jeshi la israel waingia mitaa ya Gaza kusaidia wenye njaa misaada na pesa za umoja wa mataifa inaishia kwa magaidi na family zao raia wanaopinga hufyatuliwa
Your browser is not able to display this video.
Misaada ya umoja wa mataifa inaingia Gaza lakini ni kwajili ya Hamas na familia zao, Wapalestina wa Kawaida wanalalamika njaa, Hamas wanasingizia Israel.
kwenye video hii utaona mifuko ya vyakula inayotolewa na umoja wa mataifa inaishia kwenye stoo na majiko ya Hamas na Familia zao, yamekutwa mabilioni ya pesa za misaada zinazotumiwa kifamilia.
Your browser is not able to display this video.
Magari ya misaada yanapoingia huchukuliwa na vikundi vya kigaidi
Wale wanaojaribu kuhoji au kufanya majaribio ya kuchukua misaada huuawa, juu ya lori hili la misaada gaidi wa Hamas anawafyatulia risasi raia wanaojaribu kusimamisha lori
Your browser is not able to display this video.
Hawa ni wapelestina wenye njaa waliokamatwa wakichukua chakula kwenye gari la misaada, Hamas inawafyatua risasi kuonyesha mfano
Kuna msemo wa kiarabu unasema wewe ndio muwaji afu unajidai kushindikiza au kubeba jeneza. Exactly ndicho anacho fanya Israel kawafungia wananchi wa Gaza kila kitu chakula, maji, umeme afu leo anajidai kwenda wasaidia 😄 Hicho chakula labda ndio sumu kabisa ili wawamalize. Mimi kama ndio raia wa Gaza bora nife kuliko kupokea chakula cha hao nguruwe.
Kuna msemo wa kiarabu unasema wewe ndio muwaji afu unajidai kushindikiza au kubeba jeneza. Exactly ndicho anacho fanya Israel kawafungia wananchi wa Gaza kila kitu chakula, maji, umeme afu leo anajidai kwenda wasaidia 😄 Hicho chakula labda ndio sumu kabisa ili wawamalize. Mimi kama ndio raia wa Gaza bora nife kuliko kupokea chakula cha hao nguruwe.
Njaa haikuui kwa siku moja, inaku 'dedesa' kwa siku kadhaa hadi kukifikia kifo umesota. Ukisikia watu wanakula mende na vyura kupambana na njaa usidhani wanapenda.
Labda kama unazungumzia kujiua, na si kila mmoja anaweza kujiua.
Kuna msemo wa kiarabu unasema wewe ndio muwaji afu unajidai kushindikiza au kubeba jeneza. Exactly ndicho anacho fanya Israel kawafungia wananchi wa Gaza kila kitu chakula, maji, umeme afu leo anajidai kwenda wasaidia 😄 Hicho chakula labda ndio sumu kabisa ili wawamalize. Mimi kama ndio raia wa Gaza bora nife kuliko kupokea chakula cha hao nguruwe.
Wanachokifanya jeshi la Israel sio jukumu lao ila ni wema tena ule unaoweza kuwaponza, ni zoezi la hatari muda wowote Hamas wanaweza kutuia huruma yao kuwafyatulia risasi.
misaada inayotolewa na umoja wa mataifa haiwafikii wa palestiwa kawaida, wanaofaidika na misaada hiyo ni magaidi na family zao.
kwenye video hii utaona mifuko ya vyakula inayotolewa na umoja wa mataifa inaishia kwenye stoo na majiko ya Hamas na Familia zao, yamekutwa mabilioni ya pesa za misaada zinazotumiwa kifamilia. View attachment 3131929
Magari ya misaada yanapoingia huchukuliwa na vikundi vya kigaidi
Wale wanaojaribu kuhoji au kufanya majaribio ya kuchukua misaada huuawa, juu ya lori hili la misaada gaidi wa Hamas anawafyatulia risasi raia wanaojaribu kusimamisha lori
Hawa ni wapelestina wenye njaa waliokamatwa wakichukua chakula kwenye gari la misaada, Hamas inawafyatua risasi kuonyesha mfano View attachment 3131941
Uwa ue uwanyime chakuka kuwafikia halafu ujitokeze kuwa saidia,huu ni ukichaa sawa na ukichaa wa wale rangi mboga mboga.unataka kuwasaidia ukichaa huu ni sawa na wa wanarangi mboga mboga
jeshi la israel waingia mitaa ya Gaza kusaidia wenye njaa misaada na pesa za umoja wa mataifa inaishia kwa magaidi na family zao raia wanaopinga hufyatuliwa
View attachment 3131932
Misaada ya umoja wa mataifa inaingia Gaza lakini ni kwajili ya Hamas na familia zao, Wapalestina wa Kawaida wanalalamika njaa, Hamas wanasingizia Israel.
kwenye video hii utaona mifuko ya vyakula inayotolewa na umoja wa mataifa inaishia kwenye stoo na majiko ya Hamas na Familia zao, yamekutwa mabilioni ya pesa za misaada zinazotumiwa kifamilia. View attachment 3131929
Magari ya misaada yanapoingia huchukuliwa na vikundi vya kigaidi
Wale wanaojaribu kuhoji au kufanya majaribio ya kuchukua misaada huuawa, juu ya lori hili la misaada gaidi wa Hamas anawafyatulia risasi raia wanaojaribu kusimamisha lori
Hawa ni wapelestina wenye njaa waliokamatwa wakichukua chakula kwenye gari la misaada, Hamas inawafyatua risasi kuonyesha mfano View attachment 3131941
Propaganda za kijinga,hilo pochi abebe wapi?!.. miaka ya 2010 wakala wa adidas alikuja bongo kuangalia namna gani adidas watafanya biashara,wakakuta bidhaa feki za adidas nyingi sana,wakashindwa
Kama kina sumu kwanini kilikutwa kwa wingi jikoni kwa Yahaya na familia yake.
Hivi Yule kiongozi mkuu wa Hamas alietegewa bomu chini ya kitanda huko Iran ilikuwaje akakutwa na bodyguard wake kwenye kitanda, walikuwa wanacheza bao au ?