Jeshi la Israel larudi nyuma tena Gaza. Ni mbinu za kivita au ni kuzidiwa na mzigo?

Jeshi la Israel larudi nyuma tena Gaza. Ni mbinu za kivita au ni kuzidiwa na mzigo?

Ismael haniyeh anaishi wapi? Yupo katika uwanja wa vita au?
Thubutu yake huyo hakaagi Gaza huyo hukaa Qatar tena akiishi kianasa huku akipiga mihela ya misaada kwa wapalestina kwa ufupi damu za wapalestina ndo ndago yake.
 
Ndege zao na misaili zao zinaua watoto na wanawake na wanapiga Mahospitali tu, kwa sababu Hamas wakishashambulia ki komandoo wanayeyuka, mpaka mazayuni wanalia wanashambuliwa na majinni.
Hivi wakati misaili zao zinaua watoto na wanawake na wanapiga Mahospitali tu wanaume wa kipalestina na wapiganaji wa hamas, hezbollah, iran, na majini, na hata allah huwa wanakuwa wapi kuwalinda wanawake na watoto wa kiislamu wasidhulumiwe haki yao ya kuishi? Maana dah wanauliwa si mchezo yaani aljazeera ina kazi ya kutoa updates za vifo vya wapalestina kila baada ya dakika kadhaa
 
Wanatakiwa wawepo hapo, wachezee kichapo. Wananusa wakiona vijana wa Hamas watawamaliza wanaondoka ili ndege zao zije kushambulia. Ndege zao na misaili zao zinaua watoto na wanawake na wanapiga Mahospitali tu, kwa sababu Hamas wakishashambulia ki komandoo wanayeyuka, mpaka mazayuni wanalia wanashambuliwa na majinni.

Tazama kichapo wanachochezea mazayuni wakibaki hapo:


View: https://youtu.be/8-txW-QEmOo?si=_jkIKh2VdWb7aBhA

Mkuu, vita ni vita tu, Ni mwendo wa kuUana - ni lazima vifo vitokee. Kichapo kilichosemwa na koneshwa clip yake (edited clip)hapo juu; ni upande mmoja wa shilingi. Ngoja tujionee na upande wa pili ngoma ikoje.
 
Wenyewe wapalestina akina Ismael Haniyeh wanarudia msemo huo.Wao wanajua zaidi na itakuwa wamejipanga.
Kuna dalili ya uwezekano huo kwani ilisemwa zamani na wachambuzi wengine wasio wapalestina.
Ili kutawala maeneo hayo Israel itabidi iongoze jeshi lake mara dufu ili kila wapalestina kumi kuwe na askari mwenye bunduki kuwalinda wasilipize kisasi.
Waisrael Washathibiti mpaka na misri
 
Mkuu, vita ni vita tu, Ni mwendo wa kuUana - ni lazima vifo vitokee. Kichapo kilichosemwa na koneshwa clip yake (edited clip)hapo juu; ni upande mmoja wa shilingi. Ngoja tujionee na upande wa pili ngoma ikoje.
Upande mmoja maana wanapigana na ukuta, au siyo?

Vifo vya watoto wa Kipalestina na wanawake na kubomolewa mahospitali na majengo tunayaona kila siku, lakini mazayuni wakinusa tu, wanachezea za uso.

Hao mashoga voita ya uso kwa uso, pamoja kusaidiwa na mabwana zao wa kmarekani na nato yote lakini hawawezi.

Wameshindwa mwezi wa ngapi huu kutimiza malengo yao?

Watachezea kichapo kama walichochezea Afghanistan, watatoka mkuku wenyewe.

Masahoga toka lini wakaiweza vita ya uso kwa uso?
 
Upande mmoja maana wanapigana na ukuta, au siyo?
Sio. Tuone na jinsi IDF wanavyojibu au kama hayo ndo majibu wanayotoa HAMAS basi tuone maswali. (Offensive vs Counteroffensive) au ulielewaje mkuu?
 
Sio. Tuone na jinsi IDF wanavyojibu au kama hayo ndo majibu wanayotoa HAMAS basi tuone maswali. (Offensive vs Counteroffensive) au ulielewaje mkuu?
Wajibu nini zaidi ya kushambulia kwa ndege za ki vita na misaili kutokea mbali? Mbona tunayaona kila siku.
 
Ismael haniyeh anaishi wapi? Yupo katika uwanja wa vita au?
Ismael Haniyeh ni mpambanaji kama Yahya Sinwar kila mmoja kwa upande wake na wenyewe wamekubaliana kugawana majukumu.
 
Waisrael Washathibiti mpaka na misri
Misri ni mshirika katika kuwakandamiza wapalestina.Israel haina ubavu wa kufika Rafah kama hawkuachiwa na Misri.Sijui Misri inapata nini katika unafiki wake huo.
 
Misri ni mshirika katika kuwakandamiza wapalestina.Israel haina ubavu wa kufika Rafah kama hawkuachiwa na Misri.Sijui Misri inapata nini katika unafiki wake huo.
Misri ana kumbukumbu za kipondo cha mazayuni hivyo lazima akae nao kwa akili
 
Misri ana kumbukumbu za kipondo cha mazayuni hivyo lazima akae nao kwa akili
Ni unafiki tu lakini Israel hawezi kuwa na kipondo kwa nchi kama Israel baada ya kulazimika kupigana na Hamas waliofungwa mikono na miguu kwa miezi 8 sasa.
 
Hao Israel wanaomba sasa peace na Hamasi, kwanza walikataa hayo hayo mazungumzo aliye kubaliana nao Hamasi, wakajidai hawataki yanawapa ushindi Hamasi leo anayakubali kwa kumtumia Biden afu hapo hapo wanajidai Biden kama Biden ndio katakana vile wakati Biden anasema Israel 😄

Sasa Hamasi anawambia hayo aliyakataa Israel vipi ayakubali sasa?

Ina manisha Israel hana uwezo wakuwashinda Hamasi yeye na USA.
 
Misri ni mshirika katika kuwakandamiza wapalestina.Israel haina ubavu wa kufika Rafah kama hawkuachiwa na Misri.Sijui Misri inapata nini katika unafiki wake huo.
Ni wazi kwamba Misri hapati chochote cha maana (Tangible) hapo ila Misri hataki kujiingiza kwenye machafuko(Vita) au migogoro na majirani zake. Misri anajua madhara yatokanayo na vita hii iliyoanzishwa kibabe bila yeye (Misri) kushirikishwa ili walau atoe ushauri. Kwa hiyo amewaachia wahusika walinywe kama walivyoligema.
 
Misri ana kumbukumbu za kipondo cha mazayuni hivyo lazima akae nao kwa akili
Sio haswa kivile ila Misri hataki ushabiki maandazi. Game ulianzishe ww mwenyewe HAMAS halafu sasa unataka kuwajumuisha na wengine - wapi na wapi. Misri hawezi au hataki kuota moto ambao hakuhusika kuuwasha.
 
Ni wazi kwamba Misri hapati chochote cha maana (Tangible) hapo ila Misri hataki kujiingiza kwenye machafuko(Vita) au migogoro na majirani zake. Misri anajua madhara yatokanayo na vita hii iliyoanzishwa kibabe bila yeye (Misri) kushirikishwa ili walau atoe ushauri. Kwa hiyo amewaachia wahusika walinywe kama walivyoligema.
Jambo la maana alilofanya Misri ni kutokubali kuhongwa ili wapalestina waingie Sinai.Msimamo huo amekomaa nao mwanzo mpaka mwisho.Sasa ndio hivyo isemwavyo amewaachia mayahudi mzigo wao wenyewe .
Japo kibinaadamu na udugu na wapalestina hilo alilofanya Misri ni dogo sana na hatoacha kulaumiwa.
 
Hahaha waarabu wa buza mna tabu, Mkihurumiwa mnaongea, mkitandikwa mnalia hata hamueleweki.
 
Mkuu; asikundanganye mtu kwa kauli laini-laini na ukasema .....so kama IDF wana pull back ni suala la kumshukuru Mungu ikibid kuomba waondoke kabisa, maana kwa akili za neta nyahu anaweza akaa hapo gaza maisha yake yote mpaka atakapo kuja waziri mkuu mwingine na ...........
Hiyo haitokaa itokee kamwe -NEVER. IDF ku pull back ni mojawapo ya mbinu za medani tuu. Kazi bado ipo.
Nasema hivyo kwa sababu Israel (IDF) wameingia gharama kubwa kufika hapo walipofikia na bado wataendelea kutoa mapigo hadi wahakikishe kiapo (Oath) chao kimetimizwa cha kuifuta kabisa HAMAS kwenye uso wa dunia.
Wakikamilisha mission yao itafuata kulipia gharama na usumbufu uliotokana na tukio la tarehe 7 Okt. 2023 ambalo kwalo ndilo lililosababisha maafa hayo yote kutokea. Je, malipo (Fidia au compensation to the damage) unadhani yatafanywa na nani? 1. Palestina? -hapana kani hatakuwa na uwezo huo.2. HAMAS? -hapana kwani atakuwa hayupo tena duniani.
3. Mataifa yanayoitambua Palestina kama Taifa? Hapana kwani hizo ni gharama binafsi kwa Wapalestina waliokubali Ulaghai wa HAMAS. Hili linaweza kujadiliwa na Mataifa au Jumuiya za kimataifa.
4. Mwishoni itaonekana Israel ataachiwa mzigo wake (Palestina) ajue mwenyewe ataupeleka wapi.
Kwaa uchumi upi hao wanajeshi unajua posho yao kwa siku na ghsrma za kundesha vita kws siku moj
 
Netanyahu alisema hata toka Gaza ataitawala atahakikisha Hamasi imekwisha tena hata ruhusu Hamasi abaki Gaza, leo anasema kakubali kutoa jeshi Lake lote Gaza, kakubali kuruhusu misaada iingie Gaza, kakubali kuijenga Gaza yeye na America na warabu vibaraka vya America.

Alicho ongea Biden hayo ndio walikuwa wanataka Hamasi, Israel akawa anakwepa, kilicho badilika hapo wamegeuza badala tumekubali masharti ya Hamasi, wakajidai haya ndio anataka Israel ilikusimamisha vita 😄 ili waonekani wao masharti yao ndio yamefatwa na Hamasi.

Kiko wapi oh Gaza lazima kuwe hakuna silaha, oh Gaza lazima tuifute Hamasi, oh Gaza lazima iwe chini ya utawala wa Israel au UAE 😄

Hamasi wanaume nyie wacheni dalili wazi wamechoka kuwauwa raia wasio kuwa na hatia bada ya aibu ya mwisho kiwauwa watu wasio nahatia pale Rafah.

Walidhani wakiwaua raia watawageuka ili waishambulie Hamasi wamewakuta raia wa Gaza hawajali kufa na wanaipa sapoti Hamasi iendelee na vita hata wafe wote hakuna shida.

Hamasi wanaume aisay kangusha uchumi wa Israel na America mpa Biden ambaye alidhani wataimaliza Hamasi kamua kusema ukweli basi tumekubali masharti ya Hamasi 😄

Leo hi Egypt anasema anaogopa uweza wa Hamasi, huyu kibaraka wa Israel na America alikuwa mshiriki mkubwa kuwauwa wa Palestine kwa kuwafungia chakula kisingie Gaza, alikuwa anawapa infomation Israel lakini kiko wapi kadharaulika huyo SiSi nchi zote za kiarabu

kiongozi huyo hata juzi alijidai anaitisha Israel warabu wakawa namcheka na kumuita ngo'mbe wa Israel 😄
 
Back
Top Bottom