Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Mbona ndugu yangu umekuwa mpole baada ya haya majibu? Nakutakia usiku mwema.Kwa ajili ya polisi wa Tanzania ! 😆😆😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ndugu yangu umekuwa mpole baada ya haya majibu? Nakutakia usiku mwema.Kwa ajili ya polisi wa Tanzania ! 😆😆😆
Wewe usipokuwa shoga basi kuna walakiniWamenuna hao [emoji1787]
Kwa kweli ripoti inaonyesha mapungufu makubwa. Kama ndio repoti ya uchunguzi inaandikwa hivi basi tuna safari ndefu aisee
Si nyumba ndogo zitaonekana?Huyu jamaa bogus sana.Lakini mtu aliyethubutu kuwa na the likes of Bibilicanas,tulitegemea aweje?This was surely expected.Wajinga ni wale wanaotegemea kwamba he would be different.Mbowe alikataa cctv camera nyumbani kwake
Umesahau pia kuwa kuna vipimo vya hospitali km X-Ray za kuthibitisha aina na kiwango cha majeraha alityopata Mbowe, Kamanda Mkuu, au navyo vitafichwa?Hapa tu ndio penye kila kitu. Sasa nazidi kupata shaka na huu ushahidi wa kuzunguka wakati kuna CCTV Cameras, na Bado hazitumiki kwenye ushahidi wa tukio hili!
Ni tabia za wanume wote duniani, , na hapa hatujamlaumu Mbowe kuwa na Nkya. Tunalaumu kutunga uongo dunia nzima ikishuhudiaIla mbaya sana kunyang'anyana na kina Ally Kiba, Hasheem Thabit nk. kwa ubabe wa kutumia ofisi na kugawa cheo.
Jibu hojaUlitegemea ripoti idanganye Kama chadema kilivyodanganya?
Unafikiri isingejuliakana kwa mkewe halali?Mjibu swali lake kwanza, angeshindwa kujitibia kimya kimya?
Mbowe alikataa CCTV camera nyumbani kwake
Si nyumba ndogo zitaonekana?Huyu jamaa bogus sana.Lakini mtu aliyethubutu kuwa na the likes of Bibilicanas,tulitegemea aweje?This was surely expected.Wajinga ni wale wanaotegemea kwamba he would be different.
Makamanda tumegomea huo upuuzi sasa!Mwenyekiti wenu alijifanya mjanja kwenda kahosipitali ambako aliamini hakawezi kupima hata pombe. Unaacha kumpa taarifa mwanao tena wa kiume unaondoka kwenda kwa kimada mnapanga uongo wenu ndipo mnaenda hosipitali ya uchochoroni.
Kina kitu hapa hata kama makamanda hamna imani na jeshi la polisi.
Hoja gani? Ripoti imetoka kila kitu kiko waziJibu hoja
Kijana wabunge wanajuana usifikiri Mbowe anakaa anganiHaya yanayosemwa na polisi ndiyo yaliyosemwa bungeni tena kwa kejeri sana.
Mlitazamia polisi watasema tofauti na ndugai na wabunge wake wa ccm?