Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Bibi una mikwara
 
Viva Israel,libarikiwe taifa teule la Mungu.
Huu utahira kwa watu weusi sijui utaisha lini? Hakuna kitu kinaitwa taifa teule wwe jitu jeusi. Dini za mashariki zimepumbaza akili ya mtu mweusi mpaka kuona uarabu ni bora na akina nyie wengine kuona Israel ni taifa teule. Futeni hayo makamasi watu weusi.
Kuheshimu watu wa jamii zingine kusiwafanye kuwa dhalili. Kuweni na mipaka ya mahaba kwa races zingine, kwani wao wanakutazameni kama manyani na watumwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…