Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Isome Qur'an ndiyo suluhisho lako pekee la maisha yako ya kila siku.
Wasoma Quran wenzio ndo wanafanya huu ufirauni huko zenji... mna dini ya hovyo sana.
 
Wasoma Quran wenzio ndo wanafanya huu ufirauni huko zenji... mna dini ya hovyo sana.
Ulijuwaje? Au upo nao huko?
 
Tunnels lead to government and residential buildings. lol
 
Wewe ni mwehu , unajua Gaza occupation ya 2005 kurudi nyuma ya wazayuni hapo Gaza imekaa kwa muda gani huku ikishuhudiwa Hamas kuzaliwa na kukua kama walivyo leo ?
Kenge we
Wewe unadhani hata wazayuni wakiamua kukaa hapo ndio kwamba Harakati za Hamas zitaisha au watakufa njaa ,kwa akili yako mgando hiyo ? , Unajua urefu wa hizo bunkers na tunnels ? ,
Unajua hizo tunnels zimesambaa mpaka katika mataifa gani hapo ya karibu ?
Unajua supplies za ujenzi na uzalishaji wa silaha Hamas walikuwa au wanaendelea kuzipata kwa namna gani ukizingatia Gaza miaka yote imekuwa surrounded katika mipaka yako na wazayuni (border control ) na kabla ya 2005 hao Hamas wameanza kujenga hizo underground bunkers and tunnels na wazayuni wakiwa hapo hapo kama occupiers
Tumia akili usitumie emotions za kijinga na makalio kufikiri
Wewe ni wakala wa HAMAS???
 
Dini ya waarabu inakuhusu nini wewe muafrica mwenye ngozi kama mkaa [emoji23] hivi wao ni mawakala wa kuwapeleka peponi kwamba wanajuana sanaa na Mungu
Kwani hiyo dini ya mazayuni wewe inakuhusu vipi na hao wao wana mjua mussa wala siyo yesu
 
Back
Top Bottom