Jeshi la Israel waingia Gaza kusaidia wenye njaa

Jeshi la Israel waingia Gaza kusaidia wenye njaa

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
jeshi la israel waingia mitaa ya Gaza kusaidia wenye njaa misaada na pesa za umoja wa mataifa inaishia kwa magaidi na family zao raia wanaopinga hufyatuliwa


Misaada ya umoja wa mataifa inaingia Gaza lakini ni kwajili ya Hamas na familia zao, Wapalestina wa Kawaida wanalalamika njaa, Hamas wanasingizia Israel.

kwenye video hii utaona mifuko ya vyakula inayotolewa na umoja wa mataifa inaishia kwenye stoo na majiko ya Hamas na Familia zao, yamekutwa mabilioni ya pesa za misaada zinazotumiwa kifamilia.


Magari ya misaada yanapoingia huchukuliwa na vikundi vya kigaidi

1729535855732.png


Wale wanaojaribu kuhoji au kufanya majaribio ya kuchukua misaada huuawa, juu ya lori hili la misaada gaidi wa Hamas anawafyatulia risasi raia wanaojaribu kusimamisha lori



Hawa ni wapelestina wenye njaa waliokamatwa wakichukua chakula kwenye gari la misaada, Hamas inawafyatua risasi kuonyesha mfano
 
Kuna msemo wa kiarabu unasema wewe ndio muwaji afu unajidai kushindikiza au kubeba jeneza. Exactly ndicho anacho fanya Israel kawafungia wananchi wa Gaza kila kitu chakula, maji, umeme afu leo anajidai kwenda wasaidia 😄 Hicho chakula labda ndio sumu kabisa ili wawamalize. Mimi kama ndio raia wa Gaza bora nife kuliko kupokea chakula cha hao nguruwe.
 
Kuna msemo wa kiarabu unasema wewe ndio muwaji afu unajidai kushindikiza au kubeba jeneza. Exactly ndicho anacho fanya Israel kawafungia wananchi wa Gaza kila kitu chakula, maji, umeme afu leo anajidai kwenda wasaidia 😄 Hicho chakula labda ndio sumu kabisa ili wawamalize. Mimi kama ndio raia wa Gaza bora nife kuliko kupokea chakula cha hao nguruwe.
Huijui njaa wewe, unaisikia tu.

Njaa haikuui kwa siku moja, inaku 'dedesa' kwa siku kadhaa hadi kukifikia kifo umesota. Ukisikia watu wanakula mende na vyura kupambana na njaa usidhani wanapenda.

Labda kama unazungumzia kujiua, na si kila mmoja anaweza kujiua.
 
Kuna msemo wa kiarabu unasema wewe ndio muwaji afu unajidai kushindikiza au kubeba jeneza. Exactly ndicho anacho fanya Israel kawafungia wananchi wa Gaza kila kitu chakula, maji, umeme afu leo anajidai kwenda wasaidia 😄 Hicho chakula labda ndio sumu kabisa ili wawamalize. Mimi kama ndio raia wa Gaza bora nife kuliko kupokea chakula cha hao nguruwe.
Hamas wanaiba misaada kwajili yao na familia zao, wapalestina wanateseka na njaa

Hilo begi la mke wa Yahya ni milioni 87 pesa za misaada ya umoja wa mataifa zinatumika kwa tamaa za kifamilia
 
Unaa huo,uwaue,uwanyime chakula kuwafikia halafu ujitokeze k
Wanachokifanya jeshi la Israel sio jukumu lao ila ni wema tena ule unaoweza kuwaponza, ni zoezi la hatari muda wowote Hamas wanaweza kutuia huruma yao kuwafyatulia risasi.

View attachment 3131932

misaada inayotolewa na umoja wa mataifa haiwafikii wa palestiwa kawaida, wanaofaidika na misaada hiyo ni magaidi na family zao.

kwenye video hii utaona mifuko ya vyakula inayotolewa na umoja wa mataifa inaishia kwenye stoo na majiko ya Hamas na Familia zao, yamekutwa mabilioni ya pesa za misaada zinazotumiwa kifamilia.
View attachment 3131929

Magari ya misaada yanapoingia huchukuliwa na vikundi vya kigaidi

View attachment 3131935

Wale wanaojaribu kuhoji au kufanya majaribio ya kuchukua misaada huuawa, juu ya lori hili la misaada gaidi wa Hamas anawafyatulia risasi raia wanaojaribu kusimamisha lori

View attachment 3131938

Hawa ni wapelestina wenye njaa waliokamatwa wakichukua chakula kwenye gari la misaada, Hamas inawafyatua risasi kuonyesha mfano
View attachment 3131941
Uwa ue uwanyime chakuka kuwafikia halafu ujitokeze kuwa saidia,huu ni ukichaa sawa na ukichaa wa wale rangi mboga mboga.unataka kuwasaidia ukichaa huu ni sawa na wa wanarangi mboga mboga
 
Pengine hicho chakula kina sumu, hao mashoga siyo wa kuwaamini kabisa.
 
jeshi la israel waingia mitaa ya Gaza kusaidia wenye njaa misaada na pesa za umoja wa mataifa inaishia kwa magaidi na family zao raia wanaopinga hufyatuliwa

View attachment 3131932
Misaada ya umoja wa mataifa inaingia Gaza lakini ni kwajili ya Hamas na familia zao, Wapalestina wa Kawaida wanalalamika njaa, Hamas wanasingizia Israel.

kwenye video hii utaona mifuko ya vyakula inayotolewa na umoja wa mataifa inaishia kwenye stoo na majiko ya Hamas na Familia zao, yamekutwa mabilioni ya pesa za misaada zinazotumiwa kifamilia.
View attachment 3131929

Magari ya misaada yanapoingia huchukuliwa na vikundi vya kigaidi

View attachment 3131935

Wale wanaojaribu kuhoji au kufanya majaribio ya kuchukua misaada huuawa, juu ya lori hili la misaada gaidi wa Hamas anawafyatulia risasi raia wanaojaribu kusimamisha lori

View attachment 3131938

Hawa ni wapelestina wenye njaa waliokamatwa wakichukua chakula kwenye gari la misaada, Hamas inawafyatua risasi kuonyesha mfano
View attachment 3131941
watapata laana kuwasaidia haya magaidi. Kwanza yanatakiwa yote yafe na njaa.

Israel please don't sort them, just kill them all.

NO MERCY MAAMAE

R.I.P brothers Joshua Mollel na Clemence Mtenga (mromboo).

Nyau de adriz
 
Pesa za misaada ni kwajili ya familia, pochi hii ya mke wa Yahya ni shilingi milioni 86

View attachment 3131942
Propaganda za kijinga,hilo pochi abebe wapi?!.. miaka ya 2010 wakala wa adidas alikuja bongo kuangalia namna gani adidas watafanya biashara,wakakuta bidhaa feki za adidas nyingi sana,wakashindwa
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-21-21-01-50-911.jpg
    Screenshot_2024-10-21-21-01-50-911.jpg
    384.2 KB · Views: 4
Utajiri wa haniyeh ni zaidi ya mo dewji na bakhresa kwa pamoja.
 
Kama kina sumu kwanini kilikutwa kwa wingi jikoni kwa Yahaya na familia yake.

Hivi Yule kiongozi mkuu wa Hamas alietegewa bomu chini ya kitanda huko Iran ilikuwaje akakutwa na bodyguard wake kwenye kitanda kimoja ?
Alikuwa analiwa kimykimy
 
Back
Top Bottom