Jeshi la Kongo DRC sasa linaweza kuidhibiti M23 na majirani wabaya

Toka wale akina Brigedia Mwakibolwa walivyoenda Congo, huyu jamaa alihusishwa sana na kufa ila bado anaendelea na kazi.

Inaonekana huyu ni askar haswa.
Huyo jamaa kapigana rwanda civil war 1990 -1994 , kapigana first and second congo war 1996-2002 , na bado yupo mpaka leo, anauzoefu wa mapigano.
 
Mkuu hapo mwanza sio kweli m23 kipindi cha jk walikuwa wengi sana kumbuka m23 kipindi kile kilitengenezwa na Rwanda pamoja na rafiki yake uganda m23 ya jk walikuwa , zaidi ya askari 5000, hao tena Wales waliokuwa front line ukiachana na waliokuwa nyuma, sio kweli kwamba walikuwa 600, hapana,
Maana Tanzania tulipeleka askari 5000.
Na m23 walikufa zaidi ya askari 1200+
 
M23 ya jk walikuwa wengi tena wengi sana sio kweli kwamba askari wa m23 askari 600 walishinde jeshi la congo wenye askari zaidi ya 20,000.
M23 walikuwa wengi sana bro tena wengi sana tuu bro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…