Yaani. Anamdhalilisha sana tena sana. Mtu anacheat mpaka na kuzaa nje anazaa. Mama Liliane si amuache tu ?Tena hata uenyekiti wa chama ni kwa mgongo wa Liliane Mtei Mbowe. ***** ningekuwa Liliane nilishapiga chini hili lilevi zipu wazi.
Matusi hayo, sitegemei uandike hivyo. Mtu akimsema baba yako kuwa ni DJ utafurahi? Jaribu kukua kiakili, jibu hoja bila udhalilishaji!
Lisu pia alikataa CCTV zisifungwe kwake tukio lilipotokea akawa anadai za jirani yake ndio ziangaliwe sababu kwake zilikuwa hazipo.Hufungi kwako unakataa usifungiwe kwako iwe na serikali au kujifungia mwenyewe ?tukio likitokea kwako unakomalia za jirani!!! Kwa nini usifunge zako hata binafsi ? Mbona madishi ya DSTV au Azam mtu unajifungia mwenyewe hutegemei za jirani?
Unadhani walishindwa kumuuguza kimya kimya bila mtu kujua kama kuna issues kama hizo? ? Nani angelijua hayo ya ulevi?Wachaneni na ripoti ya polisi, ambayo haitampa hako Mbowe, Chadema kama chama kikubwa, watueleze:
1. Walinzi wake walikuwa wapi. Kiongozi No.1, wa chama tena anayetafutwa na utawala, iki wamkomoe na pia mna mashaka wanaweza kumdhuru, inakuwaje anatembea bila ulinzi. Na hali mnajua yaliyompata Lissu
2. Nyumba ina cctv camera za chama, mbona hamuziweki picha au clip wazi, mkawa aibisha hawa polisi. Au kuna kitu cha ukweli mnacho kificha...
Kwani hajui uongo na unafiki wa jeshi LA Polisi LA TZ?Kaimu balozi wa Marekani anasemaje? Aibuu.
Apana hao wamekosea mashahidi wanao wengi tuu, chadema kama kawaida yao, mashahidi wao wanatumia satelight ya chama na wanaona kila kitu hapa TZ, kwenye hili hata Lissu huko aliko aliona tokea mpango unapangwa , waliokuwa wanapanga na walioyatenda.Duh...!.
P
Samahani mkuu Mimi si muumini wa matusi,lakini mtu akiitwa DJ ni tusi,si hiyo ilikuwa kazi ya mbowe pale Billcannas kabla ya kugeukia siasa?Matusi hayo, sitegemei uandike hivyo. Mtu akimsema baba yako kuwa ni DJ utafurahi? Jaribu kukua kiakili, jibu hoja bila udhalilishaji!
Uchunguzi ulishafanywa na spika,kwa hiyo taarifa imebandikwa kama ilivyo.Mkuu viongozi wetu wanapoanzisha uzushi wenye nia ya kuchafua nchi yetu wawe wanawaandaa wafuasi wao kusikia kile ambacho hawakukitegemea
Kama hamuamini uchunguzi wa polisi mlitaka nani afanye huu uchunguzi,juzi tu kamanda mloto alipotoa maoni yake juu ya maigizo ya DJ mbowe mlishangilia
Leo hii lipoti imekuja tofauti na matumaini yenu mnaanza kulalama,poleni sana
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
He was having a music entertainment investment! He was not himself engaged in the dancing of music!Samahani mkuu Mimi si muumini wa matusi,lakini mtu akiitwa DJ ni tusi,si hiyo ilikuwa kazi ya mbowe pale Billcannas kabla ya kugeukia siasa?
Sasa hivi Mimi ni mwalimu,inamaana nikijiunga na siasa na kuwa mbunge watu wakiniita mwalimu ni tusi?
Udj na ualimu havina tofauti maana zote ni kazi za watu,na kuna madj wanapiga mpunga mrefu kuliko hata taaluma zingine.
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
ngoja nimripotiSijapenda hii lugha yako lakini ajabu nimekupa like. Inawezekana moyo unayakataa maneno yako lakini akili inakubali na inaniambia umempa kweli yake.
Tuliwaonya sana hamsikii! Mnatumika na kina Mbowe!Chadema kwa maduddu kama haya mnaingia uchaguzi kufanya nini? mtu kama Moroto, kwanini asikimbie na sanduku la kura, kwanini asizuie mawakala wenu kutokanyaga kwenye kituo cha polisi, kwanini asiwatishe wanaoonekana wataipigia Chadema and the like! Mwanahabari Huru Erythrocyte
Mtalia na kusaga menoKesi ya ngedere amepewa nyani!!