Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iran wanalia ninyi mnaunga storyWalidhani wanaingia Gaza kupigana na watoto na majengo, shule, hospitali kila wakijaribu kuingia wanakutana na kipigo kikali.
Amesahau kumalizia ni pum..vu wahedRitz 😂 wewe ndo wa kuniita mpumbavu?
Beirut hawajafika,wanapiga kwa ndege,huko mpakani kwenyewe hawajavukaWakitoka Beirut waende na vifaru vyao Tehran kama kuna atakayerudi
Sio hivyo tu na Askari wao wamegoma hawataki kwenda Beirut mana wanarudishwa kwenye helicopta kila nusu saa na ambulances zingine zinaenda mochwari zingine ICUThe Israeli army is ending its "ground operation" in Lebanon. They're calling it a "strategic withdrawal" after a "successful" mission. 🙄 Just kidding, they got their butts kicked and are scrambling to save face. 😜
Wanaukumbi.
BREAKING: Jeshi la Israel limetangaza MWISHO wa mashambulizi yake ya ardhini nchini Lebanon, kukamilika ndani ya wiki 1 hadi 2, baada ya hasara kubwa.
Huku ni kushindwa kwa aibu.
Chanzo: Channel 11/Kann News
=========================
View: https://x.com/syed_1109084/status/1850007934580695224?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Mwanzoni kabisa walisema ni "limited operation" na imeshawatoa Hezbollah karibu na mpaka wake. Pamoja na vipigo vyote kuna mtu atakuambia Hezbollah kashinda hii vita.
Wanaukumbi.
BREAKING: Jeshi la Israel limetangaza MWISHO wa mashambulizi yake ya ardhini nchini Lebanon, kukamilika ndani ya wiki 1 hadi 2, baada ya hasara kubwa.
Huku ni kushindwa kwa aibu.
Chanzo: Channel 11/Kann News
=========================
View: https://x.com/syed_1109084/status/1850007934580695224?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Tehran watu wanaendelea na Morning jorging
View: https://x.com/IRIran_Military/status/1850042455606825255
Lakini hawako chini ya mzayunikwa bahati mbaya, walebanon wengi ndio wataanza kujenga majengo upya, hawana nasraah, hawana kamanda yeyote wa hezbollah, barabara zimechakaa, magorofa yamedondoka, kila kitu kwisha. walebanon wameshinda.
hahahaaaaa "they got their butts kicked"The Israeli army is ending its "ground operation" in Lebanon. They're calling it a "strategic withdrawal" after a "successful" mission. 🙄 Just kidding, they got their butts kicked and are scrambling to save face. 😜