Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kobazi mfia dini ya mnyaazi huyo aka gaidiHuijui njaa wewe, unaisikia tu.
Njaa haikuui kwa siku moja, inaku 'dedesa' kwa siku kadhaa hadi kukifikia kifo umesota. Ukisikia watu wanakula mende na vyura kupambana na njaa usidhani wanapenda.
Labda kama unazungumzia kujiua, na si kila mmoja anaweza kujiua.
jeshi la israel waingia mitaa ya Gaza kusaidia wenye njaa misaada na pesa za umoja wa mataifa inaishia kwa magaidi na family zao raia wanaopinga hufyatuliwa
View attachment 3131932
Misaada ya umoja wa mataifa inaingia Gaza lakini ni kwajili ya Hamas na familia zao, Wapalestina wa Kawaida wanalalamika njaa, Hamas wanasingizia Israel.
kwenye video hii utaona mifuko ya vyakula inayotolewa na umoja wa mataifa inaishia kwenye stoo na majiko ya Hamas na Familia zao, yamekutwa mabilioni ya pesa za misaada zinazotumiwa kifamilia.
View attachment 3131929
Magari ya misaada yanapoingia huchukuliwa na vikundi vya kigaidi
View attachment 3131935
Wale wanaojaribu kuhoji au kufanya majaribio ya kuchukua misaada huuawa, juu ya lori hili la misaada gaidi wa Hamas anawafyatulia risasi raia wanaojaribu kusimamisha lori
View attachment 3131938
Hawa ni wapelestina wenye njaa waliokamatwa wakichukua chakula kwenye gari la misaada, Hamas inawafyatua risasi kuonyesha mfano
View attachment 3131941
Iko misemo mingi tu ya Kiswahili.Kuna msemo wa kiarabu unasema
Yemen wanaume wale mpas US na UK ndio wanapambana direct badala ya shoga wa mashoga 😄 Afu anatembeza kichapo kila kukicha hivi we hujui Yemen anapeleka kichapo Israel kila bada ya week, leo kisha wapelekea kichapo Israel, na kila kukicha pale Red Sea anampelekea kichapo US au UKKelele za Yemen zimeishia wapi?
Warabu ndio walio kileta kiswahili we baki unawachukia wacha basi kutumia kiswahili karibu 40% ni kiarabuIko misemo mingi tu ya Kiswahili.
Hao Kiswahili ni asilimia 85 kibantu acha kutuchikia sisi weusi "Al Abidi", bwana Chotara.Warabu ndio walio kileta kiswahili we baki unawachukia wacha basi kutumia kiswahili karibu 40% ni kiarabu
Anhaa sawa mjomba wake Nyau 😄Hao Kiswahili ni asilimia 85 kibantu acha kutuchikia sisi weusi "Al Abidi" bwana Chotara.
Hujui kama Mtutsi ni Farao aliyehama Misri.Anhaa sawa mjomba wake Nyau 😄
Upuuuzi mtupu nyie wanakondoo mna matatizojeshi la israel waingia mitaa ya Gaza kusaidia wenye njaa misaada na pesa za umoja wa mataifa inaishia kwa magaidi na family zao raia wanaopinga hufyatuliwa
View attachment 3131932
Misaada ya umoja wa mataifa inaingia Gaza lakini ni kwajili ya Hamas na familia zao, Wapalestina wa Kawaida wanalalamika njaa, Hamas wanasingizia Israel.
kwenye video hii utaona mifuko ya vyakula inayotolewa na umoja wa mataifa inaishia kwenye stoo na majiko ya Hamas na Familia zao, yamekutwa mabilioni ya pesa za misaada zinazotumiwa kifamilia.
View attachment 3131929
Magari ya misaada yanapoingia huchukuliwa na vikundi vya kigaidi
View attachment 3131935
Wale wanaojaribu kuhoji au kufanya majaribio ya kuchukua misaada huuawa, juu ya lori hili la misaada gaidi wa Hamas anawafyatulia risasi raia wanaojaribu kusimamisha lori
View attachment 3131938
Hawa ni wapelestina wenye njaa waliokamatwa wakichukua chakula kwenye gari la misaada, Hamas inawafyatua risasi kuonyesha mfano
View attachment 3131941
Mambo ya sunhaKama kina sumu kwanini kilikutwa kwa wingi jikoni kwa Yahaya na familia yake.
Hivi Yule kiongozi mkuu wa Hamas alietegewa bomu chini ya kitanda huko Iran ilikuwaje akakutwa na bodyguard wake kwenye kitanda kimoja ?
jeshi la israel waingia mitaa ya Gaza kusaidia wenye njaa misaada na pesa za umoja wa mataifa inaishia kwa magaidi na family zao raia wanaopinga hufyatuliwa
View attachment 3131932
Misaada ya umoja wa mataifa inaingia Gaza lakini ni kwajili ya Hamas na familia zao, Wapalestina wa Kawaida wanalalamika njaa, Hamas wanasingizia Israel.
kwenye video hii utaona mifuko ya vyakula inayotolewa na umoja wa mataifa inaishia kwenye stoo na majiko ya Hamas na Familia zao, yamekutwa mabilioni ya pesa za misaada zinazotumiwa kifamilia.
View attachment 3131929
Magari ya misaada yanapoingia huchukuliwa na vikundi vya kigaidi
View attachment 3131935
Wale wanaojaribu kuhoji au kufanya majaribio ya kuchukua misaada huuawa, juu ya lori hili la misaada gaidi wa Hamas anawafyatulia risasi raia wanaojaribu kusimamisha lori
View attachment 3131938
Hawa ni wapelestina wenye njaa waliokamatwa wakichukua chakula kwenye gari la misaada, Hamas inawafyatua risasi kuonyesha mfano
View attachment 3131941
Bora ungenyamaza Yeme kapiga leo Israel tena Military Base na anamchapa US. Yemen anapiga Baba na mtoto na mjomba kwa pamoja. Baba ya Israel ni USA na mtoto ndio Israel na mjomba wa Israel ni Muingereza 😄Kelele za Yemen zimeishia wapi?
Hio ni toleo gani la gazeti ya bibilia?Hujui kama Mtutsi ni Farao aliyehama Misri.
Wewe Chotara unafikiria kila kitu ni Mwarabu ndio maana mna chuki na Wayahudi.Hio ni toleo gani la gazeti ya bibilia?
Nani kakuambia mimi ni chotara bwege mmoja wewe, we kama chotara wa Kiyahudi ni wewe tu. Nenda kaoshe mbwa wa nyau upate baraka zake zo motoni.Wewe Chotara unafikiria kila kitu ni Mwarabu ndio maana mna chuki na Wayahudi.
Propoganda kama vile za Paulo eti mtume 😄
Misaada yanini mkuu? Kwanini msiwape uhuru wao wakujimulia mambo yao, wa kushirikiana na kufanya biashara na nchi wanazoona zinawafaa?Hamas wanaiba misaada kwajili yao na familia zao, wapalestina wanateseka na njaa
Hilo begi la mke wa Yahya ni milioni 87 pesa za misaada ya umoja wa mataifa zinatumika kwa tamaa za kifamilia
Bora ungenyamaza Yeme kapiga leo Israel tena Military Base na anamchapa US. Yemen anapiga Baba na mtoto na mjomba kwa pamoja. Baba ya Israel ni USA na mtoto ndio Israel na mjomba wa Israel ni Muingereza 😄
View: https://www.youtube.com/live/TYh9Tme0_Xw?si=eM7ldKa4F7IIZc3B