Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) lakataa vijana 8 kutokana na kujihusisha na vitendo vya Ushoga

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) lakataa vijana 8 kutokana na kujihusisha na vitendo vya Ushoga

Huyo afande mwenyewe anaonekana bwabwa tu kwa kumpima saikolojia yake ya maneno.

Mashoga wengi wanapenda kujificha ushoga wao kwa kujifanya wanakemea ushoga. Ukimpanua matako unakuta marinda kushnehi.

Ninawajua wajeda watatu ambao ni machoko wanapigwa pumbu kweli kweli.

Mmoja yuko tabora kambi ya.... au basi...
Wewe mwenyewe utetezi wako, Unatia shaka, ila kuna tahadhri huko Qatar mkienda Muwe na Staha .
 
Ukiniambia kati ya kuwa na mshoga wengi na utawala wa ccm,nichsgue moja,Bora nchi iwe na mashoga wengi,kuliko kuwa na ccm hapa nchini,sana sana huyo mama yao,anayetembea amerembua macho
Tatizo we mwenyewe ni ndigili.
 
Wewe Tetea, tu, ila Ujue Mungu amekataza ushoga, ila mpo, Mungu amekataza Uzinzi, lakini bado tuzini.
Hivyo jeshi kama jeshi inawezekana wapo, ila hawakubaliki nawanafanya kwa kujificha. ila sela ya jeshi haiutambuai ushoga.

Tatizo wa Tanzania mnataka tuwe kama uingereza iwe wazi, huku tukiruhusu hivyo tu nchi itanuka mavi kila mtaa, angalia kwenye pombe kali, na madawa ya kulevya inavyomaliza vijana.
Na sahv hivi haya mabongo fleva yao
Matamasha yao wana promote sana ushog......
Mashg wanajiachia wazwaz
Kuna watu wanaona sawa tu kumbe bomb hilo

Ova
 
Mkuu wa wilaya ya Iramba Selemani Mwenda amesema vijana hao nane kati ya thelathini waliyokosa sifa ya kujiunga na mafunzo ya JKT ni kutokana na vipimo kubaini kwamba wanajihusisha na vitendo vya ushoga.

Kijana mmoja alioneka akikimbia kwa kukata viuno na jinsi alivyokuwa akiweka mikono na vidole vyake ikaweka hali ya kutiliwa mashaka kuwa huenda anajihusisha na vitendo vya ushoga, alisema Kamanda Kanali wa JKT.

View attachment 2410072
Ona huyu
 
Kwani mtu kuwa shoga ni kuwa hana nguvu za kiume? (rijali ni kuwa na nguvu za kiume..erectile functionality). Nasema ukanda huo wanajali sana haya mambo......uanaume kwao ni rijali......
Kwani hawo waliofukuzwa jkt walikuwa hawasimamishi mkuyenge? Maana kama wanasimamisha mshipa basi wako rijali.
 
Na sahv hivi haya mabongo fleva yao
Matamasha yao wana promote sana ushog......
Mashg wanajiachia wazwaz
Kuna watu wanaona sawa tu kumbe bomb hilo

Ova
Na ndicho tunachokipinga hapa, ila mashoga, wanajifanya eti wanawatetea haki zao, haki ya ushoga jeshini, labda kwenye jeshi la uingereza huko, ambako watu wameendelea, huku kwetu vijana hawatafakari jambo, likiachiwa huru, asbuhi Tukiamka tutakuta mavi tupu mtaani.
 
Mkuu wa wilaya ya Iramba Selemani Mwenda amesema vijana hao nane kati ya thelathini waliyokosa sifa ya kujiunga na mafunzo ya JKT ni kutokana na vipimo kubaini kwamba wanajihusisha na vitendo vya ushoga.

Kijana mmoja alioneka akikimbia kwa kukata viuno na jinsi alivyokuwa akiweka mikono na vidole vyake ikaweka hali ya kutiliwa mashaka kuwa huenda anajihusisha na vitendo vya ushoga, alisema Kamanda Kanali wa JKT.

View attachment 2410072
Waliwapima au waliwajuaje?
 
Kwa nini wameileta hii hoja siku moja baada ya ajalibya ndege ambayo imeonyesha udhaifu mkubwa wa vyombo vyetu vya uokovu? Kazi kweli.
 
Haya wale wa haki za binadamu nendeni kwa Kanali mkamueleze kubwa mmeonewa na nyie mnafaida kwenye jamii
 
Wale jamaa wanaotetea haki za binadamu humu JF wameiona hii habari? Inatakiwa waende huko Ilamba wakamuone Mkuu wa wilaya na huyo Kanali wa JKT; wakawaelezee kuwa wasiwache hao "Mashoga" - sababu haki za binadamu haziruhusu. Wasiwe tu wanatetea haki za binadamu kupitia keyboard tu; waende Ilamba "physically" wakawatetee....
 

Attachments

  • VID-20221108-WA0105.mp4
    25 MB
Nenda kaseme haya maneno pale lugalo afu utajua kama hili jeshi ni la kihuni au ww ndo muhuni
Msiwaoverrate wanajeshi jamani,hata huyo Lugalo,hana ubavu wa nyumbani au sehemu watu wanafanyia kazi,akaongea mbovumbovu,atabutuliwa tu,au wewe unaamini,mtu akivaa gwanda,anapiga kichwa hadi tofali la block linapasuka vipande?
Wake up.Rejea ya Precision
 
Kuna wengine wanatumia matako kama pochi ya kuhifadhia vitu vya Siri..
Jela mtu anahifadhi pakiti za sigara ,simu pamoja na charger yake matakoni,
Na wala sio shoga.

Shoga ni kukojolewa matakoni na sio kutanuka marinda.

Nadhani utaratibu unaotumika kumkaguwa shoga ni utaratibu wa kizamani.

Wenzetu wanapima kinyesi sisi tumekalia kichunguliana vitunguu swaumu.

Inchi ya hovyo kabisa.
 
Tusisahau kitu hapo, hao vijana mchele mchele wanatokea mkoani. Kuna siku nilikuwa namwambia mtu kuwa mashoga wengi wapo mikoani hasa Iringa na Arusha akakataa kabisa yeye akabaki kuitaja Tanga na Pwani.

Nadhani ataufikiria upya mtazamo wake. Ukitaka kufahamu wingi wa mashoga na ushoga fanya utafiti kwenye mtandao wa facebook, utashangaa shoga yupo kijijini sana hadi utajiuliza maswali amekuwajeshoga, kipi kimemshawishi?.

Tatizo ni hatutaki kufanya tafiti za hili tatizo na hatutaki kulijadili kwa kisingizio cha ukijadili unauchochea. Kumbe sivyo ni lazima tuifahamu jamii yetu inaelekea wapi.
 
Back
Top Bottom