Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Huu utahira kwa watu weusi sijui utaisha lini? Hakuna kitu kinaitwa taifa teule wwe jitu jeusi. Dini za mashariki zimepumbaza akili ya mtu mweusi mpaka kuona uarabu ni bora na akina nyie wengine kuona Israel ni taifa teule. Futeni hayo makamasi watu weusi.
Kuheshimu watu wa jamii zingine kusiwafanye kuwa dhalili. Kuweni na mipaka ya mahaba kwa races zingine, kwani wao wanakutazameni kama manyani na watumwa.
Sina ushabiki mimi zaidi ya kulibariki tu basi.
 
Una wehu kidogo? Unafahamu maana ya "shaheed"?
Sina haja ya kufahamu maneno ya kiarabu kama utajisikia unaweza nielezea.Lakini pia punguza kucomment huku unafoka,umri wetu huu siyo wa kujipa stress kiasi hiki.
 
Faiza acha basi kuwa kama yule msemaji wa Saddam enzi zile jeshi la Marekani wameingia Baghdad yeye akawa anaendelea na porojo zake za kuchora mstari chini kuwa wakivuka wamekwisha.Masaa kadhaa utawala wa Saddam ukaangushwa.Mlianza na porojo za hawawezi thubutu kuingia Gaza sasa hivi unaleta porojo za hawatoki salama [emoji3][emoji3]
General Ali Komico
 
Jamani bibie acha kuwaita watu mazayuni FaizaFoxy tokea ucomment kwenye uzi wangu wa kutapeliwa kazi niliacha kukusema sana so sikuhizi nakuomba usiwaite watu majina ya ovyo bahna .
 
Gaidi kwako ni mpigania uhuru kwa wenye kujielewa wote duniani.

Sikushangai mtumwa wa mazayuni.
sasa shangazi, wewe ulikuwa unasema israel anapata kipondo na ameshindwa, mbona sasaivi wananajisi bunge la hamas? hamas wapo wapi kulinda bunge lao? majority of their leaders have been eliminated.
 
tunnels [emoji1] ngojea watu wenye ujuzi wa engineering hasa civilian engineering nawale ma expert watatueleza wanacho ongea Israel ni kweli au ujinga [emoji1]

Kumbe Mende ndio Central command
unabishana na video ? yaan waislam mna matatizo sio bure
 
Wewe ni mwehu , unajua Gaza occupation ya 2005 kurudi nyuma ya wazayuni hapo Gaza imekaa kwa muda gani huku ikishuhudiwa Hamas kuzaliwa na kukua kama walivyo leo ?
Kenge we
Wewe unadhani hata wazayuni wakiamua kukaa hapo ndio kwamba Harakati za Hamas zitaisha au watakufa njaa ,kwa akili yako mgando hiyo ? , Unajua urefu wa hizo bunkers na tunnels ? ,
Unajua hizo tunnels zimesambaa mpaka katika mataifa gani hapo ya karibu ?
Unajua supplies za ujenzi na uzalishaji wa silaha Hamas walikuwa au wanaendelea kuzipata kwa namna gani ukizingatia Gaza miaka yote imekuwa surrounded katika mipaka yako na wazayuni (border control ) na kabla ya 2005 hao Hamas wameanza kujenga hizo underground bunkers and tunnels na wazayuni wakiwa hapo hapo kama occupiers
Tumia akili usitumie emotions za kijinga na makalio kufikiri
kwamba kuna siku israel waliwa kufanya kitu kama hicho Gaza nazungumzia Gaza , elewa Gaza
 
Hii vita haijaisha ,Hamas sio wajinga kama ninyi wapuuzi wengi mnavyofikiri
Gaza itakuwa graveyard ya wazayuni , hapatakalika hapo na patakuwa mwiba always kwa mvamizi wa Kizayuni

Mzayuni atakuwa anapigana na ghosts ,we subiri uone .
Hamna mvamizi wa kizayuni atakayetoka salama hapo , hiyo ni zaidi ya urban warfare
una akili za kimuvi muvi sana , yaan waache hadi maandaki yao ya makao makuu hlf ww useme kuna habar mpya hapo , labda nchi jiran ziivamie Israel ghafla
 
Apartheid regime ya wazayuni haitaweza kuconqure Gaza hata siku moja ,ni mwendawazimu tu ndio atafikifiri hivyo ,ile breed ya raia wa kipalestina waliopo pale ni tofauti na wale mamluki wa kule westbank waliokubali kuongozwa na kibaraka wa wazayuni (Mahmoud Abbas ) huku wakiendelea kuteseka kila siku na ukandamizaji na dhulma za makaburu wa Kizayuni
Wale mtoto anazaliwa ana experience struggles dhidi ya wazayuni mpaka kukua ,
We unategemea huyo mtu atakubali vipi ku compromise na washenzi wazayuni .
An eye for an eye
hv hii elimu ya kukariri imewatia ujinga , kila mtu ana mamlaka yakr hapo hiyo ni full war sio civil war , au huelew maana ya apartheid regime ? wapalestina waliopo ndan ya israel wanasema wana enjoy ila nyiny vikaragosi ndio mnaleta kelele
 
sasa shangazi, wewe ulikuwa unasema israel anapata kipondo na ameshindwa, mbona sasaivi wananajisi bunge la hamas? hamas wapo wapi kulinda bunge lao? majority of their leaders have been eliminated.
Anti nisome vizuri, mimi nimesema toka siku ya kwanza, huu ni ushindi mkubwa sana kwa Waplestina na nnaendelea kusema hivyohivyo.

Unaongea lugha za kwalee, au na wewe wamoo? Sisi hatuongei sana, waulize hao mabwana zaoko, hii vipi:

 
Anti nisome vizuri, mimi nimesema toka siku ya kwanza, huu ni ushindi mkubwa sana kwa Waplestina na nnaendelea kusema hivyohivyo.

Unaongea lugha za kwalee, au na wewe wamoo? Sisi hatuongei sana, waulize hao mabwana zaoko, hii vipi:

View attachment 2813667
sasa mbona kafiri wa kiyahudi ananajisi bunge la Gaza, hi ni sawa kweli? na mlisema hawana hata uwezo kucontrol. kinachosikitisha ni kwamba, from now onwards Gaza inaenda kukaliwa kwa mabavu upya kama ilivyokua kabla ya 2005. si unakumbuka ile evacuation ya wayahudi Ganza na walivyovunja nyumba zao ili wawaachie wapalestina, Netanyau amesema wameamua warudi kuitawala Gaza tena kwasababu bila hivyo wameona hawaishi kwa amani. kwa sasa wataanza na kuifanya kama buffer zone na baadaye majengo ya walowezi wa kiyahudi yataanza kujengwa. tuwape pole tu wapalestina.isingekuwa hamas wala hayo yasingetokea pengine.
 
Ndio hivyohivyo kwa wanawake na watoto wa Gaza wanaouawa na Wayahudi kwenye hiyo operation.
Hivyo hakuna haja ya kulalamika.

Hao watoto na wanawake wa Gaza wataendelea kuuawa kwa sababu hawapo sehemu sahihi kwa wakati usiosahihi.
Wapalestina wapo kwao unawaambia hawapo sehemu sahihi? Au walitokea Tanzania na wao?
 
Dini ya waarabu inakuhusu nini wewe muafrica mwenye ngozi kama mkaa [emoji23] hivi wao ni mawakala wa kuwapeleka peponi kwamba wanajuana sanaa na Mungu
Nafahamu tatizo ni elimu yako tu, ilikujaza ujinga. Nnauhakika hata maana ya neno "dini" huielewi.

Tumia muda wako mwwingi kujisomea badala ya kubishana kijinga mtandaoni.
 
Sina haja ya kufahamu maneno ya kiarabu kama utajisikia unaweza nielezea.Lakini pia punguza kucomment huku unafoka,umri wetu huu siyo wa kujipa stress kiasi hiki.
Kumbe hata Kiswahili bado hukielewi, sikushangai, nafahami Kiswahili siyo lugha mama kwako.
 
Back
Top Bottom