Rusha kapichaNishaanda full white CHINI mpaka na Imagine hiyo kesho nitakuwaje
Mrejesho please
Askofu Bagonza mwenyewe hakuandamana angekuwa serious kwa aliyosema si angeandamana hata peke yake kuonyesha kuwa he means what he says!!!
Lakini wapi kaufyata.Askofu mzima hovyo anawatwika wengine nira ambayo yeye hawezi beba.Farisayo mkubwa
Alivalia chumbani?Acha upotoshaji wa kijinga, hakusema watu waandamane, bali alisema tuvae nguo nyeupe, na yeye alivaa pia.
Alivalia chumbani?
Sasa maandamano ya nini kipindi hiki cha #covid19.Na ukivunjika mguu gharama ni juu yako!
Bora mpigwe marufuku tu!
Nimesema ukivunjika.Au niseme ukiteguka.Wapi nimesema kuvunjwa mguu? Au kiswahili kigumu kaka.Heri yenu wenye monopoly ya kuvunja watu miguu.