulia Israel alirusha makombola zaidi ya 400 mengi yaliangukia sehem za wazi jangwani mengine yalipopolewa na mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel na hakuna mtu aliyekufa toka Israel bali yaliua gaidi mmoja aliyejipenyeza huko kwa njia haramu. Lakini Iran imekuwa ikitamba uongo iliposhambuliwa na Israel walidai hakukuwa na madhara lakini baadaye tuliona misafara wakienda kuzika wanajeshi wao waliouwawa na mashbulizi ya ndege-Vita za Israel. Kwa kifupi nchi za kiarabu na Iran zinategemea sana uongo ili tu zionekane zinapata ushindi dhidi ya Israel uzuri mambo ya kijeshi ni FACTS ndizo zinaonyesha kuwa unapigwa au hupigwi majibu yanapatikana kwenye uwanja wa vita wala si kwa kutoa visingizio visivyp na maana yoyote. Shambulio la Iran kwa Israel lilikuwa halina madhara kwa Israel angalia Mapipa yao yaliyopopolewa na mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel. Safari hii Iran akijaribu ungese wake itakula kwake!!
 

Attachments

  • VID-20241004-WA0050.mp4
    1.1 MB
  • VID-20241005-WA0030.mp4
    1.2 MB
Unawezaje kutofautisha myahudi na US? Kwanini US mara nyingi huwa wanapiga baada ya houth kushambulia Israel? Gaza imechakazwa majengo bro Kuna fighters zaidi ya 30k pamoja na reserve ya hamas walio active ni 20k+ Hilo IDF wenyewe wamekiri Kama wew unangalia kuchaza majengo na kuua viongozi ambao wako open wanaishi maisha yao ndio ushindi wa vita Bado unashida ambayo hatuwezi kukusaidia,
kwa hiyo mmeaminishwa kwamba israel ameshindwa vita lebanon na Gaza. hivi akili mnakuwaga mmepeleka wapi aisee?
 
Sisi ni waumini ahadi yetu siku zote ni ya kweli hata mkiona tumechelewa kuitekeleza msifikiri tumewaacha
 
Unawezaje kutofautisha myahudi na US? Kwanini US mara nyingi huwa wanapiga baada ya houth kushambulia Israel? Gaza imechakazwa majengo bro Kuna fighters zaidi ya 30k pamoja na reserve ya hamas walio active ni 20k+ Hilo IDF wenyewe wamekiri Kama wew unangalia kuchaza majengo na kuua viongozi ambao wako open wanaishi maisha yao ndio ushindi wa vita Bado unashida ambayo hatuwezi kukusaidia,
Kuna kipindi watu mnaongea utafikiri akili mmewekeza kwa waarabu!! Unawezaje kutofautisha magaidi wa Hamas na Hezbollah au Houthi? Magaidi ni magaidi tu. Nakushangaa wewe unayejua hata idadi ya magaidi ambao wewe unawaita fighters ambao Oct 07,2023 walibaka,walitesq watu,waliteka nyara watu na kuua watu huko Israel. Uimara wa Nchi,Vikundi au jumuia ni viongozi na vita ni pamoja na kuwaua hao viongozi maana ndiyo wanaoongoza na kuhamasisha ujinga unaoendelea na kwa sababu walitangaza vita lazima viongozi wauwawe tu maana ndiyo waliopanga mauaji ya Oct 07,2023 na sasa wanavuna walichopanda. Kitendo hamas walikitenda watakijutia maishani mwao milele na ni ujinga kufikiri Israel inaweza kushindwa na Magaidi wa Hamas.
 

Attachments

  • VID_20240711_135322_209.mp4
    16 MB
  • VID_20240519_171816_334.mp4
    4.2 MB
Ndiyo maana wanadanganywa kuwa wakifa wakifanya Ugaidi wataenda kupewa Mabikira 72 huko Jehanamu nao kwa ujinga nao wanaukubali uongo huo.
 
Kuna kipindi watu mnaongea utafikiri akili mmewekeza kwa waarabu!! Unawezaje kutofautisha magaidi wa Hamas na Hezbollah au Houthi? Magaidi ni magaidi tu. Nakushangaa wewe unayejua hata idadi ya magaidi ambao wewe unawaita fighters ambao Oct 07,2023 walibaka,walitesq watu,waliteka nyara watu na kuua watu huko Israel. Uimara wa Nchi,Vikundi au jumuia ni viongozi na vita ni pamoja na kuwaua hao viongozi maana ndiyo wanaoongoza na kuhamasisha ujinga unaoendelea na kwa sababu walitangaza vita lazima viongozi wauwawe tu maana ndiyo waliopanga mauaji ya Oct 07,2023 na sasa wanavuna walichopanda. Kitendo hamas walikitenda watakijutia maishani mwao milele na ni ujinga kufikiri Israel inaweza kushindwa na Magaidi wa Hamas.



View: https://youtube.com/shorts/e4JmEtMvt1I?si=bfe5bVpcKoAnes33
 
Kuna kipindi watu mnaongea utafikiri akili mmewekeza kwa waarabu!! Unawezaje kutofautisha magaidi wa Hamas na Hezbollah au Houthi? Magaidi ni magaidi tu. Nakushangaa wewe unayejua hata idadi ya magaidi ambao wewe unawaita fighters ambao Oct 07,2023 walibaka,walitesq watu,waliteka nyara watu na kuua watu huko Israel. Uimara wa Nchi,Vikundi au jumuia ni viongozi na vita ni pamoja na kuwaua hao viongozi maana ndiyo wanaoongoza na kuhamasisha ujinga unaoendelea na kwa sababu walitangaza vita lazima viongozi wauwawe tu maana ndiyo waliopanga mauaji ya Oct 07,2023 na sasa wanavuna walichopanda. Kitendo hamas walikitenda watakijutia maishani mwao milele na ni ujinga kufikiri Israel inaweza kushindwa na Magaidi wa Hamas.
Kwanza tukio la Oct 7 linautata Hata waisraeli wenyewe wanajua hamas hawakuua wala kubaka raia ukweli unaenda unfichuka IDF waliua watu siku hio, kutokana na paniki au ndio mpango wa netanyau kuvamia Gaza utimie, hamas alivamia jeshini na baadhi ya open space walichukuliwa lakin wengi ni wanajeshi. Idf walilipua Kwenye sherehe hao 1200 ni Idf wenyewe waliua watu wao
 
Kwanza tukio la Oct 7 linautata Hata waisraeli wenyewe wanajua hamas hawakuua wala kubaka raia ukweli unaenda unfichuka IDF waliua watu siku hio, kutokana na paniki au ndio mpango wa netanyau kuvamia Gaza utimie, hamas alivamia jeshini na baadhi ya open space walichukuliwa lakin wengi ni wanajeshi. Idf walilipua Kwenye sherehe hao 1200 ni Idf wenyewe waliua watu wao
Ni mjinga na mpumbavu tu kama wewe ndiye ataweza kuamini huu UHARO wako. Hata hivyo haitasaidia kupunguza kipondo wanachopata magaidi wa Hamas. Ismail Hanniyeh na Yahya Sinwar walipanga na kutekeleza Mauaji hayo na wao walisema na kuyapongeza mpaka wakaita Al-Agsa Floods cha ajabu wewe mmatumbi mwenzangu unasema shambulio la Oct 07,2023 lina utata hapo umeonyesha ni jinsi gani ulivyo zuzu. Kwa akili hata ya chekechea tu nani anaweza kuua watu wake mwenyewe? Mna matatizo makubwa sana mliofakamia UHARO wa waarabu,wao wanaongozwa na uongo kwao ni ( TAQIYYA ) ni kawaida sana wao kusema uongo hasa wakicharazwa mboko na Israel. Kumbuka magaidi hao waliua wananchi wetu waliteka nyara wanawake ili wawabake na mpaka sasa bado wanawashikilia ni aibu kwa Mmatumbi kama kushabikia wauaji kama HAMAS,HEZBOLLAH,HOUTHI au Iran.
 

Attachments

  • VID_20240617_121758_207.mp4
    1.1 MB
  • VID_20240522_193720_001.mp4
    36.1 MB
Huyo Jimmy Cater ndiyo kwenu leo hii mnaona ndiye Mungu? Toka aseme maneno hayo kuna badiriko gani? Mpaka amekufa tu ameona kuna badiriko lolote? Wakati huohuo mnaandamana mnasema Death to America leo wewe Mmatumbi mwenzangu una- Quote maneno yake!! Wakati mwingine wafuga Midevu na Majini tumieni akili zenu vizuri!!

At least umeiona mpaka Viongozi wa Marekani wanaujuwa ukweli , nyinyi masalia endeleeni kuvalishwa Pampers
 
Back
Top Bottom