Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda Ikulu ndogo, Ikulu kubwa iko Ukingo wa MagharibiDah hawa jamaa mda si mrefu watapiga selfie ikulu Palestina
Gaidi kwako ni mpigania uhuru kwa wenye kujielewa wote duniani.Ila inashangaza asee eti Gaza ilikuwa na bunge. Basi hiyo miswada yote iliyokuwa inapitishwa ilikuwa ya kigaidi tu.
Mzuka wanajamvi,
Jeshi tukufu, takatifu na Teule la Israel IDF lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la bunge Gaza huku wakipeperusha bendera ya taifa teule la Israel wakiwa na furaha.
View attachment 2813097
View attachment 2813098
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.Wewe ni mtumwa wa waarabu wazee wala ndogo [emoji23] pia kumbuka Mungu hana dini sio muislam wala mkristo
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Sikushangai, nafahamu kuwa watenda dhambi mnaogopa hata kuusikia Uislam.
Uhuru unapiganwa kwa kuuwa watu na kuteka watu wasiohusika halafu Unaacha kupigana na watu wenye nguvu na silaha ambao ndio unaamini wamechukua ardhi yako..! We bibi una matatizoGaidi kwako ni mpigania uhuru kwa wenye kujielewa wote duniani.
Sikushangai mtumwa wa mazayuni.
Bibie hebu mkiri Yesu uokoke utakuwa ntu poa sana.Gaidi kwako ni mpigania uhuru kwa wenye kujielewa wote duniani.
Sikushangai mtumwa wa mazayuni.
Umejazwa ujinga ukakujaa.Uhuru unapiganwa kwa kuuwa watu na kuteka watu wasiohusika halafu Unaacha kupigana na watu wenye nguvu na silaha ambao ndio unaamini wamechukua ardhi yako..! We bibi una matatizo
BibiGaidi kwako ni mpigania uhuru kwa wenye kujielewa wote duniani.
Sikushangai mtumwa wa mazayuni.
upigania uhuru ni kuua watoto w kiyaudi ? mbona Nyerere angeua wengiGaidi kwako ni mpigania uhuru kwa wenye kujielewa wote duniani.
Sikushangai mtumwa wa mazayuni.
🤣🤣🤣🤣🤣Umejazwa ujinga ukakujaa.
Watu wasiohusika hakuna aliyepigana nao, walitekwa ili wapalestina waliojazwa majela ya Israel kwa maelfu waachiwe.
Halafu kama haitoshi hao ndiyo imekuwa mtego wa kuwaingiza mazayuni wachezee kichapo mpaka Palestina waipate haki yao. Na mazayuni hapo wamingia kichwa kichwa, sasa hawana pakuytokea, wacha waingie kote wapiga picha za utalii, zitakuwa ukumbusho kwa wenzao, hao unafikiri wote watachomoka hapo walipojiingiza?
Au hilo hulijuwi wewe?
Hao wanajeshi ni makondoo waliopotea wanatafuta ushindi wa kijinga wa picture ili waonekane walifika Gaza 😄Mzuka wanajamvi,
Jeshi tukufu, takatifu na Teule la Israel IDF lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la bunge Gaza huku wakipeperusha bendera ya taifa teule la Israel wakiwa na furaha.
View attachment 2813097
View attachment 2813098
OkLabda Ikulu ndogo, Ikulu kubwa iko Ukingo wa Magharibi