Alshabab waliangamizwa zaidi na zile ndege za Marekani zisizokuwa na rubani. Kenya kama Kenya haikuwa na uwezo wa kufanya lolote mbele ya wale jamaa.KDF hawajaleta maneno mkuu, wao ni wazee wa kazi kazi, hata Alshabaab wanakiri hilo.....humu JF ndio tumejaa maneno tu.
Hao M23 wasipokubali amani waandae tena pa kukimbilia.
imhotep
Akili za watanzania buana....yaani badala ya kusubiri tuone itakuwaje lakini mmeanza mifananisho na kujitapa kuwa tz iliwasambalatisha ....Mi nikuambie tu Tz waliwafukuza tu ...walicho kifanya tz ni kama vile umeanika mpunga hafu kuku wamevamia na kuanza kula hafu wewe ukaja wafukuza ...unazani ukiwafukuza kuku hawatarudi? kinachotakiwa ni mfano approach wanayotumia kenya kwamba waweke silaha chini ili ipatikane suluhu....na wakikaidi maanake watachapwa na kukamatwa hao waahasi. Si kwa kumfukuza eti ukasema umewashinda....huo ni mchango wangu.Inakuaje brothers and sisters,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Leo ndio siku ya mwisho waliopewa waasi wa Congo ili kusalimisha silaha zao kwa serikali, kinyume na hapo hatua kali za kijeshi zitachukuliwa kwa kundi lolote la waasi ambalo limekaidi amri hiyo. Na oparation hiyo itahusisha majeshi ya Afrika mashariki kutoka Burundi, Congo, Uganda na Kenya huku Kenya ikionekana kuongoza oparation hiyo ambayo kundi kuu la waasi nchini Congo la M23 likisema kwamba haliitambui oparation hiyo na kwamba yeyote atakaethubutu kwenda kuwachokoza katika maeneo yao wata deal nae.
Tusisahau kwamba mwaka 2013 nchi za Malawi, South Africa zikiongozwa na jeshi la Tanzania ambalo lilisimamia oparation zote za chini ziliweza kulisambaratisha kundi hilo la M23 katika kipindi kifupi cha week kadhaa tu, na kusababisha waasi hao kukimbia ng'ome zao na kuacha silaha zao na kwenda kuomba hifadhi katika nchi jirani za Rwanda na Uganda.
Sasa baada ya miaka 9 ya ile oparation kabambe iliyoongozwa na Tanzania, leo waasi hao wamerudi tena kwa kasi ile ile huku Kenya ikionekana kutaka kuchukua nafasi ya Tanzania ili kurudisha tena amani katika maeneo hayo ya mashariki mwa Congo.
Sasa tukiachana na hizi nchi zingine zilizoshiriki au zinazoshiriki katika oparation hizo kama vile SA, Malawi, Burundi na Uganda.
Swali langu je Kenya itaweza kufanya kile ilichofanya Tanzania?
Au jeshi lake linakwenda kupokea kichapo kile inachopokea serikali ya Congo?
Lets wait to see what's gonna happen. Maana yamebakia masaa matano tu ule muda waliyopewa waasi uishe.
God bless Congo,
God bless Tanzania,
God bless our continent Africa.
Thank you 🙏
Mkuu hebu soma post #216 tayari nishatolea ufafanuzi. Nina imani utaelewa nilichoandika na utajifunza kitu kuhusu vita hii.Akili za watanzania buana....yaani badala ya kusubiri tuone itakuwaje lakini mmeanza mifananisho na kujitapa kuwa tz iliwasambalatisha ....Mi nikuambie tu Tz waliwafukuza tu ...walicho kifanya tz ni kama vile umeanika mpunga hafu kuku wamevamia na kuanza kula hafu wewe ukaja wafukuza ...unazani ukiwafukuza kuku hawatarudi? kinachotakiwa ni mfano approach wanayotumia kenya kwamba waweke silaha chini ili ipatikane suluhu....na wakikaidi maanake watachapwa na kukamatwa hao waahasi. Si kwa kumfukuza eti ukasema umewashinda....huo ni mchango wangu.
Asante mkuu kwa kuwa mkweli katika hili. Nina imani wapo wenye akili ambao watakuelewa.Mimi ni mwanafamilia wa JWTZ nina miaka 20+ kwenye hii taasisi nikwambie tuu Jeshi letu ni zaidi ya hayo majeshi yote East Afrika na huu ndo ukweli mana nimeona mengi yakutisha na yakufurahisha na yakushangaza zaidi....TPDF ni zaidi ya jeshi naongea kwa sababu nafahamu na ninajua........
😃😃😃 Iyo vita sio ya wale wavaa kubazi ...UPDF , FRDC, Monusco yaan wote waoneka e vilaza let see the impact of KDFMkuu hebu soma post #216 tayari nishatolea ufafanuzi. Nina imani utaelewa nilichoandika na utajifunza kitu kuhusu vita hii.
Unadhani ndege pekee bila 'boots on the ground' ambapo Kenya ilihusika mno ingeweza kuwarudisha nyuma Alshabaab ?Alshabab waliangamizwa zaidi na zile ndege za Marekani zisizokuwa na rubani. Kenya kama Kenya haikuwa na uwezo wa kufanya lolote mbele ya wale jamaa.
Walichofanya Kenya ni kutumia nguvu ya soda tu.
Watutsi Walikua wakija tabora tangu kipindi kile wanyamwezi wanakwenda pwani,ilikua wakienda pwani wanawaachia watutsi kuangalia mifugo na kazi ndogondogo za shamba,wapo na wanafunga na wanaendeleza hizo tamaduni zao za kutokula kuku na tunawaita watutsi na wanaitikaTanzania hakuna kabila linaloitwa tutsi. Hao uliowaona ni watanzania wenye makabila yenye asili ya watu warefu, wenye pua ndefu, wembamba nk.
Ni kama vile wamasai kama hakutoboa masikio na kuvaa yale mashuka yao, ukimuona mpakani mwa Rwanda au Burundi utakimbilia kwenda kuita askari wa uhamiaji waje kumkamata mtusi wa Rwanda au Burundi alieingia nchini bila vibali.
Lakini mwisho wa siku utakuja kugundua kuwa jamaa sio mtutsi kama ulivyofikiri bali ni mmasai ambae wengi huwafananisha na watutsi.
Ila TPDF ni dhaifu kweliHawezi kukuelewa, comments zake zote ni za kuponda JWTZ.
JW walipigwa ambush kwa masaa 9 mfululizo lkn wakameneji hawakupoteza askari wengi .......ambush waliopigwa JW ilikuwa organized na watu ndani ya Ile kambi coz waasi walivamia muda sahihi ambao askari wengi walikuwa wanaogaAta US Navy SEAL wana pigwa ambush vita ni vita muraaaa
Uongo mtupu sidhani hata kama una cheo cha staff sajent ...huwezi kujua chochote kuhusu jeshi letu dhaifu angalau ungekuwa na cheo kuanzia brigedia generalMimi ni mwanafamilia wa JWTZ nina miaka 20+ kwenye hii taasisi nikwambie tuu Jeshi letu ni zaidi ya hayo majeshi yote East Afrika na huu ndo ukweli mana nimeona mengi yakutisha na yakufurahisha na yakushangaza zaidi....TPDF ni zaidi ya jeshi naongea kwa sababu nafahamu na ninajua........
Acha kuogopa gadgets,bila binaadam timamu gadgets ni bureHao wanaoisema KDF hawajui JW ilipigwa ambush hapo Congo na tukapata vifo vya wanajeshi wetu. Au tarehe 15 hapo Mozambique si tulipigwa ambush JW wakakimbia. Nimesoma huu uzi mwanzo nikaona nisichangie, wanaichukulia KDF kama jeshi la Burundi sijui.
Na ingetokea KDF waende wenyewe tu au waende na South Africa na Malawi kama sisi ili kuwe na fair comparison. KDF wako vizuri kuanzia kwenye silaha, mafunzo na teknolojia, hata maonyesho yao siku ya uhuru yalinganishe na East African countries.
Hawa hapa wako na hand launched drones kufanya reconnaissance kwenye mission hiyoView attachment 2428719
Ule ulikua mchongoJW walipigwa ambush kwa masaa 9 mfululizo lkn wakameneji hawakupoteza askari wengi .......ambush waliopigwa JW ilikuwa organized na watu ndani ya Ile kambi coz waasi walivamia muda sahihi ambao askari wengi walikuwa wanaoga
Usisumbuke sanaa mkuu, hao KDF wali pigwa ambush na wavaa kubazi aisee askari wengi wa kdf wwalipotea kule kismayoJW walipigwa ambush kwa masaa 9 mfululizo lkn wakameneji hawakupoteza askari wengi .......ambush waliopigwa JW ilikuwa organized na watu ndani ya Ile kambi coz waasi walivamia muda sahihi ambao askari wengi walikuwa wanaoga
Gadgets ni bure na hawa waliokuwa na Toyota wakafanyajeAcha kuogopa gadgets,bila binaadam timamu gadgets ni bure
Uelewa/ufahamu wako ni finyu!Gadgets ni bure na hawa waliokuwa na Toyota wakafanyajeView attachment 2428910View attachment 2428911
Sasa hoja zenu za kusema Kenya walipigwa ambush ziko excluded kwenye hii fact. Kwanini KDF iwe dhaifu kisa ilipigwa ambush ila JW ikipigwa ambush utetezi uwe "hata Navy SEALs wanapigwa ambush"Ata US Navy SEAL wana pigwa ambush vita ni vita muraaaa