Jeshi la Israel latangaza msako mkali wa Mohamed Sinwar ambaye ni kaka wa Kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar aliyeuawa Oktoba 17, 2024 Gaza

Kweli hapa no ule wimbo wa kasongo eee, mobali na ngaa. Kutumia baibui na hijabu hazijasaidia. Sasa kaka mtu mohamed inabidi atumie vazi la kimasai tu.
 
Kweli hapa ni ule wimbo wa kasongo eee, mobali na ngaa. Kutumia baibui na hijabu hazijasaidia. Sasa kaka mtu mohamed inabidi atumie vazi la kimasai tu.
 
Daaaah hawa kobasi wamepigwa Kipigo cha Mbwa Koko.

Wajisalimishe tu Mambo yaishe,vita na myahudi wakiri hawaiwezi tu,wasijifanye majasiri wakati wanakufa kama Mbwa
 
duh! Kiama cha magaidi kimewadia.
Kiama cha wakristo kimekaribia hata mkifurahi NATO yote kufa kwa Yahya Sinwar msidhani ndio mtashinda vita. Palestine wako zaidi ya kina Yahya Sinwar.

Makafiri walio kuwa wanapoteza Mamilioni ya pesa zao kumsaidia israel kwa silaha, mali na askari wanadhani ndio watashinda vita hawajui Israel ndio bye bye hapo Middle East

View: https://youtu.be/DZ3cY85ulyc?si=WP5V16kky44awW-v
 
Bado Ayatolah naye apigwe Kitofali cha Kichwa.
 
Huyoooo huyoooo yanajifariji kula siku mnapuputika tu Allah na mudi wamekula kona na kuzama chaka nakuacha mnalialia kama mikondoo mipumbavu.

GOD BLESS AND PROTECT ISRAEL

ISRAEL THE LAND JEWS THE PEOPLE MAAMAEE

NO MERCY

Nyau de adriz
 
Nov 5 tu amalizana nae
 
Huyoooo huyoooo yanajifariji kula siku mnapuputika tu Allah na mudi wamekula kona na kuzama chaka nakuacha mnalialia kama mikondoo mipumbavu.

GOD BLESS AND PROTECT ISRAEL

ISRAEL THE LAND JEWS THE PEOPLE MAAMAEE

NO MERCY

Nyau de adriz
Haha kizungu chako hata mtoto wa primary anakushinda 😄

Ongea tu kiswahili bora ili ufiche aibu zako. Tabu upo kutengeneza majina kila kukicha hapa JF sa ngapi utapata akili.
 
Haha kizungu chako hata mtoto wa primary anakushinda 😄

Ongea tu kiswahili bora ili fiche aibu zako. Tabu upo kutengeneza majina kila kukicha hapa JF sa ngapi utapata akili.
Vipi Mademu ya huko Ahera yamejazajaza?!
 
Mtu kupigania haki yake amekuwa gaidi?
Kila mmoja pale myahud Israel na Arab Palestine ana amini anapigania haki Yake ndo shida ilipo, Kuishi kwa Amani na Upendo hawataki na kila mmoja kwa upande wake akahamia kwenye sheria za musa jino kwa jino Kibaya Zaid ktk Sheria za Musa hakunaga mshindi Zaid NI kumalizana tuuu
 
Pole sana! Msako unaendelea mpaka mashariki ya Kati isiwe tena kitovu cha ugaidi
 
Ningekua mm ninge sepa nje ya nchi. Nikafie mbele.
All the best
 
Myahudi ni balaa nyingine, kaweza haya mazombi yapo kimya, ukiyaona hata huku mitaani yamenyon'gonyea.
 
Mashariki ya kati mpaa aondoke gaidi mkubwa US, Europe na Israel ndio patakuwa na amani.

Israel wako Somalia? Msumbiji? Kote huko mumechafua kisa ujinga, ila nimependa sana Myahudi, anatembeza kichapo hadi ninaumwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…