Jeshi la Israel larudi nyuma tena Gaza. Ni mbinu za kivita au ni kuzidiwa na mzigo?

Jeshi la Israel larudi nyuma tena Gaza. Ni mbinu za kivita au ni kuzidiwa na mzigo?

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Takriban kwa wiki tatu sasa jeshi la Israel limekuwa likipigana vita vikali vya mtaa kwa mtaa maeneo ya kaskazini ya Gaza.

Mwishowe jeshi hilo lilitanga hapo juzi kuwa limedhibiti kambi yote ya Jabalia ambayo imewapa shida kuishida tangu mwanzo wa vita.

Watu wengi walikufa kwenye mji huo na waliofukiwa chini ya vifusi haikuwa rahisi kuwaokoa kwani kwa kutumia helkopta maalum aina ya qudrapt jeshi la Israel liliwafukuza waliosogelea maeneo yaliyobomolewa.

Kwa mshangao leo tena jeshi hilo limeonekana kuachia maeneo hayo na kurudi nyuma huku wapalestina waliobaki hai wakionekana kusonga mbele kwenda kuwatafuta wenzao waliofukiwa

Hilo linatokea kabla ya jeshi hilo halijafanikiwa kuichukua mitaa ya Beit Zeitoun iliyotangaza kuwa na mpango wa kuidhibiti maeneo hayo hayo ya kaskazini ya Gaza.

Hali hii si ishara nzuri kwa Israel kwani kweli wanafanikiwa kuua na kubomoa majumba kutokana na kumiliki vifaa vya kisasa vya kivita, lakini kama ilivyotabiriwa mwanzoni hakuna uwezekano wa kutawala maeneo ya Palestina kama inavyokuwa kiutawala wa kawaida kwenye maeneo yanayokaliwa na nchi.

Kwa maana hiyo vita kati ya Israel na Palestina chini ya Hamas havitaweza kutangazwa kuwa vimemalizika.

Israeli military continues pullbacks in northern Gaza

 
Takriban kwa wiki tatu sasa jeshi la Israel limekuwa likipigana vita vikali vya mtaa kwa mtaa maeneo ya kaskazini ya Gaza.Mwishowe jeshi hilo lilitanga hapo juzi kuwa limedhibiti kambi yote ya Jabalia ambayo imewapa shida kuishida tangu mwanzo wa vita.
Watu wengi walikufa kwenye mji huo na waliofukiwa chini ya vifusi haikuwa rahisi kuwaokoa kwani kwa kutumia helkopta maalum aina ya qudrapt jeshi la Israel liliwafukuza waliosogelea maeneo yaliyobomolewa.
Kwa mshangao leo tena jeshi hilo limeonekana kuachia maeneo hayo na kurudi nyuma huku wapalestina waliobaki hai wakionekana kusonga mbele kwenda kuwatafuta wenzao waliofukiwa,Hilo linatokea kabla ya jeshi hilo halijafanikiwa kuichukua mitaa ya Beit Zeitoun iliyotangaza kuwa na mpango wa kuidhibiti maeneo hayo hayo ya kaskazini ya Gaza.
Hali hii si ishara nzuri kwa Israel kwani kweli wanafanikiwa kuua na kubomoa majumba kutokana na kumiliki vifaa vya kisasa vya kivita,lakini kama ilivyotabiriwa mwanzoni hakuna uwezekano wa kutawala maeneo ya Palestina kama inavyokuwa kiutawala wa kawaida kwenye maeneo yanayokaliwa na nchi.
Kwa maana hiyo vita kati ya Palestina na Palestina chini ya Hamas havitaweza kutangazwa kuwa vimemalizika.

Israeli military continues pullbacks in northern Gaza

Hawatakaa kwa amani hao wanazan kuua ndio suluhisho
 
kama unapenda amani na unaumizwa na maisha wanayoish wapelestina pale gaza huwez kushabikia vita pale gaza wanataman ata yapite masaa matano bila kusikia mlio wa ndege vita bomu au risasi
so kama IDF wana pull back ni suala la kumshukuru Mungu ikibid kuomba waondoke kabisa, maana kwa akili za neta nyahu anaweza akaa hapo gaza maisha yake yote mpaka atakapo kuja waziri mkuu mwingine na tena asiwe na ego za neta nyahu
 
Israel imesema huenda vita vikaendelea mpaka mwezi desemba!
Wachambuzi wa kijeshi wanasema uwezekano wa IDF kukiangamiza kabisa kikundi cha Hamas ni mdogo! Mpaka sasa hivi Israel imefanikiwa kwa 35% tu.
 
Takriban kwa wiki tatu sasa jeshi la Israel limekuwa likipigana vita vikali vya mtaa kwa mtaa maeneo ya kaskazini ya Gaza.Mwishowe jeshi hilo lilitanga hapo juzi kuwa limedhibiti kambi yote ya Jabalia ambayo imewapa shida kuishida tangu mwanzo wa vita.
Watu wengi walikufa kwenye mji huo na waliofukiwa chini ya vifusi haikuwa rahisi kuwaokoa kwani kwa kutumia helkopta maalum aina ya qudrapt jeshi la Israel liliwafukuza waliosogelea maeneo yaliyobomolewa.
Kwa mshangao leo tena jeshi hilo limeonekana kuachia maeneo hayo na kurudi nyuma huku wapalestina waliobaki hai wakionekana kusonga mbele kwenda kuwatafuta wenzao waliofukiwa,Hilo linatokea kabla ya jeshi hilo halijafanikiwa kuichukua mitaa ya Beit Zeitoun iliyotangaza kuwa na mpango wa kuidhibiti maeneo hayo hayo ya kaskazini ya Gaza.
Hali hii si ishara nzuri kwa Israel kwani kweli wanafanikiwa kuua na kubomoa majumba kutokana na kumiliki vifaa vya kisasa vya kivita,lakini kama ilivyotabiriwa mwanzoni hakuna uwezekano wa kutawala maeneo ya Palestina kama inavyokuwa kiutawala wa kawaida kwenye maeneo yanayokaliwa na nchi.
Kwa maana hiyo vita kati ya Palestina na Palestina chini ya Hamas havitaweza kutangazwa kuwa vimemalizika.

Israeli military continues pullbacks in northern Gaza

Mkuu; Hapa "👉 Kwa maana hiyo vita kati ya Palestina na Palestina chini ya Hamas havitaweza kutangazwa kuwa vimemalizika" ulikusudia kusema nini?".
Naona pasomeke Israeli na Palestina......
 
kama unapenda amani na unaumizwa na maisha wanayoish wapelestina pale gaza huwez kushabikia vita pale gaza wanataman ata yapite masaa matano bila kusikia mlio wa ndege vita bomu au risasi
so kama IDF wana pull back ni suala la kumshukuru Mungu ikibid kuomba waondoke kabisa, maana kwa akili za neta nyahu anaweza akaa hapo gaza maisha yake yote mpaka atakapo kuja waziri mkuu mwingine na tena asiwe na ego za neta nyahu
Mkuu; asikundanganye mtu kwa kauli laini-laini na ukasema .....so kama IDF wana pull back ni suala la kumshukuru Mungu ikibid kuomba waondoke kabisa, maana kwa akili za neta nyahu anaweza akaa hapo gaza maisha yake yote mpaka atakapo kuja waziri mkuu mwingine na ...........
Hiyo haitokaa itokee kamwe -NEVER. IDF ku pull back ni mojawapo ya mbinu za medani tuu. Kazi bado ipo.
Nasema hivyo kwa sababu Israel (IDF) wameingia gharama kubwa kufika hapo walipofikia na bado wataendelea kutoa mapigo hadi wahakikishe kiapo (Oath) chao kimetimizwa cha kuifuta kabisa HAMAS kwenye uso wa dunia.
Wakikamilisha mission yao itafuata kulipia gharama na usumbufu uliotokana na tukio la tarehe 7 Okt. 2023 ambalo kwalo ndilo lililosababisha maafa hayo yote kutokea. Je, malipo (Fidia au compensation to the damage) unadhani yatafanywa na nani? 1. Palestina? -hapana kani hatakuwa na uwezo huo.2. HAMAS? -hapana kwani atakuwa hayupo tena duniani.
3. Mataifa yanayoitambua Palestina kama Taifa? Hapana kwani hizo ni gharama binafsi kwa Wapalestina waliokubali Ulaghai wa HAMAS. Hili linaweza kujadiliwa na Mataifa au Jumuiya za kimataifa.
4. Mwishoni itaonekana Israel ataachiwa mzigo wake (Palestina) ajue mwenyewe ataupeleka wapi.
 
Mkuu; Hapa "👉 Kwa maana hiyo vita kati ya Palestina na Palestina chini ya Hamas havitaweza kutangazwa kuwa vimemalizika" ulikusudia kusema nini?".
Naona pasomeke Israeli na Palestina......
Nimeona na nimerekebisha.
Afadhali wewe unasoma mpaka mwisho sio kama Maghayo na Mzee kigogo (kigego)
 
Israel imesema huenda vita vikaendelea mpaka mwezi desemba!
Wachambuzi wa kijeshi wanasema uwezekano wa IDF kukiangamiza kabisa kikundi cha Hamas ni mdogo! Mpaka sasa hivi Israel imefanikiwa kwa 35% tu.
Wenyewe wapalestina akina Ismael Haniyeh wanarudia msemo huo.Wao wanajua zaidi na itakuwa wamejipanga.
Kuna dalili ya uwezekano huo kwani ilisemwa zamani na wachambuzi wengine wasio wapalestina.
Ili kutawala maeneo hayo Israel itabidi iongoze jeshi lake mara dufu ili kila wapalestina kumi kuwe na askari mwenye bunduki kuwalinda wasilipize kisasi.
 
Mkuu; asikundanganye mtu kwa kauli laini-laini na ukasema .....so kama IDF wana pull back ni suala la kumshukuru Mungu ikibid kuomba waondoke kabisa, maana kwa akili za neta nyahu anaweza akaa hapo gaza maisha yake yote mpaka atakapo kuja waziri mkuu mwingine na ...........
Hiyo haitokaa itokee kamwe -NEVER. IDF ku pull back ni mojawapo ya mbinu za medani tuu. Kazi bado ipo.
Nasema hivyo kwa sababu Israel (IDF) wameingia gharama kubwa kufika hapo walipofikia na bado wataendelea kutoa mapigo hadi wahakikishe kiapo (Oath) chao kimetimizwa cha kuifuta kabisa HAMAS kwenye uso wa dunia.
Wakikamilisha mission yao itafuata kulipia gharama na usumbufu uliotokana na tukio la tarehe 7 Okt. 2023 ambalo kwalo ndilo lililosababisha maafa hayo yote kutokea. Je, malipo (Fidia au compensation to the damage) unadhani yatafanywa na nani? 1. Palestina? -hapana kani hatakuwa na uwezo huo.2. HAMAS? -hapana kwani atakuwa hayupo tena duniani.
3. Mataifa yanayoitambua Palestina kama Taifa? Hapana kwani hizo ni gharama binafsi kwa Wapalestina waliokubali Ulaghai wa HAMAS. Hili linaweza kujadiliwa na Mataifa au Jumuiya za kimataifa.
4. Mwishoni itaonekana Israel ataachiwa mzigo wake (Palestina) ajue mwenyewe ataupeleka wapi.
Hamas au wapalestina daima watakuwa wanaivizia hiyo fursa ya Israel kuachwa peke yake ianze nao upya.
Ikiwa wameweza kupambana bila silaha za maana unaingia mwezi wa 8 hawatasita kuzusha vurugu jengine la kuwachosha mayahudi.Hawawezi kuwa na akili kuliko za muumba wao au waachiwe wachukue jukumu la muumba mwenyewe.
 
Ismael haniyeh anaishi wapi? Yupo katika uwanja wa vita au?
 
Hamas au wapalestina daima watakuwa wanaivizia hiyo fursa ya Israel kuachwa peke yake ianze nao upya.
Ikiwa wameweza kupambana bila silaha za maana unaingia mwezi wa 8 hawatasita kuzusha vurugu jengine la kuwachosha mayahudi.Hawawezi kuwa na akili kuliko za muumba wao au waachiwe wachukue jukumu la muumba mwenyewe.
Kwahiyo hiki kinachoendelea Hamas anafaida nacho? Mpaka iwe idf wakiludi nyuma Hamas wanakusudia kuanzisha vurugu jingine Kisha mje kusema wanaoumia na kufa ni watoto na akina mama?
 
Hamas au wapalestina daima watakuwa wanaivizia hiyo fursa ya Israel kuachwa peke yake ianze nao upya.
Ikiwa wameweza kupambana bila silaha za maana unaingia mwezi wa 8 hawatasita kuzusha vurugu jengine la kuwachosha mayahudi.Hawawezi kuwa na akili kuliko za muumba wao au waachiwe wachukue jukumu la muumba mwenyewe.
Ni kazi ngumu sana hiyo au tuseme tu ni next to impossible kwa sababu Mayahudi watakuwa macho muda wote i.e. wataishi nao kimachale na pengine watajiwekea Mikakati na Mipango itakayo hakikisha Wapalestina watadhibitiwa milele e.g. kuanzisha mifumo ya elimu itakayowasafisha akili watoto wa Kipalestina, Kuendeleza Imani za ki-Dini zilizo za wastani na sio Imani kali, n.k.n.k na hiyo itakuwa ni mipango ya muda mrefu, muda wa Kati na Muda mfupi.
Hebu piga taswira ilivokuwa Tz kipindi cha Mwl.Nyerere na tulivyokuwa tumeaminishwa juu ya Afika kusini. Ungeambiwa kuwa leo hii Afrika kusini ndipo waTanzania wanazamia usingekubali.
Ndo itakavyoweza kutokea pia kwa mahusiano baina ya waIsraeli na Wapalestina.
 
7 bodies of hostages rescued,
10km of tunnels destroyed,
100+ terrorists eliminated.

This is a summary of our recent operational activity in Jabaliya that led to the retrieval of 7 hostages' bodies from a terrorist tunnel for burial in Israel.

Our forces also eliminated hundreds of terrorists in intense close-quarters combat and located hundreds of weapons, rocket launching compounds and launchers and over 10km of tunnels—all of which were neutralized
 
Hali ya huko haitabiriki kivile.
Wametabiri kwamba hali ya huko itakuwaje mkuu?
Mbona IDF walishaapa kuwafuta HAMAS kwenye uso wa dunia. Kilichopo ni kuwa na subira Wayahudi watimize kiapo chao 100%.
 
7 bodies of hostages rescued,
10km of tunnels destroyed,
100+ terrorists eliminated.

This is a summary of our recent operational activity in Jabaliya that led to the retrieval of 7 hostages' bodies from a terrorist tunnel for burial in Israel.

Our forces also eliminated hundreds of terrorists in intense close-quarters combat and located hundreds of weapons, rocket launching compounds and launchers and over 10km of tunnels—all of which were neutralized
Source pls.
 
Takriban kwa wiki tatu sasa jeshi la Israel limekuwa likipigana vita vikali vya mtaa kwa mtaa maeneo ya kaskazini ya Gaza.

Mwishowe jeshi hilo lilitanga hapo juzi kuwa limedhibiti kambi yote ya Jabalia ambayo imewapa shida kuishida tangu mwanzo wa vita.

Watu wengi walikufa kwenye mji huo na waliofukiwa chini ya vifusi haikuwa rahisi kuwaokoa kwani kwa kutumia helkopta maalum aina ya qudrapt jeshi la Israel liliwafukuza waliosogelea maeneo yaliyobomolewa.

Kwa mshangao leo tena jeshi hilo limeonekana kuachia maeneo hayo na kurudi nyuma huku wapalestina waliobaki hai wakionekana kusonga mbele kwenda kuwatafuta wenzao waliofukiwa

Hilo linatokea kabla ya jeshi hilo halijafanikiwa kuichukua mitaa ya Beit Zeitoun iliyotangaza kuwa na mpango wa kuidhibiti maeneo hayo hayo ya kaskazini ya Gaza.

Hali hii si ishara nzuri kwa Israel kwani kweli wanafanikiwa kuua na kubomoa majumba kutokana na kumiliki vifaa vya kisasa vya kivita, lakini kama ilivyotabiriwa mwanzoni hakuna uwezekano wa kutawala maeneo ya Palestina kama inavyokuwa kiutawala wa kawaida kwenye maeneo yanayokaliwa na nchi.

Kwa maana hiyo vita kati ya Israel na Palestina chini ya Hamas havitaweza kutangazwa kuwa vimemalizika.

Israeli military continues pullbacks in northern Gaza

Wanatakiwa wawepo hapo, wachezee kichapo. Wananusa wakiona vijana wa Hamas watawamaliza wanaondoka ili ndege zao zije kushambulia. Ndege zao na misaili zao zinaua watoto na wanawake na wanapiga Mahospitali tu, kwa sababu Hamas wakishashambulia ki komandoo wanayeyuka, mpaka mazayuni wanalia wanashambuliwa na majinni.

Tazama kichapo wanachochezea mazayuni wakibaki hapo:


View: https://youtu.be/8-txW-QEmOo?si=_jkIKh2VdWb7aBhA
 
Back
Top Bottom