Jeshi la Kongo DRC sasa linaweza kuidhibiti M23 na majirani wabaya

Jeshi la Kongo DRC sasa linaweza kuidhibiti M23 na majirani wabaya

Alice Gisa

Senior Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
172
Reaction score
417
Jeshi la nchi ya Congo DR limeonyesha uborekaji wa hali ya juu kwasasa . tangu waasi wa M23 wafanikiwe kutwaa mjii wa mpaka wa Bunagana nimekua nikifuatilia kwakaribu sana mapigano ya kila siku ya vita hii.

Mwazoni ni kama Jeshi lilishitukizwa na mashambulio lakini baada ya wiki mbilijeshi limeweza kusimamisha jitihada za waasi kusonga mbele

Kubwa zaidi ambalo FARDC wameonesha tofauti ni kuweza kuwachambua viongozi wa M23 na kuwashambulia mahususi kupoteza cordination ya waasi.

Juzi ililipotia kifo cha kamanda wa pili wa juu ya M23 (col Yusuph Mboneza) alishambuliwa katika mapigano na kuuwawa, aidha juzi hiyo hiyo ikalipotia kamanda mkuu wa M23Bw Bri Gen Sultan Makenga ameshambulia na kujeruhiwa vibaya.

Leo tarehe 29 june 2022 imeripotiwa tena kuwa asikari wa Rwanda waliokua ndani ya kikoasi cha m23 wameuwawa kwa wingi na mmoja wao akiwa asikari wa cheo cha juu cha luteni kanali akiiwa Col Davidi Kiiza.

Huko Rutchuru wameuawa asikari wengi wa M23 wakiwa na Uniform za Rwanda

 
M23 leader Gen sultan Makenga Emmanuel with spox Maj Willy Ngoma today .

After rumours of his death in recent battles
IMG_20220630_100904.jpg


Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Jeshi la nchi ya Congo DR limeonyesha uborekaji wa hali ya juu kwasasa . tangu waasi wa M23 wafanikiwe kutwaa mjii wa mpaka wa Bunagana nimekua nikifuatilia kwakaribu sana mapigano ya kila siku ya vita hii.

Mwazoni ni kama Jeshi lilishitukizwa na mashambulio lakini baada ya wiki mbilijeshi limeweza kusimamisha jitihada za waasi kusonga mbele

Kubwa zaidi ambalo FARDC wameonesha tofauti ni kuweza kuwachambua viongozi wa M23 na kuwashambulia mahususi kupoteza cordination ya waasi.

Juzi ililipotia kifo cha kamanda wa pili wa juu ya M23 (col Yusuph Mboneza) alishambuliwa katika mapigano na kuuwawa, aidha juzi hiyo hiyo ikalipotia kamanda mkuu wa M23Bw Bri Gen Sultan Makenga ameshambulia na kujeruhiwa vibaya.

Leo tarehe 29 june 2022 imeripotiwa tena kuwa asikari wa Rwanda waliokua ndani ya kikoasi cha m23 wameuwawa kwa wingi na mmoja wao akiwa asikari wa cheo cha juu cha luteni kanali akiiwa Col Davidi Kiiza.

Huko Rutchuru wameuawa asikari wengi wa M23 wakiwa na Uniform za Rwanda

Ngoja iendelee kunyesha tuone panapovuja
 
Jeshi la nchi ya Congo DR limeonyesha uborekaji wa hali ya juu kwasasa . tangu waasi wa M23 wafanikiwe kutwaa mjii wa mpaka wa Bunagana nimekua nikifuatilia kwakaribu sana mapigano ya kila siku ya vita hii.

Mwazoni ni kama Jeshi lilishitukizwa na mashambulio lakini baada ya wiki mbilijeshi limeweza kusimamisha jitihada za waasi kusonga mbele

Kubwa zaidi ambalo FARDC wameonesha tofauti ni kuweza kuwachambua viongozi wa M23 na kuwashambulia mahususi kupoteza cordination ya waasi.

Juzi ililipotia kifo cha kamanda wa pili wa juu ya M23 (col Yusuph Mboneza) alishambuliwa katika mapigano na kuuwawa, aidha juzi hiyo hiyo ikalipotia kamanda mkuu wa M23Bw Bri Gen Sultan Makenga ameshambulia na kujeruhiwa vibaya.

Leo tarehe 29 june 2022 imeripotiwa tena kuwa asikari wa Rwanda waliokua ndani ya kikoasi cha m23 wameuwawa kwa wingi na mmoja wao akiwa asikari wa cheo cha juu cha luteni kanali akiiwa Col Davidi Kiiza.

Huko Rutchuru wameuawa asikari wengi wa M23 wakiwa na Uniform za Rwanda


Mafanikio makubwa Sana haya kwa Fardc, wajitahidi kukomboa maeneo yanayoshikiliwa na hao wavamizi na mamluki wa nchi jirani.
mtu chake zitto junior Moronight walker Bukyanagandi
 
Jeshi la nchi ya Congo DR limeonyesha uborekaji wa hali ya juu kwasasa . tangu waasi wa M23 wafanikiwe kutwaa mjii wa mpaka wa Bunagana nimekua nikifuatilia kwakaribu sana mapigano ya kila siku ya vita hii.

Mwazoni ni kama Jeshi lilishitukizwa na mashambulio lakini baada ya wiki mbilijeshi limeweza kusimamisha jitihada za waasi kusonga mbele

Kubwa zaidi ambalo FARDC wameonesha tofauti ni kuweza kuwachambua viongozi wa M23 na kuwashambulia mahususi kupoteza cordination ya waasi.

Juzi ililipotia kifo cha kamanda wa pili wa juu ya M23 (col Yusuph Mboneza) alishambuliwa katika mapigano na kuuwawa, aidha juzi hiyo hiyo ikalipotia kamanda mkuu wa M23Bw Bri Gen Sultan Makenga ameshambulia na kujeruhiwa vibaya.

Leo tarehe 29 june 2022 imeripotiwa tena kuwa asikari wa Rwanda waliokua ndani ya kikoasi cha m23 wameuwawa kwa wingi na mmoja wao akiwa asikari wa cheo cha juu cha luteni kanali akiiwa Col Davidi Kiiza.

Huko Rutchuru wameuawa asikari wengi wa M23 wakiwa na Uniform za Rwanda


taarifa nzuri
 
Safi sana wana wa Congo kwa kuwatembezea kichapo nchi jirani
Nalog off Z
 
Back
Top Bottom