Kafiri naona hujalalaMzuka wanajamvi,
Jeshi tukufu, takatifu na Teule la Israel IDF lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la bunge Gaza huku wakipeperusha bendera ya taifa teule la Israel wakiwa na furaha.
View attachment 2813097
View attachment 2813098
Unajuaje labda na yeye Mwarabu!Dini ya waarabu inakuhusu nini wewe muafrica mwenye ngozi kama mkaa [emoji23] hivi wao ni mawakala wa kuwapeleka peponi kwamba wanajuana sanaa na Mungu
Ni madrasailo ni bunge au darasa?
Bibi una mikwaraUmejazwa ujinga ukakujaa.
Watu wasiohusika hakuna aliyepigana nao, walitekwa ili wapalestina waliojazwa majela ya Israel kwa maelfu waachiwe.
Halafu kama haitoshi hao ndiyo imekuwa mtego wa kuwaingiza mazayuni wachezee kichapo mpaka Palestina waipate haki yao. Na mazayuni hapo wamingia kichwa kichwa, sasa hawana pakuytokea, wacha waingie kote wapiga picha za utalii, zitakuwa ukumbusho kwa wenzao, hao unafikiri wote watachomoka hapo walipojiingiza?
Au hilo hulijuwi wewe?
Mahandaki yamegunduliwa chini ya mahospitali huko....Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Sikushangai, nafahamu kuwa watenda dhambi mnaogopa hata kuusikia Uislam.
Nawe dini ya wazungu yenye viraka kila mahali inakuhusu nini wewe mwafrika mweusi kama mpingo???Dini ya waarabu inakuhusu nini wewe muafrica mwenye ngozi kama mkaa [emoji23] hivi wao ni mawakala wa kuwapeleka peponi kwamba wanajuana sanaa na Mungu
Ewaaaah mambo ndio hayo sasa. Viva israeli. Magaidi mpaka watubuMzuka wanajamvi,
Jeshi tukufu, takatifu na Teule la Israel IDF lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la bunge Gaza huku wakipeperusha bendera ya taifa teule la Israel wakiwa na furaha.
View attachment 2813097
View attachment 2813098
Hao wana mtindio wa ubongo. Hawata kuelewa kamwe.Uhuru unapiganwa kwa kuuwa watu na kuteka watu wasiohusika halafu Unaacha kupigana na watu wenye nguvu na silaha ambao ndio unaamini wamechukua ardhi yako..! We bibi una matatizo
Kashasanda huyoNaona kila Uzi unakomenti hivi hivi
Huu utahira kwa watu weusi sijui utaisha lini? Hakuna kitu kinaitwa taifa teule wwe jitu jeusi. Dini za mashariki zimepumbaza akili ya mtu mweusi mpaka kuona uarabu ni bora na akina nyie wengine kuona Israel ni taifa teule. Futeni hayo makamasi watu weusi.Viva Israel,libarikiwe taifa teule la Mungu.
KawasaidieGaidi kwako ni mpigania uhuru kwa wenye kujielewa wote duniani.
Sikushangai mtumwa wa mazayuni.
Hapa amekutuana na mtumwa wa maarabu. Lazima moto uwake. 😁 Mpaka mseme.Gaidi kwako ni mpigania uhuru kwa wenye kujielewa wote duniani.
Sikushangai mtumwa wa mazayuni.