Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Al Saaf in the making.Mazayuninwalishamaliza kazi.Wiki ijayo wanaenda kusafisha Hizbullah.Kaa mkao wa kula.Mwaka huu si mzuri kwa magaidi
Siku ya 38 leo. Wameanza kupata wehu huko, inabidi wakodishe "mercenaries".

Unalielewa hilo?
 
Umejazwa ujinga ukakujaa.

Watu wasiohusika hakuna aliyepigana nao, walitekwa ili wapalestina waliojazwa majela ya Israel kwa maelfu waachiwe.
Mbona wameteka wasiohusika watanzania wenzetu wawil Mollel na Mtenga na hawajawaachia hadi leo.hao Hamas wako
 
Mkuu uwe una jibu maswari unayo ulizwa nime kuuliza hiyo idadi wa wapiganaji 3000 kuingia Israel ni kwa mujibu wa nani ? mbona ndo mara ya kwanza kusikia kwako?
Hapo ndio tunakwenda kwenye majibu.
Unajua hiyo idadi ya wapiganaji 3000 na zaidi ilitolewa na nani?
Nikakuuliza unajua hiyo October 07 walipoingia israel na kuua wanajeshi 390 na polisi 145 na raia 1400.
Nani alikadiria hesabu yao na kwa uhakika upi????
NB: NI MARA YA KWANZA SABABU HUFUATILII NA HUJUI MAITI NGAPI ZA WAPIGANAJI WA HAMAS ZILIBAKI ISRAEL OCTOBER 07 NA 08 NA 09
 
Na usisahau leo ni siku ya 38 toka Hamas wateke Watanzania wenzetu wawili.Mollel na Mtenga hawajawaachia usiongelee tu.hso waarabu wako wa Palestina tuna Watanzania wenzetu wako mateka mikononi mwao Hamas
Being in the wrong place at the wrong time.
 
Netanyahu leo katangaza atawacha vita mateka wakiwachiwa.
.mnafahamu maana yake nini hiyo? Kwa mtu aliyekuwa anasema haongei kuwacha vita mpaka Ghaza wote waishe?

Mtajaza wenyewe.
 
Gaidi kwako ni mpigania uhuru kwa wenye kujielewa wote duniani.

Sikushangai mtumwa wa mazayuni.
ulituambia Hamas wanawanyoosha IDF ground battle vipi unasemaje sasa ?! Mkasema IDF inapiga watoto na wanamake tu vita hawawezi vipi je hapo wapo clinic eti ?
 
Na mazayuni hapo wamingia kichwa kichwa, sasa hawana pakuytokea, wacha waingie kote wapiga picha za utalii, zitakuwa ukumbusho kwa wenzao, hao unafikiri wote watachomoka hapo walipojiingiza?
Yaani hapa naona ulivyojijaza imani kama ya bikra 72.

Hii imani ilete kwa Yesu mama. Umkiri Yesu Kristo kama Bwana na mwokozi wa maisha yako ili ulithi ufalme wa milele
 
Hawa malofa kweli wanapiga picha ndani ya bunge wakati hawajui mateka wao zaidi ya 230 walipo
 
Umejazwa ujinga ukakujaa.

Watu wasiohusika hakuna aliyepigana nao, walitekwa ili wapalestina waliojazwa majela ya Israel kwa maelfu waachiwe.

Halafu kama haitoshi hao ndiyo imekuwa mtego wa kuwaingiza mazayuni wachezee kichapo mpaka Palestina waipate haki yao. Na mazayuni hapo wamingia kichwa kichwa, sasa hawana pakuytokea, wacha waingie kote wapiga picha za utalii, zitakuwa ukumbusho kwa wenzao, hao unafikiri wote watachomoka hapo walipojiingiza?


Au hilo hulijuwi wewe?
Kula chuma iko mpaka useme
 
Unanipa pole kwa ban kwani nalipwa mshahara useme baada ya kupigwa ban niliukosa au?
Haulipwi mshahara lakini muda mwingi upo hapa nimekupa pole sababu kwa kiasi flan ulikosa access ya kuchangia mada mbali mbali kama ilivyo kawaida yao.Hakuna anaelipwa mshahara hapa zaidi ya waajiriwa wa JF.
 
Back
Top Bottom