Jeshi la Kenya ladumisha uongozi wake Afrika Mashariki na Kati

Jeshi la Kenya ladumisha uongozi wake Afrika Mashariki na Kati

Duh, hivi huwa mnareason vizuri kweli?
Do u really think USA can't stop terrorism?
Hata hao alshabab mnachezewa tu Akili zenu. Poor you !

Ugaidi hauwezi kumalizwa kihivi hivi, maana ni vita vya kiitikadi na vinahusu watu wa kujitoa mhanga. Hadi Marekani amefikia kwenye hatua za kuwazuia watu kutokea mataifa fulani wasiingie kwake, maana adui kwenye vita hivi ni huyo mliyeketi naye hapo, hana sare wala chochote cha kumtambulisha, ila akizidiwa na uzombi analipuka, japo kwenu huwa mnawaita eti 'majambazi wa Mkuranga'.

Mrusi amerusha hadi ICBM lakini wapi, Marekani akalipua MOAB lakini mazombi yanaptea tu, sasa Mwahili kanyamba nyamba wa Dar ndio utafanya nini na magobole yenu hayo.
 
BM-21 multiple rocket launchers. Range up to 750 kilometers. Tanzania pekee.
Tanzania+BM21.JPG
 
Naona povu limeanza kukutoka. Hujui kuwa Tanzania ni sovereign state!?

Wewe unaongea saaana tena unaongea kwa mihemko. Mimi nakupa taarifa za uhakika. Kati ya Tanzania na Kenya unaweza ukaleta ushahidi kuonesha kenya ni more democratic than Tanzania!?

Nyie uchaguzi wa Rais mmeanza mwaka 2002 tangu nchi yenu ipate uhuru.
Tanzania imekuwa na utaratibu hio miaka na miaka.
Nchi yenu inaongozwa na elites wale wale na familia zao. Na most of them ni Kikuyus.
Mfano: Jommo kenyatta kikuyu
Mwai kibaki kikuyu
Uhuru kenyata kikuyu.

Democrasia ipi waisema?
Dah!! Akirudi tena atakuwa mbishi ila umempatia facts tupu mkuu.
 
Ndio maana wakikuyu wanaendelea kuwatawala hadi mnyoke kwasababu hamjitambui
 
Have they given reason of withdrawal.
Uganda ndio inawanajeshi wengi amison 6000 soldiers lakini hawajawai kuaattacked na alshabab na leo wametangaza kufanikiwa kuwaondoa alshabab waliokua mpakan mwa uganda walio kua wanajihusha na biashara harama pamoja na utekaji..
Wewe unaleta bajeti za kisiasa ambazo hazina uhalisia bajeti inaishia kulipana mishahara mikubwa na ufisadi poor kenyan
Have they given reason of withdrawal.
Uganda ndio inawanajeshi wengi amison lakini hawajawai kuaattacked na alshabab na leo wametangaza kufanikiwa kuwaondoa alshabab wakiokua mpakan mwa uganda walio kua wanajihusha na biashara harama pamoja na utekaji..
Wewe unaleta bajeti za kisiasa ambazo hazina uhalisia bajeti inaishia kulipana mishahara mikubwa na ufisadi poor kenyan
 
Spending doesn't necessarily mean power. You can spend 100 for unimportant things and others may spend 50 for important things. For example, You spend 100 for leisure kama viroba etc. I spend half of it for investing. Who will gain power here?
 
Watoto wa EAC. Tafuteni kwenye nchini mwenu. Nani kwa miongo mitano tangu tuwe huru. Nchini zetu. Nani aliyewasaidia wengine kujikomboa? Ni nchi nyingine kupata uhuru. Tena kwa Damu. Kupigana hadi kuiteka nchi na kuweka utawala mwingine. Nchi gani EAC iliyoshiriki kikamilifu kuingia SA na kutenga mabomu na kuisaidia ANC. Na mzee Mandela kuwa huru. Kana sio TANZANIA. Kufundisha wapigania uhuru kote SADC. Nk
 
Tz hakuna vita... so there is no need ya ku spend that much kwenye kuboresha jeshi.
 
Inakuaje Ethiopia yenye majeshi Amisom na iliyopakana na Somali pia haijawai kupata mashambulizi nchini kwake pamoja na bajeti yake hapa ikionyesha kua chini ya Kenya. Nadhani Kenya yafaa wajiulize sana tatizo ni ukubwa wa bajeti au ni upungufu upi wanaotumia hao Alshabab kuwashambulia Wakenya
Tunapenda wageni sasa tukona refugees wengi wa somalia wanaishi kenya, sisi si ka watanzania mgenia akija mshajua, we dont bother we are too busy
 
Uganda ndio inawanajeshi wengi amison 6000 soldiers lakini hawajawai kuaattacked na alshabab na leo wametangaza kufanikiwa kuwaondoa alshabab waliokua mpakan mwa uganda walio kua wanajihusha na biashara harama pamoja na utekaji..
Wewe unaleta bajeti za kisiasa ambazo hazina uhalisia bajeti inaishia kulipana mishahara mikubwa na ufisadi poor kenyan

Uganda ndio inawanajeshi wengi amison lakini hawajawai kuaattacked na alshabab na leo wametangaza kufanikiwa kuwaondoa alshabab wakiokua mpakan mwa uganda walio kua wanajihusha na biashara harama pamoja na utekaji..
Wewe unaleta bajeti za kisiasa ambazo hazina uhalisia bajeti inaishia kulipana mishahara mikubwa na ufisadi poor kenyan
Kaka Uganda walipigwa tena Kampala wakati mashaniki wanaangalia mpira...hawa Al shabab ni gorila war...usije kuta wanaada mashambulizi ya mwaka 2019..wao hutazama wapi penye loophole na wakifanikiwa basi ni maafa Westgate, Garisa ni mifano michache
 
Tunapenda wageni sasa tukona refugees wengi wa somalia wanaishi kenya, sisi si ka watanzania mgenia akija mshajua, we dont bother we are too busy
Sina uhakika na hilo kaka ila kwa kua wapo pia Wasomali wenye asili ya Kenya nadhani hii pia imechangia lakini pia RUSHWA ndio imewaangusha maana ID za kenya hawa jamaa wanazipata na kuwapa wepesi kuingia mpaka Nairobi na kwingine kufanya doria, yafaa uzalendo uwepo na uwajibikaji kaka...na kuodoa siasa kwenye mambo ya National Security.
 
Ukubwa wa bajeti hauonyeshi uimara wa jeshi.Ni vema watu watambue kuwa vita haiwezi kutokea ghafula, vita hupangwa tofauti na ugaidi.

Nchi kama Tanzania ni hodari sana kupeleka askari wake nchi mbalimbali zenye teknolojia ya juu ya kijeshi ili kujifunza namna ya kutumia vifaa vya kisasa hata ambavyo hatuna.

Ifahamike kuwa kila uchao mataifa makubwa yanagundua teknolojia mpya za kijeshi /kivita. Hivyo basi, kununua vifaa vipya kila uchao kwa gharama kubwa wakati hauna tishio la vita ni ufujaji wa pesa.

Ni bora kuwafundisha askari wako wajue kutumia vifaa vya kila aina na kila toleo hata kama huna vifaa hivyo ili kukiwa na tishio la vita ndipo unanunua vifaa uvitakavyo kulingana na teknolojia ya wakati huo kuliko kuspend much wakati huna tishio lolote. Ukispend much wakati hakuna tishio kuna uwezekano tishio likatokea wakati vifaa vyako ulivyonunua kwa gharama kubwa vimepitwa na wakati.

Hii ndio busara waitumiayo Tanzania.
 
Ukubwa wa bajeti hauonyeshi uimara wa jeshi.Ni vema watu watambue kuwa vita haiwezi kutokea ghafula, vita hupangwa tofauti na ugaidi.

Nchi kama Tanzania ni hodari sana kupeleka askari wake nchi mbalimbali zenye teknolojia ya juu ya kijeshi ili kujifunza namna ya kutumia vifaa vya kisasa hata ambavyo hatuna.

Ifahamike kuwa kila uchao mataifa makubwa yanagundua teknolojia mpya za kijeshi /kivita. Hivyo basi, kununua vifaa vipya kila uchao kwa gharama kubwa wakati hauna tishio la vita ni ufujaji wa pesa.

Ni bora kuwafundisha askari wako wajue kutumia vifaa vya kila aina na kila toleo hata kama huna vifaa hivyo ili kukiwa na tishio la vita ndipo unanunua vifaa uvitakavyo kulingana na teknolojia ya wakati huo kuliko kuspend much wakati huna tishio lolote. Ukispend much wakati hakuna tishio kuna uwezekano tishio likatokea wakati vifaa vyako ulivyonunua kwa gharama kubwa vimepitwa na wakati.

Hii ndio busara waitumiayo Tanzania.
Kenya hatutumi wanajeshi nje kusomia hivyo vitu unasema, wanajeshi hao na vifaa vyao huja kujifunza pamoja na jeshi la Kenya. US Marines and Recce Squad train together, what a US Marine can do, a KDF Recce squad can do it, Royal ARmy (Britain) Train Here in Kenya with the KDF, Jordan and Isreal Army Train in Kenya with the KDF, you can imagine the experience the KDF has from the best of the Armies in the world.

On Training with the British Royal Army


On Kung Fu


On Combat Training


GI Tactical
 
Kenyans you are always bragging in everything hivi niulize just a simple quiz

Wat is so new in kenya??

Kujichocha yoote ni ya nn???
 
Back
Top Bottom