Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Hapo ndio tunakwenda kwenye majibu.
Unajua hiyo idadi ya wapiganaji 3000 na zaidi ilitolewa na nani?
Nikakuuliza unajua hiyo October 07 walipoingia israel na kuua wanajeshi 390 na polisi 145 na raia 1400.
Nani alikadiria hesabu yao na kwa uhakika upi????
NB: NI MARA YA KWANZA SABABU HUFUATILII NA HUJUI MAITI NGAPI ZA WAPIGANAJI WA HAMAS ZILIBAKI ISRAEL OCTOBER 07 NA 08 NA 09
Mkuu hizo takwimu zako mbona ni mara ya kwanza kuzisikia kwa sababu hata Israel yenyewe haijawahi kutoa takwimu hizo ulizo zileta.
 
Haulipwi mshahara lakini muda mwingi upo hapa nimekupa pole sababu kwa kiasi flan ulikosa access ya kuchangia mada mbali mbali kama ilivyo kawaida yao.Hakuna anaelipwa mshahara hapa zaidi ya waajiriwa wa JF.
Ni kweli ila siwezi nyamazia mtu anaye nikesea heshima hata nipigwe ban mara 100.
 
Netanyahu leo katangaza atawacha vita mateka wakiwachiwa.
.mnafahamu maana yake nini hiyo? Kwa mtu aliyekuwa anasema haongei kuwacha vita mpaka Ghaza wote waishe?

Mtajaza wenyewe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] atawacha vita Ghaza
 
Mkuu hizo takwimu zako mbona ni mara ya kwanza kuzisikia kwa sababu hata Israel yenyewe haijawahi kutoa takwimu hizo ulizo zileta.
Mkuu duuh ina maana haufuatilii vyombo vya habari kujua yanayojiri kati ya IDF na Hamas kwenye press media zao
 
Sidhani kama walitumwa gaza kwenda kupiga picha kwenye magofu ,bali walitumwa gaza kwenda kuiangamiza hamas na kuwakomboa mateka.
Ni pamoja na kupiga picha kuonyesha hatua ya mafanikio waliyofikia
 
Siku ya 38 leo. Wameanza kupata wehu huko, inabidi wakodishe "mercenaries".

Unalielewa hilo?
Israel ataendelea kukaa hapo gaza hata miezi ili magaidi waliokimbilia ndani ya mahandaki wafe kwa njaa huko chini
 
Mkuu mbona nafuatilia sana? Na ndio maana nime kwambia kuwa takwimu zako zina walakini kwa sababu hazijawahi kutolewa na media yeyote au Israel.
Fuatilia utaona mkuu na utajua ni maiti ngapi za wanajeshi wa Hamas zilipatikana ndani ya Israel October 07 na 08 na 09
 
Hao wanajeshi ni makondoo waliopotea wanatafuta ushindi wa kijinga wa picture ili waonekane walifika Gaza [emoji1]

Kuna sehemu zingine Gaza ni km 0.6km kutumia njia ya bahari labda hata hilo bunge liko area za baharini ndio sababu wamefika, tuonyesheni mmefika Gaza city? Au hio Al Shifa Hospital mmeisha fika au bado?
haya hapo ni wapi?
 
Back
Top Bottom