Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Umejazwa ujinga ukakujaa.

Watu wasiohusika hakuna aliyepigana nao, walitekwa ili wapalestina waliojazwa majela ya Israel kwa maelfu waachiwe.

Halafu kama haitoshi hao ndiyo imekuwa mtego wa kuwaingiza mazayuni wachezee kichapo mpaka Palestina waipate haki yao. Na mazayuni hapo wamingia kichwa kichwa, sasa hawana pakuytokea, wacha waingie kote wapiga picha za utalii, zitakuwa ukumbusho kwa wenzao, hao unafikiri wote watachomoka hapo walipojiingiza?


Au hilo hulijuwi wewe?
Ha ha ha..... Haya maneno tulianza yasema toka Day one... Naona wayahudi wanasonga tu mbele. Tulisema wakigusisha tu wanabanwa. Sasa wameingiza kichwa... Tukasema wakiingiza kichwa tu wanabanwa. Sasa wameingiza mashine yote. Tukasema wakiingiza mashine yote tu wanabanwa. Sasa wana pump ... Wanakolekea watafika kileleni. Na wataacha tu nanii zao ndani kisha wajiondokee.
 
Hao wanajeshi ni makondoo waliopotea wanatafuta ushindi wa kijinga wa picture ili waonekane walifika Gaza 😄

Kuna sehemu zingine Gaza ni km 0.6km kutumia njia ya bahari labda hata hilo bunge liko area za baharini ndio sababu wamefika, tuonyesheni mmefika Gaza city? Au hio Al Shifa Hospital mmeisha fika au bado?
Mkuu si ulisema IDF hawatoingia gaza
Umekuja na jipya tena.
🤣🤣🤣🤣🤣 Area za baharini
 
Yani hamas kumbe wana hadi bunge,so hamasi ilikuwa ni nchi ndani ya nchi.
 
Umejazwa ujinga ukakujaa.

Watu wasiohusika hakuna aliyepigana nao, walitekwa ili wapalestina waliojazwa majela ya Israel kwa maelfu waachiwe.

Halafu kama haitoshi hao ndiyo imekuwa mtego wa kuwaingiza mazayuni wachezee kichapo mpaka Palestina waipate haki yao. Na mazayuni hapo wamingia kichwa kichwa, sasa hawana pakuytokea, wacha waingie kote wapiga picha za utalii, zitakuwa ukumbusho kwa wenzao, hao unafikiri wote watachomoka hapo walipojiingiza?


Au hilo hulijuwi wewe?
Sasa mbona mnalia lia?😂😂
 
Ninyi watu, hamna la kufanya usiku wote huu na baridi yote hii, mmekaa mnawatetea waisrael na wapalestina ambao wote kwa pamoja wanawadharau sana waswahili..
Wageukieni wenza wenu mujiinjoi.
Yan watu ni wapumbuvu dunia hii hujapata kuona
 
Mkuu si ulisema IDF hawatoingia gaza
Umekuja na jipya tena.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Area za baharini
Kenge hao, hata kipindi kile cha Vita ya Ghuba, walisema America haitafua dafu kwa makombola ya scud ya Sadam,
Walisema hawataweza kumkamata Osama,
Sasa Gaza inachukuliwa, inakuwa makazi ya Jews, natamani kuwaona wabunge wa bunge LA Iran, waliokata mauno na kuserebuka October 7,Hamas walipovamia Israel.
 
Ninyi watu, hamna la kufanya usiku wote huu na baridi yote hii, mmekaa mnawatetea waisrael na wapalestina ambao wote kwa pamoja wanawadharau sana waswahili..
Wageukieni wenza wenu mujiinjoi.
Wanapiga gomba.. hakuna kulala
 
Sidhani kama walitumwa gaza kwenda kupiga picha kwenye magofu ,bali walitumwa gaza kwenda kuiangamiza hamas na kuwakomboa mateka.
Wanaendelea na mchakato na lengo litafikia muda si mrefu.Btw pole kwa ban na karibu tena jukwaani.
 
Umejazwa ujinga ukakujaa.

Watu wasiohusika hakuna aliyepigana nao, walitekwa ili wapalestina waliojazwa majela ya Israel kwa maelfu waachiwe.

Halafu kama haitoshi hao ndiyo imekuwa mtego wa kuwaingiza mazayuni wachezee kichapo mpaka Palestina waipate haki yao. Na mazayuni hapo wamingia kichwa kichwa, sasa hawana pakuytokea, wacha waingie kote wapiga picha za utalii, zitakuwa ukumbusho kwa wenzao, hao unafikiri wote watachomoka hapo walipojiingiza?


Au hilo hulijuwi wewe?
Faiza acha basi kuwa kama yule msemaji wa Saddam enzi zile jeshi la Marekani wameingia Baghdad yeye akawa anaendelea na porojo zake za kuchora mstari chini kuwa wakivuka wamekwisha.Masaa kadhaa utawala wa Saddam ukaangushwa.Mlianza na porojo za hawawezi thubutu kuingia Gaza sasa hivi unaleta porojo za hawatoki salama [emoji3][emoji3]
 
Hao wanajeshi ni makondoo waliopotea wanatafuta ushindi wa kijinga wa picture ili waonekane walifika Gaza [emoji1]

Kuna sehemu zingine Gaza ni km 0.6km kutumia njia ya bahari labda hata hilo bunge liko area za baharini ndio sababu wamefika, tuonyesheni mmefika Gaza city? Au hio Al Shifa Hospital mmeisha fika au bado?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] doh,nitaendelea kufurahia comments zako.
 
Back
Top Bottom