Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Umejazwa ujinga ukakujaa.

Watu wasiohusika hakuna aliyepigana nao, walitekwa ili wapalestina waliojazwa majela ya Israel kwa maelfu waachiwe.

Halafu kama haitoshi hao ndiyo imekuwa mtego wa kuwaingiza mazayuni wachezee kichapo mpaka Palestina waipate haki yao. Na mazayuni hapo wamingia kichwa kichwa, sasa hawana pakuytokea, wacha waingie kote wapiga picha za utalii, zitakuwa ukumbusho kwa wenzao, hao unafikiri wote watachomoka hapo walipojiingiza?


Au hilo hulijuwi wewe?
Bibi una mikwara
 
Viva Israel,libarikiwe taifa teule la Mungu.
Huu utahira kwa watu weusi sijui utaisha lini? Hakuna kitu kinaitwa taifa teule wwe jitu jeusi. Dini za mashariki zimepumbaza akili ya mtu mweusi mpaka kuona uarabu ni bora na akina nyie wengine kuona Israel ni taifa teule. Futeni hayo makamasi watu weusi.
Kuheshimu watu wa jamii zingine kusiwafanye kuwa dhalili. Kuweni na mipaka ya mahaba kwa races zingine, kwani wao wanakutazameni kama manyani na watumwa.
 
Back
Top Bottom