Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUOMBA AJIRA
Kutokana na changamoto ya mtandao iliyoendelea kujitokeza, mnatangaziwa kuwa vijana wenye sifa na nia ya kujiunga na Jeshi la Polisi zimeongezwa siku tano (5) za kuendelea kutuma maombi.
Hivyo, tarehe ya mwisho ya kuwasilisha maombi ya kuomba ajira ni Mei 26, 2024 badala ya Mei 21, 2024.
Maombi yote yatumwe kupitia link: ajira.tpf.go.tz. Maelekezo mengine ni kama yanavyosomeka kwenye tangazo la Mei 9, 2024.
Imetolewa na: Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania Makao Makuu ya Jeshi la Polisi S.L.P 961 DODOMA 21/05/2024
Malalamiko ya awali- Mfumo wa Ajira wa Jeshi la Polisi unasumbua, shida si mtandao ni mfumo wao wenyewe. Waweke njia mbadala ya kutuma maombi