Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikiwa ni hivyo itakuwa tupo msimamo mmoja.japo kwa sasa naamini Lowassa hakufanya ufisadi . Kelele za wakati wa kampeni zilizopigwa angelikuwa yupo ndani na kina sings singa.Mie sikuwahi na wala sitamsafisha Lowassa popote pale. Usibadili somo husika.
Ofisi kuu na makao makuu ya chamaHead Office na Makao Makuu tofauti yake nini mkuu?
Ikiwa ni hivyo itakuwa tupo msimamo mmoja.japo kwa sasa naamini Lowassa hakufanya ufisadi . Kelele za wakati wa kampeni zilizopigwa angelikuwa yupo ndani na kina sings singa.
Ok sawa. Kuna tetesi za kikao kule Zanzibar. Ni nani kakiitisha
KATIBA ZA VYAMA KWA MAAMUZI HARARI YANARUHUSU E-BUSINESS, Yaani mikutano ya kimtandao!