Jeshi la Kenya KDF lachukua usukani, hakuna kuingia humu bila wao kukukagua Korona

Jeshi la Kenya KDF lachukua usukani, hakuna kuingia humu bila wao kukukagua Korona

Corona itaanza na wanajeshi wenu,,vita ya somalia imewashinda sasa mmehamia kwenye corona
 
Jeshi lako linaweledi kama china?
Wenzetu wataalam wengi wapo jeshini wewe jeshi lako linajua kushika SMG, MK47 na mizinga tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyekudanganya hivyo alikubeba malenge sana. Labda wabungua korosho ambao huwa ni madrop out wa darasa la saba. KDF kila mwaka kwenye recruitment yao huwa wanachukua cadets ambao ni specialists na hata servicemen huwa wana makaratasi yao, sio watu ambao hawajahitimu. Madaktari, engineers walimu hadi na surgeons ambao huwa wanawatibu wasomali ambao walikuwa wamekandamizwa na magaidi kwa muda mrefu.
Amisom-3.jpg
Hivi kuna nchi hapa Afrika ambayo ina wataalamu wa virusi vya corona? Kila nchi ipo kwenye mikakati ya kuwafunza wahudumu wa afya. Kuna tatizo lipi KDF wakiwa kwenye frontline? Wakishapewa vifaa waanze kazi.
 
Kukagua corona kwa kutumia gun thermometer Ni kujidanganya tu,,bila kutumia testing kit,,thermometer siyo reliable
Mna ushamba mwingi sana nyinyi viumbe. Sasa ni nani amesema kwamba KDF watapima corona wakitumia bunduki? Unaona sifa kutumia kichwa chako kwenye shughuli moja tu ya kubebea meno?
 
KDF kila mwaka kwenye recruitment yao huwa wanachukua cadets ambao ni specialists na hata servicemen huwa wana makaratasi yao, sio watu ambao hawajahitimu. Madaktari, engineers walimu hadi na surgeons ambao huwa wanawatibu wasomali ambao walikuwa wamekandamizwa na magaidi kwa muda mrefu.
Jwtz pia wapo madaktari, engineers na wataalamu wa aina mbalimbali,
Punguza mapovu.
 
Mna ushamba mwingi sana nyinyi viumbe. Sasa ni nani amesema kwamba KDF watapima corona wakitumia bunduki? Unaona sifa kutumia kichwa chako kwenye shughuli moja tu ya kubebea meno?
Ha ha ha,mkuu zile wanazokuwekea usoni kupima joto zinaitwa hivyo, thermometer gun,sijasema watapima corona kwa bunduki ,,wewe utakuwa mshamba wa sangamwalugesha
 
Kwani nyie mlipokwenda kushughulikia korosho kwa kutumia JWTZ mliambiwa wakulima wana bunduki??
Haya mambo ni ya usalama wa taifa, hiki kitu sio cha kucheka nacho tena....
Nenda pale Namanga ujaribu kuingia humu kihivi hivi uone mziki wake.
😂😂😂

Hii ni Kali boss. A good response to an idiotic statement.
 
Samiaki tigirai.
Kaemoda pi ene long'ui, mpuusu! [emoji1] Nimepata hilo neno la mwisho? Kimaa nilijifunza mwenyewe, kuongea na kuandika. Kule maeneo jirani na Longidoni. Koree iyee olmorani? Arusha au?
 
Naona vilaza wanashangaa kisa nini wanajeshi kuwa deployed kupambana na janga. Mbona sisi jeshi letu huwa linaenda kwenye majanga ya mafuriko.
Jeshi lolote duniani lazima lijue kupambana na emergency situations na ndo maana hata kwetu tuna hospitali za kijeshi.
Ukienda U.S wao ndo kabisa jeshi lina na meli maalumu za kuweka karantini wagonjwa wa mlipuko hatarishi.
Mobilization ya civilian teams inakuwa sio faster kuadapt hali fulani inayokuja kwa kasi, jeshi linakwenda kusaidia. After all hii ni kupambana for survival of the people, ambayo ni kazi mojawapo ya jeshi.
 
Aliyekudanganya hivyo alikubeba malenge sana. Labda wabungua korosho ambao huwa ni madrop out wa darasa la saba. KDF kila mwaka kwenye recruitment yao huwa wanachukua cadets ambao ni specialists na hata servicemen huwa wana makaratasi yao, sio watu ambao hawajahitimu. Madaktari, engineers walimu hadi na surgeons ambao huwa wanawatibu wasomali ambao walikuwa wamekandamizwa na magaidi kwa muda mrefu.
Amisom-3.jpg
Hivi kuna nchi hapa Afrika ambayo ina wataalamu wa virusi vya corona? Kila nchi ipo kwenye mikakati ya kuwafunza wahudumu wa afya. Kuna tatizo lipi KDF wakiwa kwenye frontline? Wakishapewa vifaa waanze kazi.
Does KDF have a lab to test? Nope the only lab that can do that is in SA.
Just drama
 
Kaemoda pi ene long'ui, mpuusu! [emoji1] Nimepata hilo neno la mwisho? Kimaa nilijifunza mwenyewe, kuongea na kuandika. Kule maeneo jirani na Longidoni. Koree iyee olmorani? Arusha au?
Nani alikufundisha 😂😂😂
Nipo Dsm.
 
Shida moja kubwa ya jeshi la Kenya ni kukosa nidhamu.

Jeshi la Kenya ni jeshi la vibaka na wakwapuzi.

Badala ya kupima Corona watakuwa wanakagua mifuko ya waathirika ili wapate chochote.

Jeshi hovyo kabisa! Vibaka watupu!
 
Good move, lakini uamuzi huu umekuja kuchelewa, baada ya wananchi kupayuka haswa, itbis reactive action baada ya Wachina zaidi ya 290 kuingia nchini Kenya.
Simple mathematics; kila mchina mmoja kapitia watu zaidi ya kumi mpaka ameingia hotelini kwake, piga hesabi hapo impact yake kwa wazawa.

Mungu tuhurumie na janga hili, maana hatuna uwezo wa kujilinda sisi wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Does KDF have a lab to test? Nope the only lab that can do that is in SA.Just drama
Kenya kwa sasa ina uwezo huo. Kama kawa chuki inakupofusha, ila umenoa, sijui utaambia nini watu we mkikuyu wannabe. Mwanzoni ilikuwa ni nchi mbili tu za Afrika ndio zilikuwa na uwezo wa kufanyia 'testing' sampuli ambazo zinashukiwa kuwa na virusi vya COVID-19(corona). S.Afrika na Senegal, mapema mwezi huu Kenya ilifanikiwa kuwa kati ya nchi zingine kumi za Afrika ambazo zimeweza kuwa na lab, kits na uwezo wa kufanya 'testing' ya virusi hivyo. Bofya hapa ujisomee mwenyewe; https://www.nation.co.ke/news/Kenya...r-coronavirus/1056-5452158-mpdtt9z/index.html Tena kuna lab mbili, za KEMRI(Kenya Medical Research Institute), kumaanisha kwamba wanaweza wakalinganisha 'results' zao ili wawe na uhakika kuhusu uwepo wa virusi hivyo. Endeleeni kutuponda na kutubeza tu, Mungu atuepushe sote ila angalau Kenya tunajaribu.
 
Iwe mpakani, bandarini au kwenye viwanja vyote vya ndege, lazima upitie kwenye mikono ya jeshi letu, safi sana hiki kirusi kinaleta kiama dunia hii, ni muda wa ndugu kwa ndugu kupoteana, baba kwa mwanaye kukimbiana, majirani kuonana wabaya, siku inakaribia utatamani urudi kwenye tumbo la mama yako, haya yalitabiriwa kwenye vitabu vya kidini......
Tulisubiri vita vya tatu vya duni tukidhani vitakua vya kupigana mabomu, lakini kiaina naona kama vinakuja kivingne, Armageddon, muitazame movie ya World War Z
Majirani endeleeni kucheka na nyani muone kama hamtavuna mabua...vihela vya watalii visiwapofushe kwa umaskini.
------------------------

UPDATE: 3:07

The Kenya Defence Forces officers will now take charge of all entry points in the country where they will monitor the screening of passengers getting into the country from other nations.

The officers will, therefore, monitor all airports, maritime ports and every border point in the country.

The communication was made by the Head of Public Service Joseph Kinyua who termed the move as a measure taken to prevent the spread of Coronavirus disease.



https://www.kenyans.co.ke/news/5024...paign=Govt+Sued+Over+Chinese+Flights+to+Kenya
Bravo bravo
 
Nani alikufundisha Nipo Dsm.
Nilisomea huko shule ya msingi na nimeishi huko pia. Kama kawa walianza kwa kunifunza matusi. Nchabo longu'i, shomo noo nchopirik. 😀 Baada ya hapo mengine yakaja naturally. Olmorani kamili roi, nimekunywa damu moja kwa moja kutoka kwenye shingo hadi na kiloriti nimekula. [emoji1] Tapala roi apaaiya, ukinijaribu, unichokoze au unishtue kwa kutokelezea ghafla napandwa na mori na nakumaliza. Hahaha! [emoji38]
 
Back
Top Bottom