Tim Choice
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 2,088
- 1,261
Utajulia wapi wewe husomi vitabu. Nakupa link usome kidogo na uelewe
African socialism - Wikipedia
Wikipedia?.....seriously?...hujaachanga huu uboya?..haha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajulia wapi wewe husomi vitabu. Nakupa link usome kidogo na uelewe
African socialism - Wikipedia
Utajulia wapi wewe husomi vitabu. Nakupa link usome kidogo na uelewe
African socialism - Wikipedia
Yaani mazo yako madogo sana. Haya leta hiyo report tuione.Zile tanks ni za nchi flani,ngoja nikakuletee ripoti, zilizokuja hapo kwenye fukwe lenu ufanya zoezi,wacha kutuchukulia watoto.
Jaribu kuwa na kaaibu kidogo angalau wakati mwingine unaposema uongo.
Angalia sasa ulivyo na akili ndogo kama za kunguni. Yaani kwa mawazo yako nikuletee kita physical online.Wikipedia?.....seriously?...hujaachanga huu uboya?..haha!
Soma mambo dogo. Nakuhakikishia huna uwezo wa ku argue na mimi. Uzuri wangu huwa naenda na references huwa sikurupuki.Wikipedia ndio VITABU?..hahhaha
Yaani mazo yako madogo sana. Haya leta hiyo report tuione.
Vilevile jeshi lenu linaitwa Kenya Defence Force KDF yaani kikundi cha watu fulani tu.
Wakati sisi letu linaitwa Tanzania People's Defence Force yaani ni jeshi la wananchi. Huoni tofauti ya ideologies hapo!?
Naona povu limeanza kukutoka. Hujui kuwa Tanzania ni sovereign state!?Nyie mna DEMOKRASIA IPI?..hahahh,husinifanye nicheke...Umewahi sikia Jeshi la Uingereza likiwa na jina "people".ama hata Marekani?..ama India lilio demokrasia kubwa duniani?....mmeliweka PEOPLES kama baba lenyu katili mkomunisti China ili muonekane nany mpo katika demokrasia lakini wapi?.UZURI WA MKAKASI NDANI KIPANDE CHA MTI....sufuri ,tupu, mna DIKTETA wote tunamjua kila siku hutoa AMRI na chama kimoja tangu jadi.
Nakushauri kama huna information za uhakika ni vyema ukakaa kimya ninaweza kukutoa povu na baadae ukaabika hapa.Nyie mna DEMOKRASIA IPI?..hahahh,husinifanye nicheke...Umewahi sikia Jeshi la Uingereza likiwa na jina "people".ama hata Marekani?..ama India lilio demokrasia kubwa duniani?....mmeliweka PEOPLES kama baba lenyu katili mkomunisti China ili muonekane nany mpo katika demokrasia lakini wapi?.UZURI WA MKAKASI NDANI KIPANDE CHA MTI....sufuri ,tupu, mna DIKTETA wote tunamjua kila siku hutoa AMRI na chama kimoja tangu jadi.
Nakushauri kama huna information za uhakika ni vyema ukakaa kimya ninaweza kukutoa povu na baadae ukaabika hapa.
Kwahyo Tz tumepigwa gape!
Kwanza wewe uwezo wako ni mdogo sanaKubwa kabisa, ila wanake Pombe hawataki kuusikia ukweli!...
Hawa wqatu ni waoga. Ata Kenya Police wanaweza tandika Tanzania army vibaya sanaTanzanian army wako kwenye kikosi cha AMISON somalia!?
mtotowa kiume kuwa mbea mbea haifai dadaUliwasikia lini Kenya?...halafu nasikia wamewachapa polisi wenu hapo lakini hamtaki kukubali na kuyaita jina stahiki"magaidi"...mnawaita majambazi.
mtotowa kiume kuwa mbea mbea haifai dada
wasalimie kwenu bungoma mama mdogoUnanfaham dogo?...Labda nilikuingizia nanilihu ukajua kabisa ni la kiume ,sivyo?