Tetesi: Jeshi la Polisi kuzuia kikao cha baraza kuu la CUF

Tetesi: Jeshi la Polisi kuzuia kikao cha baraza kuu la CUF

Status
Not open for further replies.

BAK

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2007
Posts
124,790
Reaction score
288,165
BREAKING NEWS USIKU HUU

Tuna taarifa rasmi kuwa, Jeshi la Polisi, kupitia kwa maelekezo kutoka JUU, limeelekezwa kuzingira Makao Makuu ya CUF, Vuga - Zanzibar. Ili kumzuia Katibu Mkuu wa CUF na Wajumbe halali wa Kikao Cha Baraza Kuu wasitekeleze wajibu wao.

Dola ya CCM inafahamu kuwa Kikao halali cha Baraza Kuu kikikutana kitaweka misimamo dhidi ya njama za DOLA na LIPUMBA na hivyo baadhi ya mabaya wanayotaka kuendelea kuitendea CUF kukwama.

Chanzo cha kuaminika kutoka Jeshi la Polisi kimeeleza kwamba Lipumba alielekezwa afanye mkutano na waandishi wa habari na atoe wito kwa vyombo vya dola vizuie Baraza Kuu hilo ili Polisi waweze kutekeleza hilo.

Hili litatekelezwa na Polisi kwa maagizo kutoka JUU pasina kujali kwamba kikao hicho kimeitishwa kwa kufuata masharti ya Katiba ya CUF ya mwaka 1992 (Toleo la 2014), kifungu cha 80 (1), ambacho kinaipa uwezo Kamati ya Utendaji ya Taifa ya Chama kuitisha kikao cha dharura cha Baraza Kuu la Uongozi la Taifa.

Kutoka Uongozi wa CUF

=======

Kikao kimefanyika vizuri bila tatizo, habari zaidi soma=>Maazimio ya baraza kuu la uongozi la Taifa la CUF kuhusiana na hujuma za dola dhidi ya chama
 
BREAKING NEWS USIKU HUU

Tuna taarifa rasmi kuwa, Jeshi la Polisi, kupitia kwa maelekezo kutoka JUU, limeelekezwa kuzingira Makao Makuu ya CUF, Vuga - Zanzibar. Ili kumzuia Katibu Mkuu wa CUF na Wajumbe halali wa Kikao Cha Baraza Kuu wasitekeleze wajibu wao.

Dola ya CCM inafahamu kuwa Kikao halali cha Baraza Kuu kikikutana kitaweka misimamo dhidi ya njama za DOLA na LIPUMBA na hivyo baadhi ya mabaya wanayotaka kuendelea kuitendea CUF kukwama.

Chanzo cha kuaminika kutoka Jeshi la Polisi kimeeleza kwamba Lipumba alielekezwa afanye mkutano na waandishi wa habari na atoe wito kwa vyombo vya dola vizuie Baraza Kuu hilo ili Polisi waweze kutekeleza hilo.

Hili litatekelezwa na Polisi kwa maagizo kutoka JUU pasina kujali kwamba kikao hicho kimeitishwa kwa kufuata masharti ya Katiba ya CUF ya mwaka 1992 (Toleo la 2014), kifungu cha 80 (1), ambacho kinaipa uwezo Kamati ya Utendaji ya Taifa ya Chama kuitisha kikao cha dharura cha Baraza Kuu la Uongozi la Taifa.

Kutoka Uongozi wa CUF
Nadhani CUF watafute sehemu nyengine ya kufanyia kikao chao.... Baraza kuu ni watu na si jengo!
 
Tuendelee kumuombea mtukufu aliyetumwa na Mungu kuiongoza nchi ya Wadanganyika . Lakini mpaka sasa sijajua ni Mungu gani atakayepokea maombi ya Mtu ambaye anawadhulumu raia wengine wa nchi yake? Ni Mungu gani ambaye atakubali dua za mtesaji wa viumbe vyake ? Ni Mungu gani atakayekubali dua za Mtu mwenye kiburi ? Ni Mungu gani atakayekubali dua za Mtu anayedanganya hadharani ? Ni Mungu atakayekubali dua za mtukufu aliyenyamaza kimya walemavu wakipigwa na kuzalilishwa na askari wake? Ni Mungu atakayekubali dua za Mtu ambaye anayejichukia mwenyewe? ( sipendi wanasiasa) Danganyika ni nchi ya demokrasia (wanasiasa huchuana ili kuongoza).Ewe Mungu uliye juu tuadhibie wenye kujifanya ninwatetezi wetu kumbe ni wanafiki, ewe Mungu uliye juu mpe maradhi makubwa zaidi ya Yule komando uliyempa upofu upande wa pili marashi, ewe mola tutesee huyu hapa duniani na kesho mbinguni mwenye kutumia jina lako na kunyanyasa watu kisa yeye ni mfalme kwa sasa.
Tuliwaambia athari ya kubadili gia angani ni kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BREAKING NEWS USIKU HUU

Tuna taarifa rasmi kuwa, Jeshi la Polisi, kupitia kwa maelekezo kutoka JUU, limeelekezwa kuzingira Makao Makuu ya CUF, Vuga - Zanzibar. Ili kumzuia Katibu Mkuu wa CUF na Wajumbe halali wa Kikao Cha Baraza Kuu wasitekeleze wajibu wao.

Dola ya CCM inafahamu kuwa Kikao halali cha Baraza Kuu kikikutana kitaweka misimamo dhidi ya njama za DOLA na LIPUMBA na hivyo baadhi ya mabaya wanayotaka kuendelea kuitendea CUF kukwama.

Chanzo cha kuaminika kutoka Jeshi la Polisi kimeeleza kwamba Lipumba alielekezwa afanye mkutano na waandishi wa habari na atoe wito kwa vyombo vya dola vizuie Baraza Kuu hilo ili Polisi waweze kutekeleza hilo.

Hili litatekelezwa na Polisi kwa maagizo kutoka JUU pasina kujali kwamba kikao hicho kimeitishwa kwa kufuata masharti ya Katiba ya CUF ya mwaka 1992 (Toleo la 2014), kifungu cha 80 (1), ambacho kinaipa uwezo Kamati ya Utendaji ya Taifa ya Chama kuitisha kikao cha dharura cha Baraza Kuu la Uongozi la Taifa.

Kutoka Uongozi wa CUF
CCM inalazimisha vita kwa udi na uvumba .
 
Unazidi kujichimbia zaidi ardhini katika juhudi zake za kuiua mihimili mingine miwili ambayo ina umuhimu mkubwa katika nchi yeyote ile duniani ambayo inaheshimu utawala wa sheria, sheria za nchi bila kuisahau katiba ya nchi.
Hapa naona muhimili mmoja tayar ushatitia (bye bye bunge) huku tukisubir mahakama nayo ichukuliwe na mwewe
 
  • Thanks
Reactions: SDG
BREAKING NEWS USIKU HUU

Tuna taarifa rasmi kuwa, Jeshi la Polisi, kupitia kwa maelekezo kutoka JUU, limeelekezwa kuzingira Makao Makuu ya CUF, Vuga - Zanzibar. Ili kumzuia Katibu Mkuu wa CUF na Wajumbe halali wa Kikao Cha Baraza Kuu wasitekeleze wajibu wao.

Dola ya CCM inafahamu kuwa Kikao halali cha Baraza Kuu kikikutana kitaweka misimamo dhidi ya njama za DOLA na LIPUMBA na hivyo baadhi ya mabaya wanayotaka kuendelea kuitendea CUF kukwama.

Chanzo cha kuaminika kutoka Jeshi la Polisi kimeeleza kwamba Lipumba alielekezwa afanye mkutano na waandishi wa habari na atoe wito kwa vyombo vya dola vizuie Baraza Kuu hilo ili Polisi waweze kutekeleza hilo.

Hili litatekelezwa na Polisi kwa maagizo kutoka JUU pasina kujali kwamba kikao hicho kimeitishwa kwa kufuata masharti ya Katiba ya CUF ya mwaka 1992 (Toleo la 2014), kifungu cha 80 (1), ambacho kinaipa uwezo Kamati ya Utendaji ya Taifa ya Chama kuitisha kikao cha dharura cha Baraza Kuu la Uongozi la Taifa.

Kutoka Uongozi wa CUF

Ni dhahiri serikali ya ccm imeamua kuua upinzani na kulazimisha kufanay itakacho kwa maslahi ya watu watchache kwa kutumia mitutu. Huu ni ubabe ubabe.

Wakati CCM wakikutana ndani na nje kwa uhuru bila woga, na wanachokitafanya ni kampeni dhidi ya umoja wa nchi na matusi kwa Watanzania as if nchi ni yao peke yao, vyama vya upinzani ambavvyo ndivyo vina Watanzania wengi kuliko CCM, haviruhusiwi kufanya mikutano huru ya hadhara. Kwa nyongeza, hata mikutano ya ndani inazuliwa, na la ajabu, hata ya viongozi tu peke yao marufuku isipokuwa ile inayofanywa na vyama vyenye ubia na ccm kama ccm lipumba.

Wapinzani halisi ninaomba muende mbele zaidi. Acheni kulumbana na kufukuzana na maccm ambao kwao taifa si kitu isipokuwa maslahi yao. Hamwezi kuendelea kupigania taifa ikiwa mnaambiwa mikikutana mtauawa. Na mtauawa kweli. Kama si vitisho vya kuuliwa, bila shaka pasingekuwa na sababu ya kuwaweka kwenye targeti za mitutu ya bunduki. Bado ukombozi upo na hapo ndipo ccm itakufa kifo cha moja kwa moja kwa kuwa hakutakuwa na mtu wa kuwakubali kwa lolote. wakipoteza wameondoka na Tanzania itakuwa huru. Na hilo wanalijua.

USHAURI WANGU. FANYENI E-CONFERENCES, MUAZIMIE KILA MKITAKACHO NA HAKUNA BUNDUKI ITAPEKUA KILA NYUMBA KUANGALIA NANI YUKO KWENYE MKUTANO NA NANI. UKAWA MNA IT WAZURI, WATUMIENI HAO MTENGENEZE HII NAMNA YA KUONDOKANA NA MAKELELE YA KIBABE NA VITISHO VYA BUNDUKI.

MKAKATI HUU UFANYENI KATIKA NGAZI ZOTE. TECHNOLOJIA IKO JUU SANA KWA SASA KUZUIA WATU WASIKUTANE. WASILIANENI KWA NJIA YA MITANDAO. KUTANENI YA WANACHAMA WENU KWA NJIA HII. KUBALIANENI MIKAKATI KWA NJIA HII NA FANYENI SENSITIZATION NA RECRUITMENT YA WANACHAMA WAPYA, NA MPASHANE HABARI KWA NJIA HII.

KWA KUWA HAMRUSIWI KUKUTANA KWA WINGI, WALE WANAOBAHATIKA KUPATA AUDIENCE NA WATU, WAWASILISHE HOJA ZENU ZA NGUVU.

FANYENI TATHMINI YA MAMBO YENU KWA MTANDANO. HADI CCM WAIGE HAPA, WATAKUWA WALISHAPOTEZA UWEOZ WA KUONA.
 
Kinachoniumiza sana, kunisikitisha na kunishangaza ni kusikia miezi/miaka ya nyuma hawa akina Kikwete na Mkapa kwenda nchi za jirani kwenye bara letu kutafuta usuluhishi katika nchi hizo ili kusimamisha machafuko ambayo katika baadhi ya nchi yalisababisha umwagaji wa damu, lakini hapa kwetu wote hawa pamoja na SAS, Warioba, Mwinyi, Msekwa wameuchuna kimyaaa huku wakiona hali ya mshikamano inazidi kupungua na hivyo kutishia usalama wa nchi yetu. Viongozi wa dini nao kimyaaaa hata kukemea kinachoendelea nchini wameshindwa. Wahenga walisema mdharau mwiba.....

Na nakuhakikishia kwamba hii nchi inachokitafuta itakipata tu , wala si mbali .
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom