Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Kwa sababu ni Morrison basi nansimama na Polisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu ana kitambulisho cha NIDA. Kaongeza mgaya ili aonekane mtanzania.Abdul Rakeeb Mgaya ni mghana?
Duh aisee umewahi kucheza mpira hata ligi ya kanda?Unailipa Club ili ikusajili? Are you serious?
1.5 inawapotezea muda namna hiyo ndrugu zango?🐒Wakuu,
Jeshi la Polisi latoa ufafanuzi wa taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kumhusu Mchezaji Bernard Morrison ikituhumu Kituo cha Polisi Mbweni
Uwe unajiuliza kabla haujaulizaDuh aisee umewahi kucheza mpira hata ligi ya kanda?
polisi wanasahihisha upotoshaji na wazushi gentleman 🐒Ukiisoma taarifa vizuri utaona polisi ndio wanalalamika
Kwasisi tuliowahi kucheza mpira huwa tunaelewa hiloUwe unajiuliza kabla haujauliza
Itakuwa johnthebaptist mkingaAbdul Rakeeb Mgaya ni mghana?
Funguo za gari alizipora ?Yaani 1.5 million ukachukue gari
Hii inawezekanaje?
Labda na yeye alipewa jimama.He! kumbe morison yupo! Anachezea timu gani?
Siyo kwamba nashangaa, Mimi pia nimecheza mpira, lakini sikuwahi kufanya huo ujinga. Waliokuwa wanalipa hela ni wale mpira uliwakataa wakawa wanalazimisha.Kwasisi tuliowahi kucheza mpira huwa tunaelewa hilo
😂😂😂😂Mkuu itakuwa wamesimplifai mgaya=mganaAbdul Rakeeb Mgaya ni mghana?
Kama haulipi?Yaani 1.5 million ukachukue gari
Hii inawezekanaje?
Unazungumzia mpira wa shuleni?😆😆😆😆Siyo kwamba nashangaa, Mimi pia nimecheza mpira, lakini sikuwahi kufanya huo ujinga. Waliokuwa wanalipa hela ni wale mpira uliwakataa wakawa wanalazimisha.
Binafsi mpira ulijipendekeza kwangu, mimi ndiye niliukataa nikazingatia masomo na maisha mengine.
Inafikirisha mkuu usikute hata jina sio abdul ni akufo akufo na ana number ya NIDA na anamiliki viwanja mkuranga uko aiseeAbdul Rakeeb Mgaya ni mghana?
Ndicho akili yako hicho ndiyo imekiona kwenye comment yangu? hata nikisema ndiyo ni shuleni kuna shida gani? Unadhani mpira ni lazima ucheze kwa kuhonga tena ukiwa mitaani baada ya shule?Unazungumzia mpira wa shuleni?😆😆😆😆
Shida ni kwamba yeyote ana uwezo wa kuongea hivyo ila ukweli ni kwamba wewe haujawahi kucheza mpira katika level yeyote ile ndio maana unalishangaa hiliNdicho akili yako hicho ndiyo imekiona kwenye comment yangu? hata nikisema ndiyo ni shuleni kuna shida gani? Unadhani mpira ni lazima ucheze kwa kuhonga tena ukiwa mitaani baada ya shule?
Ndiyo maana nimekwamba mpira ilijipendekeza kwangu, ila mimi nokaupiga chini.
Aisee, kwani nikisema sawa mimi sijacheza mpira kwa level yoyote na wewe ndiye umecheza kwa kuhonga kama unavyojitamba kuna shida gani.Shida ni kwamba yeyote ana uwezo wa kuongea hivyo ila ukweli ni kwamba wewe haujawahi kucheza mpira katika level yeyote ile ndio maana unalishangaa hili