kiss daniel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 758
- 2,062
KabisaKataka kumfurahisha mwanamke na wakwe
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaKataka kumfurahisha mwanamke na wakwe
Ova
Gari kakutwa nayo mtu anadai aliuziwa na huyo massawe na alimpa milioni nane ili akimalizia milioni moja amkabidhi gari Mimi ni jirani na huyo massawe na mpaka polisi wanakuja kuchukua mkewe nilikuwepo.
Wewe unakataa gari halikuuzwa kivipi?
Swali la ziada kama alimpa hiyo milioni nane Ili akimaliza Moja amkabidhi gari, means Massawe alibaki na gari including the documents, sasa iweje tena polisi wakamate gari hiyo hiyo kwa mtu aliyeuziwa? Na isikutwe kwa Massawe?Gari kakutwa nayo mtu anadai aliuziwa na huyo massawe na alimpa milioni nane ili akimalizia milioni moja amkabidhi gari Mimi ni jirani na huyo massawe na mpaka polisi wanakuja kuchukua mkewe nilikuwepo.
Wewe unakataa gari halikuuzwa kivipi?
....Hii ni Taarifa ya Kisayansi au Kiitelinjesia ya Polisi ??...Polisi wanaendelea na uchunguzi kufahamu kama Mtu aitwae Vincent Peter Massawe wa DSM amejipoteza mwenyewe kwa makusudi ama la, ikiwa ni siku kadhaa toka Ndugu zake watangaze kupotea kwake.
Taarifa ya Polisi imesema Jeshi hilo lilipokea taarifa za kupotea kwa Vincent siku chache baada ya harusi yake ambapo imebainika amekuwa akidaiwa zaidi ya Tsh. milioni 65 na Watu tofauti, hivyo wanachunguza kama amepotea kweli au amejipoteza sababu ya madeni.
“Kufuatia taarifa hii inayosambazwa katika Mitandao ya Kijamil, Jeshi la Polisi lingependa kutoa ufafanuzi kulingana na ushahidi uliokusanywa kupitia kwa Watu mbalimbali na kupitia uchunguzi wa kisayansi uliokwisha fanyika hadi sasa, ni kweli taarifa za kupotea kwa Vincent Peter Massawe zilifikishwa Kituo cha Polisi Kigamboni Noveember 19,2024 na Mke wake” - Polisi.
“Upelelezi ulianza mara moja na kuthibitisha kuwa ni kweli alikuwa na harusi November 16,2024 na baada ya harusi alitafuta gari ya kuwarejesha Ndugu zake na Wageni wengine Moshi Mkoani Kilimanjaro, ushahidi mwingine uliopatikana ni kwamba wakati wa maandalizi aliazima gari ( T 642 EGU Toyota Ractis) kutoka kwa Jamaa yake ili imsaidie katika shughuli za harusi lakini hakulirejesha gari hiyo kwa Mwenyewe na badala yake November 18,2024 ambayo inadaiwa alikuwa anafuatiliwa na gari ambayo alikuwa anaitilia mashaka ndiyo siku hiyohiyo aliuza gari hiyo kwa kiasi cha shilingi milioni 9 na akalipwa milioni 8 ikabaki milioni moja “
“Taarifa iliyopo inaonyesha kuwa siku hiyohiyo alimtumia Mke wake kiasi cha fedha ili alipe madeni mengine yaliyotokana na harusi ikiwepo Coaster aliyokodisha kuwarejesha Wageni wake Moshi, gari hilo aina ya Toyota Ractis limefuatiliwa na limekamtwa, ushahidi mwingine unaonyesha huyu Vincent Peter Massawe pia anadaiwa na Watu wengine wawili mmoja kiasi cha milioni 53 na mwingine milioni 16, ukweli wa tukio hili utafahamika muda si mrefu kama amejipoteza au laah kulingana na mtiririko wa ushahidi ulivyo na hili linategemea hasa tukipata ukweli kutoka kwa Mke wake kwani inadaiwa anao ufahamu mkubwa wa jambo hili, mwisho Umma utajulishwa taarifa zilizo sahihi kuhusu Peter Masawe” ——— Polisi.
Ndio....Hii ni Taarifa ya Kisayansi au Kiitelinjesia ya Polisi ??...
Kwanza unauzaje gari bila documents!? Au siku hizi ukikodi gari unapewa na nyaraka zake zote!!?? Maswali ni mengi sana!!Hivi kuuza gari la kukodi ni sawa na kuuza baiskeli ya kukodi
Kwa hiyo huyo boya alinunua gari kama ananunua nyanya?Gari kakutwa nayo mtu anadai aliuziwa na huyo massawe na alimpa milioni nane ili akimalizia milioni moja amkabidhi gari Mimi ni jirani na huyo massawe na mpaka polisi wanakuja kuchukua mkewe nilikuwepo.
Wewe unakataa gari halikuuzwa kivipi?
Ila mnunuzi ndiyo anakua kwenye hatari kubwa sana ya kupoteza maana utaratibu wa manunuzi haukufuatwa ipasavyo!!Unauza tu mjini hakishindikani kitu
Ova
Mbona hii statement yako haielewki!? Gari kakutwa nayo mnunuzi ambae alikua akabidhiwe gari baada ya kumalizia M1 which is which!? Sasa kakabidhiwa vp bila kumalizia hiyo M1 anayo daiwa!!??Gari kakutwa nayo mtu anadai aliuziwa na huyo massawe na alimpa milioni nane ili akimalizia milioni moja amkabidhi gari Mimi ni jirani na huyo massawe na mpaka polisi wanakuja kuchukua mkewe nilikuwepo.
Wewe unakataa gari halikuuzwa kivipi?
Umesioma taarifa ya Polisi halafu ukarelate na mazingira halisi? Yaani application.Kupenda sifa kunawagharimu wengi sana, sioni haja ya kufanya jambo kwa gharama ambazo zipo nje ya uwezo wako.
Hakuna uuzaji Wala ununuzi wa gari Kwa muda mfupi namna hiyo!Ila mnunuzi ndiyo anakua kwenye hatari kubwa sana ya kupoteza maana utaratibu wa manunuzi haukufuatwa ipasavyo!!
Taarifa ya kilaghai....Hii ni Taarifa ya Kisayansi au Kiitelinjesia ya Polisi ??...
Polisi wa Tanzania kwa mujibu wa Simbachawene ni form four failures ambao kimsingi uwezo wao wa kupangilia hoja Ili zisiache maswali nyuma ni mdogo sana. Hata wale waosomi wazuri wakiingia kwenye mfumo wa kusimamiwa na wanasiasa wajinga wanaowaza madaraka tu, usomi wao hukaa pembeni na kuwaza Kwa ujinga huo huo wa wanasiasa! Amri na utekelezaji tu!Mbona hii statement yako haielewki!? Gari kakutwa nayo mnunuzi ambae alikua akabidhiwe gari baada ya kumalizia M1 which is which!? Sasa kakabidhiwa vp bila kumalizia hiyo M1 anayo daiwa!!??
Utaratibu wa kuuza gari upoje? Mbona hii nchi wananchi tunafanywa wajinga sana?
Ujinga wa polisi wanataka kuwaona na watu wote ni wajinga kama wao na wanasiasa wanaowaongoza!Labda kama unauza maharage sokoni!