Jeshi la Polisi: Aliyedaiwa Kutekwa aliuza gari alilokodi Ili kulipa madeni ya harusi.Uchunguzi unaendelea kubaini Alikopotelea

Heshima ya mchaga inazidi kushuka kuna yule mkibosho mwingine katapeliwa na mganga juzi juzi tuu, afu huyu mwingine naye ametaka mambo makubwa yamemzidi anaanza kujiteka
Naomba linki ya mangi wa kibosho aliyetapeliwa
 
Muliro alisema Sativa alitekwa na "washkaji" hadi leo ni miezi 6 wameshindwa kuwakamata hao washkaji.

Ila ajabu washkaji hao walielekea naye kituo cha polisi Oysterbay..

Serikali ya washkaji haiishiwi vituko.
 
Even the mad man can’t swallow this ………..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
why dude.

mauziano yanawezafanyika mnunuzi akaambiwa docs atapewa baadaye, ukizingatia kuwa bwana Massawe ni muuzaji magari wa siku nyingi. Inawezekana aliyeuziwa gari wameshawahi kufanya biashara wakati mwingine hivyo pakajengeka trust flani. Everything is possible!!!!!!!

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Yaani unamkodisha mtu gari na documents zote!
why dude.

mauziano yanawezafanyika mnunuzi akaambiwa docs atapewa baadaye, ukizingatia kuwa bwana Massawe ni muuzaji magari wa siku nyingi. Inawezekana aliyeuziwa gari wameshawahi kufanya biashara wakati mwingine hivyo pakajengeka trust flani. Everything is possible!!!!!!!

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Sasa Massawe ni Marehemu! Semeni tena amejiua
 
Hivi kuuza gari la kukodi ni sawa na kuuza baiskeli ya kukodi
Ivi unamjua mchaga wewe ama unamsikia jamaa Wana akili ya kazi mno. Elewa ndio kabila la Tanzania walioko nje wengi labda na wahaya
 
Kuna magari mengi hivi sana yana namba fake na namba hizo zingine ni za magari yanayoexist mitaani na mengi ya magari yenye namba fake ni mali ya serikali
 
Ivi unamjua mchaga wewe ama unamsikia jamaa Wana akili ya kazi mno. Elewa ndio kabila la Tanzania walioko nje wengi labda na wahaya
Haya kama u awajua wachaga polisi waseme amejiua ameuawa na ameuawa na nani! Damu za watu zitaililia hii nchi
 

Attachments

  • IMG-20241216-WA0008.jpg
    57.8 KB · Views: 3
Muliro alisema Sativa alitekwa na "washkaji" hadi leo ni miezi 6 wameshindwa kuwakamata hao washkaji.

Ila ajabu washkaji hao walielekea naye kituo cha polisi Oysterbay..

Serikali ya washkaji haiishiwi vituko.
Polis Tanzania ni kikundi Cha wahalifu wa kulinda dola
 
"Nilivyomwambia hivyo alikubali akinitajia namba za gari lililokuwa likimfuatilia lakini baada ya kufuatilia ikabainika gari alilolitaja limepaki eneo la Ilala," amesema Mawalla.
Hapa kuna utata, yeye alikuwa anafuatiliwa akiwa wapi?
Na aliyempigia simu aliliona hilo gari akiwa wapi?
Na huyo aliyeliona gari Ilala alijuaje kama gari hilo limetajwa kuhusika katika tukio?
 
Hapa kuna utata, yeye alikuwa anafuatiliwa akiwa wapi?
Na aliyempigia simu aliliona hilo gari akiwa wapi?
Na huyo aliyeliona gari Ilala alijuaje kama gari hilo limetajwa kuhusika katika tukio?
Bro mtu ameshakua marehemu sasa hi haitasaidia kitu tena
 
Alikodi na kuuza gari. Aliuza kitapeli bila kadi? Siamini mtu anaweza mkodisha mtu gari na kumpa kadi.
 
Sijapata vema muunganiko wa hii habari kuna vitu haviko sawa
 
Huyu keshapatikana akiwa marehemu tayari😭
 
mjjini shule
 
Kwamba alipokodi gari walimpa na kadi ya gari kabisa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…