Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaShow Me your Friends, I will tell You Who You Are..
Marafiki wa Mkulu wanajieleza dhahiri possibly ame adopt hzi techniques kwao
Asieeee unasikitisha sana, kumbuka kuna kesho lkn na kuna mungu kama unaamini munguAliowataja wanaohusika na madawa kwanini hamfikirii wanaweza kuhusika? Na labda wameenda kufanyia kazi zao huko walipo, kama kawaida hadi watakapojitokeza kwa mtu kusema kawaona au kaona mienendo ya ajabu mahala. Hapo ndipo polisi wataitwa kwenda kuwakuta walipo.
Suala hili limekuzwa sanaaaaaaaaaa kuliko lilivyotokea. Kila mtu ni ya kusikia nkuturn kuwa mshauri/mpelelezi/kuandika uongo.
Mtu wa kutenda mabaya haswaaa hawezi kuwachukua kihivyo, na mtaani huko CCTV zipo?
Hadi sasa hakuna anayetokeza kusema ilikua hivo au vile, story nyingi na uongo juu. Nani ataamini ipi ya kweli, muache kuchochea mambo. Subirini khaaaaa
Sumu imeshakuenea pole sana kwa yaliyokupata.Aliowataja wanaohusika na madawa kwanini hamfikirii wanaweza kuhusika? Na labda wameenda kufanyia kazi zao huko walipo, kama kawaida hadi watakapojitokeza kwa mtu kusema kawaona au kaona mienendo ya ajabu mahala. Hapo ndipo polisi wataitwa kwenda kuwakuta walipo.
Suala hili limekuzwa sanaaaaaaaaaa kuliko lilivyotokea. Kila mtu ni ya kusikia nkuturn kuwa mshauri/mpelelezi/kuandika uongo.
Mtu wa kutenda mabaya haswaaa hawezi kuwachukua kihivyo, na mtaani huko CCTV zipo?
Hadi sasa hakuna anayetokeza kusema ilikua hivo au vile, story nyingi na uongo juu. Nani ataamini ipi ya kweli, muache kuchochea mambo. Subirini khaaaaa
Not only low... but very cheap way of reasoning..Aliowataja wanaohusika na madawa kwanini hamfikirii wanaweza kuhusika? Na labda wameenda kufanyia kazi zao huko walipo, kama kawaida hadi watakapojitokeza kwa mtu kusema kawaona au kaona mienendo ya ajabu mahala. Hapo ndipo polisi wataitwa kwenda kuwakuta walipo.
Suala hili limekuzwa sanaaaaaaaaaa kuliko lilivyotokea. Kila mtu ni ya kusikia nkuturn kuwa mshauri/mpelelezi/kuandika uongo.
Mtu wa kutenda mabaya haswaaa hawezi kuwachukua kihivyo, na mtaani huko CCTV zipo?
Hadi sasa hakuna anayetokeza kusema ilikua hivo au vile, story nyingi na uongo juu. Nani ataamini ipi ya kweli, muache kuchochea mambo. Subirini khaaaaa
Not only low... but very cheap way of reasoning..
Pole endelea kutumika.
Sumu imeshakuenea pole sana kwa yaliyokupata.
Asieeee unasikitisha sana, kumbuka kuna kesho lkn na kuna mungu kama unaamini mungu
Inasikitisha sana... kwa hali ilivyo hata hao watekaji hawatawaachia kwasababu watu wata question zaidi tofauti na ilivyokua kwa Nay wa mitego. what happened kwa Ben Saanane ndio kinachoenda kuwatokea hao wenzetu. INATISHA JAMANIII... nimemsikiliza mke wake uwiii hadi tumbo limenikata
Anaandika Mzalendo Bollen NgettiInatisha sana. Wanatudanganya Watanzania kwamba hawahusiki kumbe ni wao. Kelele za Watanzania nchi nzima zimewaogopesha hawa vinginevyo hawa nao wangepotea kabisa. Yule mwigulu anajibaraguza mitandaoni jana eti naye anashangazwa na kutekwa kwao kumbe yuko ndani ya himaya yake. Wamrudishe Bensaanane akiwa hai na mzima wa afya.
Makonda ametimiza ahadi
Wasanii walianzishe la Ben Saanane kama Roma maana Chadema bado wanaendelea kunywa sprite bashite! Hii nchi ina mazingaombwe kweli yaani bashite sirro wanatufanya Watanzania wote hatunazo na upinzani wamekaaa kimya nashindwa kuamini!Inatisha sana. Wanatudanganya Watanzania kwamba hawahusiki kumbe ni wao. Kelele za Watanzania nchi nzima zimewaogopesha hawa vinginevyo hawa nao wangepotea kabisa. Yule mwigulu anajibaraguza mitandaoni jana eti naye anashangazwa na kutekwa kwao kumbe yuko ndani ya himaya yake. Wamrudishe Bensaanane akiwa hai na mzima wa afya.
Wasanii walianzishe la Ben Saanane kama Roma maana Chadema bado wanaendelea kunywa sprite bashite! Hii nchi ina mazingaombwe kweli yaani bashite sirro wanatufanya Watanzania wote hatunazo na upinzani wamekaaa kimya nashindwa kuamini!