Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani 1.5 million ukachukue gariWakuu,
Jeshi la Polisi latoa ufafanuzi wa taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kumhusu Mchezaji Bernard Morrison ikituhumu Kituo cha Polisi Mbweni
Mchezaji analipa hela ili asajiliwe au mchezaji ndiye anatakiwa kulipwa ili asajaliwe?😀Wakuu,
Jeshi la Polisi latoa ufafanuzi wa taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kumhusu Mchezaji Bernard Morrison ikituhumu Kituo cha Polisi Mbweni
Ulitaka achukue nini?Yaani 1.5 million ukachukue gari
Hii inawezekanaje?
HahaUnakulaje hela ya morisson mabange kizembe
Kigezo cha kuajiriwa polisi ni EMPTY SET kichwaniWakuu,
Jeshi la Polisi latoa ufafanuzi wa taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kumhusu Mchezaji Bernard Morrison ikituhumu Kituo cha Polisi Mbweni
KEN goldHe! kumbe morison yupo! Anachezea timu gani?
No freelunch lazima uroge na kuhongaMchezaji analipa hela ili asajiriwe au mchezaji mdiye anatakiwa kulipwa ili asajaliwe?😀
Sio wote wanaoitwa na klabuu, wapo wachezaji waliokuja wenyewe Tanzania kwa ajili ya kutafuta timu. Hao kwa vyovyote watakuwa wanatumia fedha zao kwa ajili ya kujikimu (chakula na malazi). Kwa hiyo sisi tunaojua soka kwetu sio jambo la ajabuMchezaji analipa hela ili asajiriwe au mchezaji mdiye anatakiwa kulipwa ili asajaliwe?😀
Unailipa Club ili ikusajili? Are you serious?Sio wote wanaoitwa na klabuu, wapo wachezaji waliokuja wenyewe Tanzania kwa ajili ya kutafuta timu. Hao kwa vyovyote watakuwa wanatumia fedha zao kwa ajili ya kujikimu (chakula na malazi). Kwa hiyo sisi tunaojua soka kwetu sio jambo la ajabu
NItajie wachezajo watano nchini waliotumia hiyo njoaSio wote wanaoitwa na klabuu, wapo wachezaji waliokuja wenyewe Tanzania kwa ajili ya kutafuta timu. Hao kwa vyovyote watakuwa wanatumia fedha zao kwa ajili ya kujikimu (chakula na malazi). Kwa hiyo sisi tunaojua soka kwetu sio jambo la ajabu
Wapi ambapo imeandikwa kwamba hizo 1.5M ni za kuilipa klabu? Au huelewi maana ya accommodation?Unailipa Club ili ikusajili? Are you serious?