Jeshi la Israel waingia Gaza kusaidia wenye njaa

Jeshi la Israel waingia Gaza kusaidia wenye njaa

HAMAS kama CCM tu, kila siku PESA za, kodi ya wananchi, misaada kutoka mashirika na nchi za nje na mikopo ya kutoka mashirika ya fedha, na nchi za nje WANACHUKUA WAO..

Wanatulinda, wanatuletea maendeleo wao, allahamdulilah, hahaha.
 
Hii inadhihirisha ukweli kwamba vita sio dhidi ya raia wa Palestine bali ni vita dhidi ya magaidi yaliyojificha kwenye mgongo wa dini
 
Huijui njaa wewe, unaisikia tu.

Njaa haikuui kwa siku moja, inaku 'dedesa' kwa siku kadhaa hadi kukifikia kifo umesota. Ukisikia watu wanakula mende na vyura kupambana na njaa usidhani wanapenda.

Labda kama unazungumzia kujiua, na si kila mmoja anaweza kujiua.
Kobazi mfia dini ya mnyaazi huyo aka gaidi
 
jeshi la israel waingia mitaa ya Gaza kusaidia wenye njaa misaada na pesa za umoja wa mataifa inaishia kwa magaidi na family zao raia wanaopinga hufyatuliwa

View attachment 3131932
Misaada ya umoja wa mataifa inaingia Gaza lakini ni kwajili ya Hamas na familia zao, Wapalestina wa Kawaida wanalalamika njaa, Hamas wanasingizia Israel.

kwenye video hii utaona mifuko ya vyakula inayotolewa na umoja wa mataifa inaishia kwenye stoo na majiko ya Hamas na Familia zao, yamekutwa mabilioni ya pesa za misaada zinazotumiwa kifamilia.
View attachment 3131929

Magari ya misaada yanapoingia huchukuliwa na vikundi vya kigaidi

View attachment 3131935

Wale wanaojaribu kuhoji au kufanya majaribio ya kuchukua misaada huuawa, juu ya lori hili la misaada gaidi wa Hamas anawafyatulia risasi raia wanaojaribu kusimamisha lori

View attachment 3131938

Hawa ni wapelestina wenye njaa waliokamatwa wakichukua chakula kwenye gari la misaada, Hamas inawafyatua risasi kuonyesha mfano
View attachment 3131941

Ni kawaida michawi kulia zaidi msibani
 
Kelele za Yemen zimeishia wapi?
Yemen wanaume wale mpas US na UK ndio wanapambana direct badala ya shoga wa mashoga 😄 Afu anatembeza kichapo kila kukicha hivi we hujui Yemen anapeleka kichapo Israel kila bada ya week, leo kisha wapelekea kichapo Israel, na kila kukicha pale Red Sea anampelekea kichapo US au UK
 
jeshi la israel waingia mitaa ya Gaza kusaidia wenye njaa misaada na pesa za umoja wa mataifa inaishia kwa magaidi na family zao raia wanaopinga hufyatuliwa

View attachment 3131932
Misaada ya umoja wa mataifa inaingia Gaza lakini ni kwajili ya Hamas na familia zao, Wapalestina wa Kawaida wanalalamika njaa, Hamas wanasingizia Israel.

kwenye video hii utaona mifuko ya vyakula inayotolewa na umoja wa mataifa inaishia kwenye stoo na majiko ya Hamas na Familia zao, yamekutwa mabilioni ya pesa za misaada zinazotumiwa kifamilia.
View attachment 3131929

Magari ya misaada yanapoingia huchukuliwa na vikundi vya kigaidi

View attachment 3131935

Wale wanaojaribu kuhoji au kufanya majaribio ya kuchukua misaada huuawa, juu ya lori hili la misaada gaidi wa Hamas anawafyatulia risasi raia wanaojaribu kusimamisha lori

View attachment 3131938

Hawa ni wapelestina wenye njaa waliokamatwa wakichukua chakula kwenye gari la misaada, Hamas inawafyatua risasi kuonyesha mfano
View attachment 3131941
Upuuuzi mtupu nyie wanakondoo mna matatizo
Ni wanafiki na waongo mnoo
 
Kama kina sumu kwanini kilikutwa kwa wingi jikoni kwa Yahaya na familia yake.

Hivi Yule kiongozi mkuu wa Hamas alietegewa bomu chini ya kitanda huko Iran ilikuwaje akakutwa na bodyguard wake kwenye kitanda kimoja ?
Mambo ya sunha
 
jeshi la israel waingia mitaa ya Gaza kusaidia wenye njaa misaada na pesa za umoja wa mataifa inaishia kwa magaidi na family zao raia wanaopinga hufyatuliwa

View attachment 3131932
Misaada ya umoja wa mataifa inaingia Gaza lakini ni kwajili ya Hamas na familia zao, Wapalestina wa Kawaida wanalalamika njaa, Hamas wanasingizia Israel.

kwenye video hii utaona mifuko ya vyakula inayotolewa na umoja wa mataifa inaishia kwenye stoo na majiko ya Hamas na Familia zao, yamekutwa mabilioni ya pesa za misaada zinazotumiwa kifamilia.
View attachment 3131929

Magari ya misaada yanapoingia huchukuliwa na vikundi vya kigaidi

View attachment 3131935

Wale wanaojaribu kuhoji au kufanya majaribio ya kuchukua misaada huuawa, juu ya lori hili la misaada gaidi wa Hamas anawafyatulia risasi raia wanaojaribu kusimamisha lori

View attachment 3131938

Hawa ni wapelestina wenye njaa waliokamatwa wakichukua chakula kwenye gari la misaada, Hamas inawafyatua risasi kuonyesha mfano
View attachment 3131941

View: https://x.com/JewishWarrior13/status/1848715891187335276
 
Wewe Chotara unafikiria kila kitu ni Mwarabu ndio maana mna chuki na Wayahudi.
Nani kakuambia mimi ni chotara bwege mmoja wewe, we kama chotara wa Kiyahudi ni wewe tu. Nenda kaoshe mbwa wa nyau upate baraka zake zo motoni.
 
Hamas wanaiba misaada kwajili yao na familia zao, wapalestina wanateseka na njaa

Hilo begi la mke wa Yahya ni milioni 87 pesa za misaada ya umoja wa mataifa zinatumika kwa tamaa za kifamilia
Misaada yanini mkuu? Kwanini msiwape uhuru wao wakujimulia mambo yao, wa kushirikiana na kufanya biashara na nchi wanazoona zinawafaa?
 
Back
Top Bottom