Jeshi la Lebanon lawahamasisha raia kwa vita, wananchi waapa kutokimbia nchi yao

Jeshi la Lebanon lawahamasisha raia kwa vita, wananchi waapa kutokimbia nchi yao

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Siku moja baada ya Israel kumuua kiongozi wa Hizbullah, Hassan Nasrallah jeshi la nchi hiyo limekuja juu na kutoa matamko ya kuwahamasisha raia kujiandaa kwa vita na Israel.

Katika tamko lake hilo jeshi limewataka wananchi kuhifadhi vyakula na matumizi ya lazima na kuwa wamoja kuliko muda wowote ule wakati jeshi ovu la Israel likiazimia kuingiza vikosi vyake nchini humo.

Kwa upande wa wanachi wamesikika wakisema hata wakipigwa namna gani hawataondoka na hawatarudi nyuma kuitetea nchi na miji yao.

China nayo imesema vita vinavyoendelea Lebanon ni muendelezo wa vita vilivyoanza Gaza na kwamba nchi hiyo inaiunga mkono Lebanon katika kulinda heshima ya nchi yao.

Aljazeera live
 
Siku moja baada ya Israel kumuua kiongozi wa Hizbullah,Hassan Nasrallah jeshi la nchi hiyo limekuja juu na kutoa matamko ya kuwahamasisha raia kujiandaa kwa vita na Israel.
Katika tamko lake hilo jeshi limewataka wananchi kuhifadhi vyakula na matumizi ya lazima na kuwa wamoja kuliko muda wowote ule wakati jeshi ovu la Israel likiazimia kuingiza vikosi vyake nchini humo.
Kwa upande wa wanachi wamesikika wakisema hata wakipigwa namna gani hawataondoka na hawatarudi nyuma kuitetea nchi na miji yao.
China nayo imesema vita vinavyoendelea Lebanon ni muendelezo wa vita vilivyoanza Gaza na kwamba nchi hiyo inaiunga mkono Lebanon katika kulinda heshima ya nchi yao.
Aljazeera live
wale ni sawa na hawana jeshi, manake Nasraalah aliwaweka mfukono walikuwa hawafurukuti kwa hassan, wataweza kwa myahudi? wengi hapo watakimbia nchi tu.
 
Siku moja baada ya Israel kumuua kiongozi wa Hizbullah,Hassan Nasrallah jeshi la nchi hiyo limekuja juu na kutoa matamko ya kuwahamasisha raia kujiandaa kwa vita na Israel.
Katika tamko lake hilo jeshi limewataka wananchi kuhifadhi vyakula na matumizi ya lazima na kuwa wamoja kuliko muda wowote ule wakati jeshi ovu la Israel likiazimia kuingiza vikosi vyake nchini humo.
Kwa upande wa wanachi wamesikika wakisema hata wakipigwa namna gani hawataondoka na hawatarudi nyuma kuitetea nchi na miji yao.
China nayo imesema vita vinavyoendelea Lebanon ni muendelezo wa vita vilivyoanza Gaza na kwamba nchi hiyo inaiunga mkono Lebanon katika kulinda heshima ya nchi yao.
Aljazeera live
Kama wa lebanon watakua pamoja na Hezbollah watashindwa ila wakikaa kama wakristo zamani wanashinda na Israel atawafanyia kazi ya kuwasafisha wapalestina wa lebanon
 
Siku moja baada ya Israel kumuua kiongozi wa Hizbullah,Hassan Nasrallah jeshi la nchi hiyo limekuja juu na kutoa matamko ya kuwahamasisha raia kujiandaa kwa vita na Israel.
Katika tamko lake hilo jeshi limewataka wananchi kuhifadhi vyakula na matumizi ya lazima na kuwa wamoja kuliko muda wowote ule wakati jeshi ovu la Israel likiazimia kuingiza vikosi vyake nchini humo.
Kwa upande wa wanachi wamesikika wakisema hata wakipigwa namna gani hawataondoka na hawatarudi nyuma kuitetea nchi na miji yao.
China nayo imesema vita vinavyoendelea Lebanon ni muendelezo wa vita vilivyoanza Gaza na kwamba nchi hiyo inaiunga mkono Lebanon katika kulinda heshima ya nchi yao.
Aljazeera live
Jeshi ovu la israeli...? A u crazy..?
All the best 🇮🇱
 
Kwa upande wa wanachi wamesikika wakisema hata wakipigwa namna gani hawataondoka na hawatarudi nyuma kuitetea nchi na miji yao.
Sasa hapo si wakifa au kuuliwa watakuwa wameondoka, au mimi tu sijaelewa

China nayo imesema vita vinavyoendelea Lebanon ni muendelezo wa vita vilivyoanza Gaza na kwamba nchi hiyo
Sio kwamba ni muendelezo wa utekaji na mauaji ya mazayuni hapo Oktoba 7,2023 uliotekelezwa na Hamas. Itakuwa China amejisahau hapo mkumbushe.


na kwamba nchi hiyo inaiunga mkono Lebanon katika kulinda heshima ya nchi yao.
Hata pale Gaza China inaiunga mkono Palestina kulinda heshima yake lakini ndio hivyo upepo unaenda kinyume.
 
Siku moja baada ya Israel kumuua kiongozi wa Hizbullah,Hassan Nasrallah jeshi la nchi hiyo limekuja juu na kutoa matamko ya kuwahamasisha raia kujiandaa kwa vita na Israel.
Katika tamko lake hilo jeshi limewataka wananchi kuhifadhi vyakula na matumizi ya lazima na kuwa wamoja kuliko muda wowote ule wakati jeshi ovu la Israel likiazimia kuingiza vikosi vyake nchini humo.
Kwa upande wa wanachi wamesikika wakisema hata wakipigwa namna gani hawataondoka na hawatarudi nyuma kuitetea nchi na miji yao.
China nayo imesema vita vinavyoendelea Lebanon ni muendelezo wa vita vilivyoanza Gaza na kwamba nchi hiyo inaiunga mkono Lebanon katika kulinda heshima ya nchi yao.
Aljazeera live
Lebanon kuna majeshi mawili, jeshi la serikali na jeshi la Hezbollah linalomiliki Lebanon upande wakusini na ambalo limekuwa likipigana na magaidi wa IDF.
Jeshi lipi limeyasema hayo?
La serikali au Hawa Hezbollah baada ya kuuawa kiongozi wao?
 
Nakumbuka enzi za Sadam alipiga mkwala Marekani kuwa siku wakiingia Bagdad itageuka kuwa kaburi kubwa la majeshi Yao. Cha ajabu waliingia Baghdad kama wanaenda kuoa.

Vita haitaki motivational speakers, inahutaji material na capacity building.
 
Unaanzisha jeshi la kigaidi ndani ya nchi and ukianza kupigwa unaacha jina lako unatumia jina la watu weka.. same na majinga kama Erdoğan eti wapalestina (Hamas na Islamic jihad) and Lebanese (Hezbollah).. ummah haudanganyiki nyingi wasupport magaidi.. Israel piga hao.

Mna hijack nchi za watu kama Houthi, Hezbollah na Hamas..

Iran na uturuki wana vikundi kadhaa wanavilalamikia mno.. alafu kwa nchi zingine anavisifia
 
Kama wa lebanon watakua pamoja na Hezbollah watashindwa ila wakikaa kama wakristo zamani wanashinda na Israel atawafanyia kazi ya kuwasafisha wapalestina wa lebanon
Hivi unajau kama 2006 kuna wakristo walikua ndani ya Hizbollah na wakapigana na wakashinda vita!??
Fuvu lako halifanyi kazi.
 
Hivi unajau kama 2006 kuna wakristo walikua ndani ya Hizbollah na wakapigana na wakashinda vita!??
Fuvu lako halifanyi kazi.
Nyie huwa ni waongo, 2006 hakuna vita ambavyo Hezibollah alishinda dhidi ya Israel, huwa mnasema hivi ili kujifariji, viozi ya
 
Back
Top Bottom