Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikibidi watumie hata mitandao kufanya mkutano wao kama tunavyoendelea na mkutano wetu hapa Jamiiiforums na zuio toka juu halijatuathiri.Nadhani CUF watafute sehemu nyengine ya kufanyia kikao chao.... Baraza kuu ni watu na si jengo!
Hapa naona muhimili mmoja tayar ushatitia (bye bye bunge) huku tukusubir mahakama nayo ichukuliwe na mwewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sasa JK ni msuluhish wa Libya SagaKinachoniumiza sana, kunisikitisha na kunishangaza ni kusikia miezi/miaka ya nyuma hawa akina Kikwete na Mkapa kwenda nchi za jirani kwenye bara letu kutafuta usuluhishi katika nchi hizo ili kusimamisha machafuko ambayo katika baadhi ya nchi yalisababisha umwagaji wa damu, lakini hapa kwetu wote hawa pamoja na SAS, Warioba, Mwinyi, Msekwa wameuchuna kimyaaa huku wakiona hali ya mshikamano inazidi kupungua na hivyo kutishia usalama wa nchi yetu. Viongozi wa dini nao kimyaaaa hata kukemea kinachoendelea nchini wameshindwa. Wahenga walisema mdharau mwiba.....
Unasuruhisha watu waliotayari kusuruhishwa, mtu asiyekubali suruhu kama maalimu unaanzaje? Mara ngapi ameshauriwa suruhu na michakato kuanza haipiti kitambo anakimbilia Dar kutangaza hataki suruhu? Wabobezi wa siasa wamemshauri kusuruhishwa na Mwenyekiti kwa afya ya CUF anakana katukatu hakai na msaliti. Lipumba anauliza, "Leo maalimu anakaa Meza moja na Sumaye aliyetekeleza mauaji ya wana CUF 60 ktk maandamano ya 2001 Mkapa na Maalim wakiwa ugaibuni lakini katu hataki kukaa meza moja na Mimi niliyekuwa front line?"Hata sasa JK ni msuluhish wa Libya Saga
May Allah bless Me and You
Umeme utazimwa siku hiyo! Au mitandao itaamrishwa kuzima networkNi dhahiri serikali ya ccm imeamua kuua upinzani na kulazimisha kufanay itakacho kwa maslahi ya watu watchache kwa kutumia mitutu. Huu ni ubabe ubabe.
Wakati CCM wakikutana ndani na nje kwa uhuru bila woga, na wanachokitafanya ni kampeni dhidi ya umoja wa nchi na matusi kwa Watanzania as if nchi ni yao peke yao, vyama vya upinzani ambavvyo ndivyo vina Watanzania wengi kuliko CCM, haviruhusiwi kufanya mikutano huru ya hadhara. Kwa nyongeza, hata mikutano ya ndani inazuliwa, na la ajabu, hata ya viongozi tu peke yao marufuku isipokuwa ile inayofanywa na vyama vyenye ubia na ccm kama ccm lipumba.
Wapinzani halisi ninaomba muende mbele zaidi. Acheni kulumbana na kufukuzana na maccm ambao kwao taifa si kitu isipokuwa maslahi yao. Hamwezi kuendelea kupigania taifa ikiwa mnaambiwa mikikutana mtauawa. Na mtauawa kweli. Kama si vitisho vya kuuliwa, bila shaka pasingekuwa na sababu ya kuwaweka kwenye targeti za mitutu ya bunduki. Bado ukombozi upo na hapo ndipo ccm itakufa kifo cha moja kwa moja kwa kuwa hakutakuwa na mtu wa kuwakubali kwa lolote. wakipoteza wameondoka na Tanzania itakuwa huru. Na hilo wanalijua.
USHAURI WANGU. FANYENI E-CONFERENCES, MUAZIMIE KILA MKITAKACHO NA HAKUNA BUNDUKI ITAPEKUA KILA NYUMBA KUANGALIA NANI YUKO KWENYE MKUTANO NA NANI. UKAWA MNA IT WAZURI, WATUMIENI HAO MTENGENEZE HII NAMNA YA KUONDOKANA NA MAKELELE YA KIBABE NA VITISHO VYA BUNDUKI.
MKAKATI HUU UFANYENI KATIKA NGAZI ZOTE. TECHNOLOJIA IKO JUU SANA KWA SASA KUZUIA WATU WASIKUTANE. WASILIANENI KWA NJIA YA MITANDAO. KUTANENI YA WANACHAMA WENU KWA NJIA HII. KUBALIANENI MIKAKATI KWA NJIA HII NA FANYENI SENSITIZATION NA RECRUITMENT YA WANACHAMA WAPYA, NA MPASHANE HABARI KWA NJIA HII.
KWA KUWA HAMRUSIWI KUKUTANA KWA WINGI, WALE WANAOBAHATIKA KUPATA AUDIENCE NA WATU, WAWASILISHE HOJA ZENU ZA NGUVU.
FANYENI TATHMINI YA MAMBO YENU KWA MTANDANO. HADI CCM WAIGE HAPA, WATAKUWA WALISHAPOTEZA UWEOZ WA KUONA.
Leo hii unamwambia Seif hatak suluhu,kwani chanzo cha yote ni nini?Unasuruhisha watu waliotayari kusuruhishwa, mtu asiyekubali suruhu kama maalimu unaanzaje? Mara ngapi ameshauriwa suruhu na michakato kuanza haipiti kitambo anakimbilia Dar kutangaza hataki suruhu? Wabobezi wa siasa wamemshauri kusuruhishwa na Mwenyekiti kwa afya ya CUF anakana katukatu hakai na msaliti. Lipumba anauliza, "Leo maalimu anakaa Meza moja na Sumaye aliyetekeleza mauaji ya wana CUF 60 ktk maandamano ya 2001 Mkapa na Maalim wakiwa ugaibuni lakini katu hataki kukaa meza moja na Mimi niliyekuwa front line?"
CUF, tulieni msumari wa moto uwaingie, chama kiliporwa kwa James Mapalala, tulieni chama kirudi tabora . huko pemba anzisheni chama chenuCCM inalazimisha vita kwa udi na uvumba .
Na Lipumba anakaa meza moja na JPM anaewaita wapinzani VILAZA na hatak wafanye mikutano[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unasuruhisha watu waliotayari kusuruhishwa, mtu asiyekubali suruhu kama maalimu unaanzaje? Mara ngapi ameshauriwa suruhu na michakato kuanza haipiti kitambo anakimbilia Dar kutangaza hataki suruhu? Wabobezi wa siasa wamemshauri kusuruhishwa na Mwenyekiti kwa afya ya CUF anakana katukatu hakai na msaliti. Lipumba anauliza, "Leo maalimu anakaa Meza moja na Sumaye aliyetekeleza mauaji ya wana CUF 60 ktk maandamano ya 2001 Mkapa na Maalim wakiwa ugaibuni lakini katu hataki kukaa meza moja na Mimi niliyekuwa front line?"
Chanzo cha yote haya ni udikteta wa Maalim kuzuia maombi ya baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa Ubungo Plaza kutaka Lipumba ajieleze mbele ya wajumbe ili yatoke maamuzi sahihi na ya pamoja. Haya yote yasingetokea. Fitina na mabavu Siki zote hayajengiLeo hii unamwambia Seif hatak suluhu,kwani chanzo cha yote ni nini?
Haya sasa CUF imeshasplit,na kuna kila dalilk 2020 ikapoteza sana Udiwani na Ubunge kwa spidi kali sana
May Allah bless Me and You
Na hawaoni madhara ya misuguano isiyo na afya wataitwaje?Na Lipumba anakaa meza moja na JPM anaewaita wapinzani VILAZA na hatak wafanye mikutano[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
May Allah bless Me and You
++++++++++++++++++++++++Umeme utazimwa siku hiyo! Au mitandao itaamrishwa kuzima network