Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Israel ataendelea kukaa hapo gaza hata miezi ili magaidi waliokimbilia ndani ya mahandaki wafe kwa njaa huko chini
Wewe ni mwehu , unajua Gaza occupation ya 2005 kurudi nyuma ya wazayuni hapo Gaza imekaa kwa muda gani huku ikishuhudiwa Hamas kuzaliwa na kukua kama walivyo leo ?
Kenge we
Wewe unadhani hata wazayuni wakiamua kukaa hapo ndio kwamba Harakati za Hamas zitaisha au watakufa njaa ,kwa akili yako mgando hiyo ? , Unajua urefu wa hizo bunkers na tunnels ? ,
Unajua hizo tunnels zimesambaa mpaka katika mataifa gani hapo ya karibu ?
Unajua supplies za ujenzi na uzalishaji wa silaha Hamas walikuwa au wanaendelea kuzipata kwa namna gani ukizingatia Gaza miaka yote imekuwa surrounded katika mipaka yako na wazayuni (border control ) na kabla ya 2005 hao Hamas wameanza kujenga hizo underground bunkers and tunnels na wazayuni wakiwa hapo hapo kama occupiers
Tumia akili usitumie emotions za kijinga na makalio kufikiri
 
Ila inashangaza asee eti Gaza ilikuwa na bunge. Basi hiyo miswada yote iliyokuwa inapitishwa ilikuwa ya kigaidi tu.
Soma historia ya Mashariki ya Kati unajifunza vingi kushida JF huku unaleta ushabiki mandazi unajipunja vingi.
 
Hii vita haijaisha ,Hamas sio wajinga kama ninyi wapuuzi wengi mnavyofikiri
Gaza itakuwa graveyard ya wazayuni , hapatakalika hapo na patakuwa mwiba always kwa mvamizi wa Kizayuni

Mzayuni atakuwa anapigana na ghosts ,we subiri uone .
Hamna mvamizi wa kizayuni atakayetoka salama hapo , hiyo ni zaidi ya urban warfare
 
Hizo underground bunkers and tunnels za Hamas kuna reasons why wametumia zaidi ya ishirini kuzijenga na kuziperferct kutumika kama defencive tool dhidi ya wavamizi wa Kizayuni
 
Apartheid regime ya wazayuni haitaweza kuconqure Gaza hata siku moja ,ni mwendawazimu tu ndio atafikifiri hivyo ,ile breed ya raia wa kipalestina waliopo pale ni tofauti na wale mamluki wa kule westbank waliokubali kuongozwa na kibaraka wa wazayuni (Mahmoud Abbas ) huku wakiendelea kuteseka kila siku na ukandamizaji na dhulma za makaburu wa Kizayuni
Wale mtoto anazaliwa ana experience struggles dhidi ya wazayuni mpaka kukua ,
We unategemea huyo mtu atakubali vipi ku compromise na washenzi wazayuni .
An eye for an eye
 
Bibie hebu mkiri Yesu uokoke utakuwa ntu poa sana.
Nimeto kea kuupenda msimamo wako katika imani, njoo kwa Yesu mama
Hahaha Yesu...Hibi kwanini tusimuombe mungu ?kwanini tumsifie na kumuomba yesu amabaye ni binadamm aliyezaliwa na mama kama sisi
 
Gaidi kwako ni mpigania uhuru kwa wenye kujielewa wote duniani.

Sikushangai mtumwa wa mazayuni.
Wewe naona unatamani sana kurudia ubikra ila hilo halitawezekana mpaka labda uende ukapigane jihad Gaza. No sweet without sweat.
 
Today, the Israeli army took over the Hamas terrorist Parliament in Gaza!
Kolhakavod to our heroes!
👍
🇮🇱

Mytake: Sipati picha jinsi wavaa vipedo na makobazi walivyotimka wakati wanavamiwa!
Hamas Terrorist parliament.jpg
 
Back
Top Bottom