Jeshi la Polisi: Hakuna ushahidi kuwa Freeman Mbowe alishambuliwa. Alikuwa ametoka kwa Joyce Mukya. Alikuwa amelewa chakari

Haya Sasa mambo wazi kabisa ni aibu hii kwa chadema kusema uongo sijui wataficha wapi sura zao chadema [emoji23][emoji1787][emoji2960]
Haya yanayosemwa na polisi ndiyo yaliyosemwa bungeni tena kwa kejeri sana.
Mlitazamia polisi watasema tofauti na ndugai na wabunge wake wa ccm?
 
Mwenyekiti wenu alijifanya mjanja kwenda kahosipitali ambako aliamini hakawezi kupima hata pombe. Unaacha kumpa taarifa mwanao tena wa kiume unaondoka kwenda kwa kimada mnapanga uongo wenu ndipo mnaenda hosipitali ya uchochoroni.

Kina kitu hapa hata kama makamanda hamna imani na jeshi la polisi.
 
You are not objective, ushindwe kuficha? Kuanguka ni kosa? Kulea ni kosa? Mbona unanipeleka kuanza kukufikiria kinyume na nilivyokuwa nakufikiria? Kosa gani alifanya? Mtu mwenye pesa ashindwe kuficha ulevi? ashindwe kuficha kuanguka/kuvunjika?
Kufich kuwa aliumia kiajali, na kuzingizia kuwa kapigwa na wasiojulikana. Hao wasiojulikan jee walivaa face mask, hawakuziona sura zao. As a leader he should always thrive in honesty. Asante
 
Adhabu ya mtu anayeisumbua serikali haijawahi kuwa ndogo kiasi hicho duniani kote!
Cc: Khashongi.

Huyo Kaimu balozi kaushushia sana hadhi ubalozi wa Marekani toka ajiingize kwenye siasa za nchi hii.
 

" I said it" kwamba Mbowe asingekimbilia kupata huduma hospitali ya binafsi pasipo kupitia polisi na/au kuutangazia umma kuwa ameshambuliwa.

Je, Bulaya, Msigwa na Mnyika, walioutangazia umma kuwa BOSS wao kashambuliwa kwa sababu ya kisiasa, wataweza tena kusimama mbele ya umma kuomba ridhaa yao, wakati inadhihirika wazi kuwa ni waongo na wanafiki?

Inawezekana kabisa kuwa hata majeraha hayo ni ya bandia kwa matumizi mabaya ya fedha za chama kutibiwa hospitali binafsi na kukodisha ndege.
 
Hii ni aibu kubwa sana kwa Mwenyekiti wa Chadema kuwa mlevi na kutaka kupotosha ukweli. Aibu hii wataificha vipi, Chadema wacheni usanii. Aibu kwa USA pamoja na UK kushabikia ujinga.
 
Basi endelea kutoamini hivyohivyo.

Yani hata mwenye tukio humwamini basi kaa hivyohivyo
 
Huu mji mzito!
Lakini kama alianguka kwa ulevi akavunjika mguu si majirani wangemskia pia.
Hawa mashaidi walikua wapi kwani?😬😬

Nawaza tu.
 
Mwambie mbowe aacue ulevi na maigizo oktoba inakaribia
 
Walevi ndio tabia zao,hatushangai.
 

Hapa umeweka kisu kwenye mfupa. Hizo CCTV cameras haziongelewi kabisa, na ni kwakuwa hizo cctv zinaonyesha taarifa zitakazoleta utata mkubwa.
 
Unasema kweli kabisa. Mchezo mchafu unachezwa kichafu vilevile. Kama wanataka kuhusisha Mbowe kuzaa na Mkuya na uongo wao, waulizwe mapenzi ya hiari ni dhambi kama kumbaka shemeji yaani Dada wa mama J hadi kumzalisha?
Tutaonana wabaya humu!
Hahqhahah.. Hizo zako ninzilipendwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…