Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Umejazwa ujinga ukakujaa.

Watu wasiohusika hakuna aliyepigana nao, walitekwa ili wapalestina waliojazwa majela ya Israel kwa maelfu waachiwe.

Halafu kama haitoshi hao ndiyo imekuwa mtego wa kuwaingiza mazayuni wachezee kichapo mpaka Palestina waipate haki yao. Na mazayuni hapo wamingia kichwa kichwa, sasa hawana pakuytokea, wacha waingie kote wapiga picha za utalii, zitakuwa ukumbusho kwa wenzao, hao unafikiri wote watachomoka hapo walipojiingiza?


Au hilo hulijuwi wewe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hesabu 23:21 “Hakutazama uovu katika Yakobo, Wala hakuona ukaidi katika Israeli. Bwana, Mungu wake, yu pamoja naye, Na sauti kuu ya mfalme i katikati yao.

22 Mungu amewaleta kutoka Misri, Naye ana nguvu kama nguvu za nyati”.
 
Hatuna idadi, utake 100 haya, 200 haya.

Aliyekwambia 70 kakosea sana. Ni bila ya idadi.

Tatizo kwenu sasa, mnakwenda kuimba mapambio tu huko.
hiyo mbingu yenu mbona ya ngono tupu au ndio ibada kwa mungu wenu.
 
Gaidi kwako ni mpigania uhuru kwa wenye kujielewa wote duniani.

Sikushangai mtumwa wa mazayuni.
GAIDI ni Mtu anayeteka vibibi vizee na kujificha hospitali na msikitini na silaha ni gaidi tu si mpigania uhuru, unashangaza mtumwa wa waarabu, hawawapendi weusi mnajikomba tu,
 
Wewe ni mwehu , unajua Gaza occupation ya 2005 kurudi nyuma ya wazayuni hapo Gaza imekaa kwa muda gani huku ikishuhudiwa Hamas kuzaliwa na kukua kama walivyo leo ?
Kenge we
Wewe unadhani hata wazayuni wakiamua kukaa hapo ndio kwamba Harakati za Hamas zitaisha au watakufa njaa ,kwa akili yako mgando hiyo ? , Unajua urefu wa hizo bunkers na tunnels ? ,
Unajua hizo tunnels zimesambaa mpaka katika mataifa gani hapo ya karibu ?
Unajua supplies za ujenzi na uzalishaji wa silaha Hamas walikuwa au wanaendelea kuzipata kwa namna gani ukizingatia Gaza miaka yote imekuwa surrounded katika mipaka yako na wazayuni (border control ) na kabla ya 2005 hao Hamas wameanza kujenga hizo underground bunkers and tunnels na wazayuni wakiwa hapo hapo kama occupiers
Tumia akili usitumie emotions za kijinga na makalio kufikiri
Mkuu mbona jazba🤣🤣🤣
Au kichapo cha gaza kinakuchanganya
 
Hii vita haijaisha ,Hamas sio wajinga kama ninyi wapuuzi wengi mnavyofikiri
Gaza itakuwa graveyard ya wazayuni , hapatakalika hapo na patakuwa mwiba always kwa mvamizi wa Kizayuni

Mzayuni atakuwa anapigana na ghosts ,we subiri uone .
Hamna mvamizi wa kizayuni atakayetoka salama hapo , hiyo ni zaidi ya urban warfare
Nani mpuuzi mkuu??? 😂🤣🤣🤣🤣🤣
Faiza fox au Alwaz au Kimbukiko???
 
Hahaha Yesu...Hibi kwanini tusimuombe mungu ?kwanini tumsifie na kumuomba yesu amabaye ni binadamm aliyezaliwa na mama kama sisi
YESU NI MUNGU MKUU YEHOVA
TOFAUTISHA KATI YA MUNGU WA KIARABU ALLAH NA MUNGU WA KIYAHUDI YESU
 
Hahaah ila wakristo bana kwa vituko ..yaaani Yesu alikufa miaka 2000 iliyopita na kamera imegunduliwa mwaka 1861...Lakini eti mtu anakuja na picha ya HD na kuwaambia kabisa eti huyu ndio yesu na nyie mnakubali....huyo aliyempiga picha huyo bana yesu kabla camera hajizagunduliwa anaitwa nani vile?hahah kweli huu ni ujinga kiwango cha lami..
Hata waislamu wana ujinga wa kiwango cha lami cha kuamini watapewa mabikira wafanye nao ngono baada ya kufa
 
GAIDI ni Mtu anayeteka vibibi vizee na kujificha hospitali na msikitini na silaha ni gaidi tu si mpigania uhuru, unashangaza mtumwa wa waarabu, hawawapendi weusi mnajikomba tu,
Umejazwa ujinga na umekujaa. wewe hao unaowaona wa maana wanakutemea makohozi njiani.
 
Eti kweli, bilia imesema Yesu aliwateketeza ma pork?
Aliwateketeza wakazaliwa wengine, tunawatafuna. Hapo kwenye pork weka 'pig' au 'nguruwe' kabisa, maana pork ni nyama ya nguruwe, sio nguruwe mwenyewe. Ila pork ni tamu jamani, muulize ustadh
 
Commando of all time, David, the latter King chosen by the Mighty God himself has defeated the fool, the uncircumcised Goliath once again.

Be blessed the sons and daughters of Jacob.
Takbirrrr
 
Back
Top Bottom